Wasukuma na Mapenzi

Wasukuma na Mapenzi

natunza bikra yangu mie 😂😂
Bikraaaaaaaaaaaaa 😂
giphy.gif
 
Sijui kwanini nyuzi za hovyo hivi ndo huwa zinapata wachangiaji wengi lakini ukienda kule jukwaa la biashara na ujasiriamali utakuta nyuzi zimejaa nondo ila wanazipita kama hawazioni. Wicked generation
Ujue hizo za biashara hawazioni mkuu na sio wanazipita.
Zinazokuja chap ni kama hizi zinazofunguliwa mara kwa mara ndio maana hata wewe umeiona mapema kabisa.
 
Nilishindwa kuandika nyuzi za kuumiza kichwa ambazo zinakuwa zako tu na watu wawili au watatu.

Ila ukiandika hizi za kumwaga maji na uchawi uko hapa, tutajaa kama wote!.
Andika tu mkuu, ujue hizi nyuzi sijui jinsi zinavyochangiwa sana basi ndio zinaonekana sana hata sielewi.

Maana labda hata uscrow vp unazikuta zilezile ulizopitia, labda uingie kwenye profile ya mtu ucheki nyuzi alizocomment na ww upitie humo ndo unapata mpya.

Binafsi hii changamoto ipo sana kwangu.
 
WaTanzania ni qaprnf
Wapenda ngono sana na hii thread itapata massive comment we subiri tu
Kweli mkuu, kila nikiangalia takwimu za ule Uzi wa kula tunda kimasihara huwa nashangazwa na mafuriko ya likes na comments mpaka siku moja niliufungua ili nione kinachowafanya watu kujazana kwenye huo uzi. Daah nilicho kikuta sasa 😕
 
Yaani kabila lenye wanawake wapatao milion 6 wahukumiwe Kwa sample ya wazinzi watatu tu wa jamiiforums?
Mzee unaijua milioni 6? Sensa iliyopita mwanza yote haifiki watu 4M

Hata ukijumlisha na mikoa mingine Bado wanawake wasukuma 6M hawafiki

Yaani ni sawa na kuassume, ni zaidi ya population ya DSM?
 
Kweli mkuu, kila nikiangalia takwimu za ule Uzi wa kula tunda kimasihara huwa nashangazwa na mafuriko ya likes na comments mpaka siku moja niliufungua ili nione kinachowafanya watu kujazana kwenye huo uzi. Daah nilicho kikuta sasa 😕
Dalili ya jamii mufilisi hiyo mkuu! Hatutafika popote kwa jamii hii ya kishenzi inayoamini na kuwaza mapenzi kila uchwao
 
Back
Top Bottom