Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,080
- 136,554
Does it matter really? Anaitwa COL. MOSHE BAR-LEV
Liar liar pants on fire:heh:
Does it matter really? Anaitwa COL. MOSHE BAR-LEV
Nimejukuta nimeduwaa!. Na tukijua dini zao itasaidia nini katika kuwaokoa waanga?.Kwani hao watekaji ni wa dini gani?
2fanye umeshinda basi naona kama unaviwavi wananyefuanyefua...Wewe --------, mimi nafuatilia ahapa sky news wameandika major explosion wewe unabisha kama sio kichaa nini?
hilo neno limenifanya nicheke sana
Wakatimwingine muwe na akili, nini chanzo chanzo cha huo Moshi mkubwa?
Sasa hiv, Sky news na aljazeera wanafanya live coverage acha ujinga wewe....
ni kweli kuna mlipuko wastgate...lakini hii picha sio..yake...acheni kuingiza vitu..hii picha iko katika move ya sarafina.....Wanajamvi,
Hivi sasa wastagate imelipuka na kutoa moshi mkubwa
Jambo lililostua watazamaji na police walioko nje kupokea maelekezo na kukimbia kwenye maeneo yanayozunguka
Police na magari yakifanya operation kubwa.
Watangazaji wamesema tutazame hawawezi toa maelezo ya kulikoni wanasubiria mamlaka husika itoe taarifa ya mlipuko huo mkubwa.
magari ya kuzima moto na police wanatamka pishapisha
citzen tv live from wastgate
Liar liar pants on fire:heh:
How disgusting to joke around during these sad times!
ni kweli kuna mlipuko wastgate...lakini hii picha sio..yake...acheni kuingiza vitu..hii picha iko katika move ya sarafina.....
2fanye umeshinda basi naona kama unaviwavi wananyefuanyefua...
ina maana sasa wameamua kujilipua kabisa??
aisee kuna vitu ukijiingiza lazima uwe na akili ya ziada
Who's joking around?
Hiyo picha ni ya tokea juzi Jumamosi. Halafu hicho kipisto ndo kitasaidia nini sasa? Halafu huyo ni mtu wa wapi, Israel au Marekani? Unamjua wewe?
2fanye umeshinda basi naona kama unaviwavi wananyefuanyefua...
Somebody