Wastegate yalipuka ?

Wastegate yalipuka ?

Wewe --------, mimi nafuatilia ahapa sky news wameandika major explosion wewe unabisha kama sio kichaa nini?
2fanye umeshinda basi naona kama unaviwavi wananyefuanyefua...
 
Mbona haifanani na westgate?

_70070704_70070703.jpg
 
Wanajamvi,

Hivi sasa wastagate imelipuka na kutoa moshi mkubwa
Jambo lililostua watazamaji na police walioko nje kupokea maelekezo na kukimbia kwenye maeneo yanayozunguka

Police na magari yakifanya operation kubwa.

Watangazaji wamesema tutazame hawawezi toa maelezo ya kulikoni wanasubiria mamlaka husika itoe taarifa ya mlipuko huo mkubwa.

magari ya kuzima moto na police wanatamka pishapisha

citzen tv live from wastgate
ni kweli kuna mlipuko wastgate...lakini hii picha sio..yake...acheni kuingiza vitu..hii picha iko katika move ya sarafina.....
 
2fanye umeshinda basi naona kama unaviwavi wananyefuanyefua...

wewe mjinga tu unaeongozwa na jihadi -udini, unakanusha hata usivovifahamu,

Sasa hivi K24 television wametangaza ni bom ambalo militants wamelilipu KWA LENGO LA KUWACHANGANYA ASKARI

Hiyo picha unayoikanusha pia ni ushamba wako unaelekea hata mambo ya map reading and photograpgh interpretation

hukupitia o - level, nikilaza wa nguvu wewe na unatia aibu. hiyo picha nisahihi.
 
wameuamua kujilipua wafe ili wafike mbinguni kama watakakatifu.by virtual of islamic teachings.
 
Back
Top Bottom