Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,269
Mungu watie nguvu wana KENYA, wana hali mbaya!
Vyombo vya usalama vingine vinadai kuwa "ngoma si ya kitoto hiyo", typical al-shabab operation ingekuwa watekaji na mateka wote wameshauliwa, vilevile al-shabab wamewadhibit kwa kiasi fulani hivyo wasingeweza kufanya operation ya namna hii bila ya vyombo vya usalama vya Kenya au nje kujua...wanazungumzia al-qaedah ndio hasa ambao wapo nyuma ya mchezo wote.Siku tatu yaani masaa 72 bado wanapambana...Poleni :- Al-Shabab walifikaje hapo katikati ya Nairobi na Kenya in general maana wameacha mipaka na miji yote na kutinga NBR. itakuwaje Kenya ilidharau ONYO la shabab...? Nasikia CIA FBI na ISRAEL agents wameingia katika uwanja wa mapambano security forces zinashindwa nini na vijana 9 au 10 ...! Halafu tatizo ni mchana kweupe wanashindwa nini ?
Kuna watu humu wanaham ya kutagajaman punguzen malumbanoooo,,,aaah
Kwani hao watekaji ni wa dini gani?
Masikini mateka wale........jamaa watakuwa wamejilipuwa hao!
wameuamua kujilipua wafe ili wafike mbinguni kama watakakatifu.by virtual of islamic teachings.
Te te te teee, Wenye macho kama vikombe vya kunywea togwaMabikira 72 na Tende
Sio bure umende unakusumbua,according to citizen tv huo moshi unatoka na magodoro yanayowaka ndani ya jengo after terrorists burn mattresses ilo bomu labda umerusha wewe,acha kutumia akili za pampus we bhahau...wewe mjinga tu unaeongozwa na jihadi -udini, unakanusha hata usivovifahamu,
Sasa hivi K24 television wametangaza ni bom ambalo militants wamelilipu KWA LENGO LA KUWACHANGANYA ASKARI
Hiyo picha unayoikanusha pia ni ushamba wako unaelekea hata mambo ya map reading and photograpgh interpretation
hukupitia o - level, nikilaza wa nguvu wewe na unatia aibu. hiyo picha nisahihi.
Ningefurahi kama hao mateka wangekatwa vichwa...
Kuna watu humu wanaham ya kutaga
wewe mjinga tu unaeongozwa na jihadi -udini, unakanusha hata usivovifahamu,
Sasa hivi K24 television wametangaza ni bom ambalo militants wamelilipu KWA LENGO LA KUWACHANGANYA ASKARI
Hiyo picha unayoikanusha pia ni ushamba wako unaelekea hata mambo ya map reading and photograpgh interpretation
hukupitia o - level, nikilaza wa nguvu wewe na unatia aibu. hiyo picha nisahihi.
Hongereni alshaabab hata sisi waislam watz tunaonewa Sheikh wetu ponda amefungwa tunaomba msaada wenu njooni nahuku pia
Siku tatu yaani masaa 72 bado wanapambana...Poleni :- Al-Shabab walifikaje hapo katikati ya Nairobi na Kenya in general maana wameacha mipaka na miji yote na kutinga NBR. itakuwaje Kenya ilidharau ONYO la shabab...? Nasikia CIA FBI na ISRAEL agents wameingia katika uwanja wa mapambano security forces zinashindwa nini na vijana 9 au 10 ...! Halafu tatizo ni mchana kweupe wanashindwa nini ?