Wastegate yalipuka ?

Wastegate yalipuka ?

Yesu alisema Amri Kuu nawaachieni... "UPENDO" uwa namkubali sana huyu Nabii aliona mbali sana. Al Shabaab, Al Qaeda, LRA, Siasa chafu na wengineo ni matunda ya kukosa upendo.

Hayo maneno nimeyapenda.
 
Mungu awatangulie wakenya ktk kipindi hiki kigumu
 
Hiyo sio picha ya wastegate na haijalipuka bali umesikika mlipuko na moshi mzito kutoka ndani na milio ya risasi. Tuache upotoshani
Ni kweli iyo picha mleta mada kadanganya,kinachoonekana kupitia citizen ni moshi ukifuka juu ya jengo ila sio mlipuko na wanajesh wa kenya wametaharuki wakizunguka hapa na pale.Poleni sana wakenya
 
Wamarekani hawajapeleka askari wap. Sana sana wamepeleka washauri tu.

Here is one of them......BTW the Mall is partially "owned" by Israelites

article-2429644-1824AB6D00000578-898_634x448.jpg
 
Ni kweli iyo picha mleta mada kadanganya,kinachoonekana kupitia citizen ni moshi ukifuka juu ya jengo ila sio mlipuko na wanajesh wa kenya wametaharuki wakizunguka hapa na pale.Poleni sana wakenya


Wakatimwingine muwe na akili, nini chanzo chanzo cha huo Moshi mkubwa?

Sasa hiv, Sky news na aljazeera wanafanya live coverage acha ujinga wewe....
 
Siku tatu yaani masaa 72 bado wanapambana...Poleni :- Al-Shabab walifikaje hapo katikati ya Nairobi na Kenya in general maana wameacha mipaka na miji yote na kutinga NBR. itakuwaje Kenya ilidharau ONYO la shabab...? Nasikia CIA FBI na ISRAEL agents wameingia katika uwanja wa mapambano security forces zinashindwa nini na vijana 9 au 10 ...! Halafu tatizo ni mchana kweupe wanashindwa nini ?

Wewe ni Alkaeda I think
 
Wanajamvi,

Hivi sasa wastagate imelipuka na kutoa moshi mkubwa
Jambo lililostua watazamaji na police walioko nje kupokea maelekezo na kukimbia kwenye maeneo yanayozunguka

Police na magari yakifanya operation kubwa.

Watangazaji wamesema tutazame hawawezi toa maelezo ya kulikoni wanasubiria mamlaka husika itoe taarifa ya mlipuko huo mkubwa.

magari ya kuzima moto na police wanatamka pishapisha

citzen tv live from wastgate
Ee mwenyezi mungu tunusuru waja wako.
 
Wanajamvi,

Hivi sasa wastagate imelipuka na kutoa moshi mkubwa
Jambo lililostua watazamaji na police walioko nje kupokea maelekezo na kukimbia kwenye maeneo yanayozunguka

Police na magari yakifanya operation kubwa.

Watangazaji wamesema tutazame hawawezi toa maelezo ya kulikoni wanasubiria mamlaka husika itoe taarifa ya mlipuko huo mkubwa.

magari ya kuzima moto na police wanatamka pishapisha

citzen tv live from wastgate

It's terrible. Yawezekana magaidi wamejilipua pamoja na mateka wao.
 
Siku tatu yaani masaa 72 bado wanapambana...Poleni :- Al-Shabab walifikaje hapo katikati ya Nairobi na Kenya in general maana wameacha mipaka na miji yote na kutinga NBR. itakuwaje Kenya ilidharau ONYO la shabab...? Nasikia CIA FBI na ISRAEL agents wameingia katika uwanja wa mapambano security forces zinashindwa nini na vijana 9 au 10 ...! Halafu tatizo ni mchana kweupe wanashindwa nini ?

Taarifa za awali zilisema mateka wengi wamekuwa rescued sasa wanashindwa kwenda na ovaloli bulletproof kama zile za walina asali wawasake chumba kwa chumba yani watoto 14 wanasumbua vikosi vya ulinzi,mosadi,fbi,swat???
 
According to BBC live coverage, moshi huo unatoka kwenye magodoro yanayoungua ndani, si mlipuko kama tulivyofikiria:
 
Wanajamvi,

Hivi sasa wastagate imelipuka na kutoa moshi mkubwa
Jambo lililostua watazamaji na police walioko nje kupokea maelekezo na kukimbia kwenye maeneo yanayozunguka

Police na magari yakifanya operation kubwa.

Watangazaji wamesema tutazame hawawezi toa maelezo ya kulikoni wanasubiria mamlaka husika itoe taarifa ya mlipuko huo mkubwa.

magari ya kuzima moto na police wanatamka pishapisha

citzen tv live from wastgate

Oh nooooo.....God have mercy to these people....wameshateseka vya kutosha toka jumamosi, sidhani ata kama kuna alieweza kupata hata tone la maji...yupo mtoto wa siku mbili anashikiliwa na watekaji....eeeh Mungu miujiza yako sasa itendeke.kwa explosion hii...watu watakufa hata ambao wako nje ya mall.
 
Siku tatu yaani masaa 72 bado wanapambana...Poleni :- Al-Shabab walifikaje hapo katikati ya Nairobi na Kenya in general maana wameacha mipaka na miji yote na kutinga NBR. itakuwaje Kenya ilidharau ONYO la shabab...? Nasikia CIA FBI na ISRAEL agents wameingia katika uwanja wa mapambano security forces zinashindwa nini na vijana 9 au 10 ...! Halafu tatizo ni mchana kweupe wanashindwa nini ?

Hao alshababi wamekuja kufa na genge la watu kama jihadi! Sasa unaposema polisi na FBI wanashindwa nn, kdg unanitatiza! Polisi hawajakwenda kwa ajili ya suicide mission bali rescue! Ile mijitu imejipanga ili eti ife kijihadi iende mbinguni ikapewe raha! Sijui unaliona tatizo hapo! Yaani kifupi,hao alshababi wameathirika ki saikolojia, na wanajiona kama hawapo ndani ya ulimwengu na wanadhani wanachelewa kwenda ahera! Sasa ku deal mijinga kama haya inatakiwa busara sana na mbinu za hali ya juu sana sio kuwaparamia ovyo mkuu,wanaweza wakawamaliza askari wengi na mateka wao pia," they have nothing to lose"
 
live from KBC mida hii hawa jamaa wamelipua wenyewe. Sa sielewi ni wamejchoka ama walkuwa wanafanya nin.
 
Taarifa za awali zilisema mateka wengi wamekuwa rescued sasa wanashindwa kwenda na ovaloli bulletproof kama zile za walina asali wawasake chumba kwa chumba yani watoto 14 wanasumbua vikosi vya ulinzi,mosadi,fbi,swat???

Tatizo wanatakiwa wapatikane hai ili wahojiwe......hawa sio kama POLISI wetu wa kuuwauwa tu
 
Back
Top Bottom