MADAXWEYNE
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,593
- 3,447
Yesu alisema Amri Kuu nawaachieni... "UPENDO" uwa namkubali sana huyu Nabii aliona mbali sana. Al Shabaab, Al Qaeda, LRA, Siasa chafu na wengineo ni matunda ya kukosa upendo.
Hayo maneno nimeyapenda.