Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,427
- 21,118
Naona kuna ukaribu fulani kati ya muigizaji na mjasiliamali ambaye ni mjane wa Sadick Juma Kilowoko (Sajuki) , Wastara Juma na huyu jamaa anayejihusisha na mambo ya kuweka sawa shape za kinadada (Keshas Saloon).
Huyu jamaa bwana kazi anazofanya 100% zinahusisha kuwavua nguo zote akina dada eti ndo anawaondolea matumbo ,kuindoa nyama zembe na kuchonga viuno vyao ,bila kusahau kuwanyoa sehemu zao za siri , ushahidi wa hili ingia kwenye account yake ya IG (Keshas saloon).
Sasa bwana huyu jamaa skendo yake bando mbichii inavyosemekana huwa hashiki kuwavua tu nguo,lazima afanye nao mapenzi na kwa habari za chinichini msanii wa vichekesho Ebitoke ambapo inasemekana zamani alikuwa mtu wake ndiye aliyemchoma na kumrushia Mange baadhi ya video zake za ngono .
Jamaa alichokifanya sasa kaamua kukimbilia kijijini huko ndani ndani usukumani ili kwenda kuroga kuweka mambo sawa, maana sakata lake limeshafikia pabaya mpaka kwa viongozi wa ngazi za juu .
Sasa jamaa kaposti picha ya muda kidogo yupo na Wastara huku akimsifia mambo Kem Kem na kila nikiangalia kitu gani kinachoweza kuwaweka pamoja naona hakuna zaidi ya hayo yake ya hovyo.
Kuna video clip ukitazama kwenye account yake kuna mdada yupo kaka wastara na ikithibitika ni yeye aisee nitamdharau sana wastara kwa alipofikia na si ajabu ndio maana ndoa zake nyingi (zaidi ya nne) zilivunjika muda mchache baada ya kuolewa.
Huyu jamaa bwana kazi anazofanya 100% zinahusisha kuwavua nguo zote akina dada eti ndo anawaondolea matumbo ,kuindoa nyama zembe na kuchonga viuno vyao ,bila kusahau kuwanyoa sehemu zao za siri , ushahidi wa hili ingia kwenye account yake ya IG (Keshas saloon).
Sasa bwana huyu jamaa skendo yake bando mbichii inavyosemekana huwa hashiki kuwavua tu nguo,lazima afanye nao mapenzi na kwa habari za chinichini msanii wa vichekesho Ebitoke ambapo inasemekana zamani alikuwa mtu wake ndiye aliyemchoma na kumrushia Mange baadhi ya video zake za ngono .
Jamaa alichokifanya sasa kaamua kukimbilia kijijini huko ndani ndani usukumani ili kwenda kuroga kuweka mambo sawa, maana sakata lake limeshafikia pabaya mpaka kwa viongozi wa ngazi za juu .
Sasa jamaa kaposti picha ya muda kidogo yupo na Wastara huku akimsifia mambo Kem Kem na kila nikiangalia kitu gani kinachoweza kuwaweka pamoja naona hakuna zaidi ya hayo yake ya hovyo.
Kuna video clip ukitazama kwenye account yake kuna mdada yupo kaka wastara na ikithibitika ni yeye aisee nitamdharau sana wastara kwa alipofikia na si ajabu ndio maana ndoa zake nyingi (zaidi ya nne) zilivunjika muda mchache baada ya kuolewa.