Paroco
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 2,227
- 10,186
Wivu! Siyo wewe unayefuatilia pesa za watu ndiyo mwenye wivu? Ndiyo nyie vinara wa kugombania mirathi.
Kwetu sio kwenu wala kwao mzee
Wivu! Siyo wewe unayefuatilia pesa za watu ndiyo mwenye wivu? Ndiyo nyie vinara wa kugombania mirathi.
We unachangia na serikali inakuchangia mzee. Kuna uzi ulidadavua hilo suala humuHuwa sielewi kabisa hesabu za mafao zinapigwa vipi. Kwa kanuni ambazo mifuko inatutangazia haiwezekani kipato cha laki nne unusu kikazaa milioni 60 hata ungefanya kazi miaka 50!
Ndiyo inakuwa imeingia kwenye mzunguko lkn ikawa haina tija kwa aliyelipwa kwa kuwa hakutimiza malengo yake.Kikubwa hela imeingia kwenye mzunguko
Kaka tutumie link na sisi tuuoneWe unachangia na serikali inakuchangia mzee. Kuna uzi ulidadavua hilo suala humu
Wastaafu wengi huumizwa na mafao ambayo yalilengwa kuwasaidia. Kuna mmoja alipata milioni 200, wapambe walimshauri awekeze kwenye uchimbaji mdogo wa dhahabu. Alikaa huko miezi 18. Amerudi nyumbani hana kitu bahati yake mke ni mhangaikaji ana mgahawa.
Wahanga wa matukio haya ni wengi sana. Unamkuta mfanyakazi alikua anapokea laki nne na nusu kwa mwezi ghafla anamiliki milioni 60 benki. Kuna ambao wana malengo. Alikopa huko nyuma na kununua kiwanja na kujenga nyumba ya nyuma ili aachane na kulipa kodi. Alipanga mafao ndiyo ajenge nyumba ya mbele.
Ninachoona mifuko ya jamii iajiri wataalamu wa saikolojia na pia washauri wa uwekezaji. Ile wiki msataafu anayokabidhiwia pesa zake aelewe kuwa ana pesa lakini pesa ni liquid asset na ikishamwagika haizoleki. Apewe pia mawazo katika uwekezaji sahihi kama atapenda.
Mkuu heshima kwako. Nifanyie wepesi kwa kikokotoo cha fixed deposit. Tuseme kwa mfano ukaweka million 500 fixed deposit faida yake kwa mwezi na mwaka unapata ngapi?Fixed Deposit haina faida kama una hela ya kitoto hizo za below 100M...Wanaoinjoy hio ni wenye 400M plus!
I know that much.We unachangia na serikali inakuchangia mzee. Kuna uzi ulidadavua hilo suala humu
Mkuu heshima kwako. Nifanyie wepesi kwa kikokotoo cha fixed deposit. Tuseme kwa mfano ukaweka million 500 fixed deposit faida yake kwa mwezi na mwaka unapata ngapi?
Natanguliza Shukrani zangu za dhati kabisa
Piga 9.5% ya hio pesa mzee ndio hela utapata kwa mwaka!Mkuu heshima kwako. Nifanyie wepesi kwa kikokotoo cha fixed deposit. Tuseme kwa mfano ukaweka million 500 fixed deposit faida yake kwa mwezi na mwaka unapata ngapi?
Natanguliza Shukrani zangu za dhati kabisa
Karibia million 50?Piga 9.5% ya hio pesa mzee ndio hela utapata kwa mwaka!
Sasa cha kushangaza unakuta mtu anapata billion halafu anafilisika.10% annually return ya hiyo hela before withholding tax nadhani 5% ya hiyo faida
Hio yaweza kuwa in 3 years so roughly kwa mwaka utapata around 15M! Itategemeana na contract.Karibia million 50?
Mtu akipata pesa ndiyo utaifahamu tabia yake, uncle wangu tulijua ni mlokole mpaka alipopata mafao ndiyo tulijua anapenda bia na nyama choma.
Sasa cha kushangaza unakuta mtu anapata billion halafu anafilisika.