melanin gal
Member
- Sep 8, 2016
- 57
- 22
Few months kabla ya kustaafu kuna semina huwa wanapewa... for a week or two weeks. Mara nyingi huwa inafanyika Mwalimu nyerere memorial or vyuo vya utumishi wa umma. My dad attended the semina but ni kama haikumsaidia hela zinavuruga, xinahitaji utulivu mkubwa sana wa akili