Wastaafu wawe wanaandaliwa kisaikojia kabla ya kukabidhiwa mafao

Daaah!!!
Mzee ulimuacha sanaa!!
Experience inaonesha hakuna mstaafu aliyepewa mafweza akataka kuyamiliki mwenyewe alafu akatoka salama hakuna hata mmoja.

Hao inatakiwa kuwasaidia wasipokubari kwa hiari walazimishwe.

Ungeingilia kati mapema pengine asingepoteza kiasi hicho.

Nategemea Kumpangia mama kila kitu pindi atakapostaafu kwa sababu nikishindwa kufanya hivyo mm mwanae

Wapo mambulula huko nje they will do it instead of me.

Ingilia kati kumsaidia mzazi wako asife mapema.

Atakuchukia mwanzo lkn kadiri akili zinavyorudi ndo atakua anajua umuhimu wako.

Wastaafu
Zishakwisha sikuwepo akilipwa,wala kumpangia pia alikua mkali sana,
fikiria kahudumu miaka 40,kapata hela watu wanamshauri afungue kanisa.
Nä mimi kabisaa nilikua na mambo yangu so hela yake sina habari nayo.
Alinitibua siku hiyo tu nimpe hela akawape waumini.
Sikumbuki nilitoka na panga au gobore fukuzilia mbali wote na nikaita greda vunja hii kanisa hapa.
Nä Mama nikamwambia kama unampenda mungu sana jihusishe na taasisi za makanisa zilizopo tayari.
Yupo huko sa hii namhudumia kila kitu anyway.
 
Daaah!!!
Mzee ulimuacha sanaa!!
Experience inaonesha hakuna mstaafu aliyepewa mafweza akataka kuyamiliki mwenyewe alafu akatoka salama hakuna hata mmoja.

Hao inatakiwa kuwasaidia wasipokubari kwa hiari walazimishwe.

Ungeingilia kati mapema pengine asingepoteza kiasi hicho.

Nategemea Kumpangia mama kila kitu pindi atakapostaafu kwa sababu nikishindwa kufanya hivyo mm mwanae

Wapo mambulula huko nje they will do it instead of me.

Ingilia kati kumsaidia mzazi wako asife mapema.

Atakuchukia mwanzo lkn kadiri akili zinavyorudi ndo atakua anajua umuhimu wako.

Wastaafu
Wabishi na ni wajuaji hao we hujui tu...
 
Tulijaribu kama mradi fulani ambao ulipata mfadhili CARE INTERNATIONAL wilayani Kasulu mwaka 2002 wakati watumishi wanapata retrechment,mradi huu ulikuwa na lengo la kuwajengea uwezo wastaafu kuzimiliki hela zao pindi wanapopata.

Wastafu hao walifanyiwa semina ya wiki zima na kulipwa posho kila siku na walikuwa wanapata chai na chakula cha mchana. Baada ya kupata mafao yao na kuwafatilia ili kufanya tathimini ikaonekana wote wamefanya madudu na mradi ukafa. Mfadhili hakutoa fedha tena. Yaani hawa wastaafu wakipata fedha zao huwa wanapata kichaa fulani cha gafla.
Mwanangu asikwambie mtu lazima uwehuke! Wewe kutoka salary slip kusoma take home 45,000 mpaka kuja kupiga 200m kwa mpigo ni mchezo? Utachanganyikiwa tu! Mimi nikikaribia kustaafu itabidi nikatafute la Sky Eclat kawe kashauri kangu! Sijui nako katanipiga? 😁😁😂😂
 
Unakuta mstaafu anataka aanze biashara akiwa na miaka 60.. hivi mtu hujawahi kufanya biashara toka unazaliwa then unataka kuingia na miaka 60.. tena bila aibu mtu anataka aweke mtaji wa mil 10 yaani uanze biashara bila experience na pesa nyingi hivyo??.


Au unakuta mtu ana miaka 60 ndio anataka kujenga nyumba ya vyumba 6.. vyumba vyote vya nini wakati kibongo bongo lifeexpectancy ni miaka 65 yaani umebakiza almost miaka 5 unataka kujenga nyumba ya vyumba 6.

Pesa ya kustaafu kama inavyoitwa ni kiinua mgongo.. ni pesa ya kuufanya uzee wako uwe smooth.. kama unaanzisha mradi basi ni wa kukukeep busy tu.. na usikucost pesa sana kuuanzisha..
Ile pesa ni ya kutumia mdogo mdogo ukiwa unasubiri kumrudia muumba bila stress za kuwaza unakula nini.
 
Mtu akipata pesa ndiyo utaifahamu tabia yake, uncle wangu tulijuawni mlokole mpaka alipopata mafao ndiyo tulijua anapenda bia na nyama choma.
Mi na mdogo wangu tuliambiwa nanukuu "Nyie si niliwasomesha now mna kazi na mnalipwa mishahara hizi hela ni zangu haziwahusu"
Ndani ya mwezi mmoja katika hela yote alolipwa kafyeka 30M zote anaenda kutoa michango kanisani na kusindikiza misiba ya watu; zingine anahudumia wagonjwa na kukopesha; nikasema yes show ndo kwanza inaanza; mwezi ulofata tukaanza kupigwa mizinga ya elfu 20; unafanyaje sasa inabidi utoe tu
 
Mi na mdogo wangu tuliambiwa nanukuu "Nyie si niliwasomesha now mna kazi na mnalipwa mishahara hizi hela ni zangu haziwahusu"
Ndani ya mwezi mmoja katika hela yote alolipwa kafyeka 30M zote anaenda kutoa michango kanisani na kusindikiza misiba ya watu; zingine anahudumia wagonjwa na kukopesha; nikasema yes show ndo kwanza inaanza; mwezi ulofata tukaanza kupigwa mizinga ya elfu 20; unafanyaje sasa inabidi utoe tu
Rafiki yangu ilibidi awajengee wazee, walistaafu mzee alikua na kuwanja tu. Kwakua best ana mshahara mzuri aliamua kuchukua mkopo akawajengea wazee ili aachane na kulipa kodi.

Mafao yametoka dingi amemweleza mchungaji kwanza. Home wamekuja kufahamu baada ya mchungaji kupata 10% ya mafao.
 
Unakuta mstaafu anataka aanze biashara akiwa na miaka 60.. hivi mtu hujawahi kufanya biashara toka unazaliwa then unataka kuingia na miaka 60.. tena bila aibu mtu anataka aweke mtaji wa mil 10 yaani uanze biashara bila experience na pesa nyingi hivyo??.


Au unakuta mtu ana miaka 60 ndio anataka kujenga nyumba ya vyumba 6.. vyumba vyote vya nini wakati kibongo bongo lifeexpectancy ni miaka 65 yaani umebakiza almost miaka 5 unataka kujenga nyumba ya vyumba 6.

Pesa ya kustaafu kama inavyoitwa ni kiinua mgongo.. ni pesa ya kuufanya uzee wako uwe smooth.. kama unaanzisha mradi basi ni wa kukukeep busy tu.. na usikucost pesa sana kuuanzisha..
Ile pesa ni ya kutumia mdogo mdogo ukiwa unasubiri kumrudia muumba bila stress za kuwaza unakula nini.
Kuna mzee wetu kikazi, alilipwa 200m+ akawekeza kwenye mashine ya kusaga, hiace 2 za kupiga route vijijini kutoka wilayani na home akaongeza vyumba kadhaa vya hadhi (maana mwanzoni alikuwa anaishi kwenye ki-mono pitch fulani hivi). Mwisho wa siku pia akabadili mfumo wa maisha pale home, hataki tena maji ya kisimani akawa anaweka makatoni ya Uhai/Jambo/Kilimanjaro! Hiace zikaanza kuroga kila zikienda safari nikirudi matengenezo zinalamba hela iliyoingia mpaka na kudai mfukoni kwa mzee wetu! Vivyo hivyo kwa mashine, dah, mzee wetu ikabidi aukimbie mji na kurudi kijijini! Kinachomlinda sasa hivi ni hiyo pension ya kila mwezi maana alistaafu akiwa na mshahara mzuri!
 
Rafiki yangu ilibidi awajengee wazee, walistaafu mzee alikua na kuwanja tu. Kwakua best ana mshahara mzuri aliamua kuchukua mkopo akawajengea wazee ili aachane na kulipa kodi.

Mafao yametoka dingi amemweleza mchungaji kwanza. Home wamekuja kufahamu baada ya mchungaji kupata 10% ya mafao.
Hata sisi tulimjengea mapema akiwa bado kazini; nadhani ilichangia kumfanya abweteke na kuona hela hazina kazi hawa wazee ni watata sana kabla ya kustaafu tulikaa nae sana na kumpa semina elekezi sisi wenyewe na tulikua tunampa mfano wa wenzie walomtangulia kustaafu akawa anatuelewa vizuri sana na akatuahidi akipata tu mpunga atatuita; weeeh alivyopata hata hakutwambia yani hatukujua kapata lini na sh ngapi adi zilivyoisha ndo akafunguka
 
Wastaafu wananaosimama vizuri ktk ujasiriamali ni wale wajasiriamali wenye mafanikio wakiwa kazini......nje ya hapo 1% ndio wanatoboa.... wengi wao wanaishia kujenga na na kununua gari.


Za mstaafu ,hata zikiwa 300 m ....mpe mwaka mmoja, then umuulize umefanyia nn! ...hakika hata kupa jibu.
 
Kuna mzee wetu kikazi, alilipwa 200m+ akawekeza kwenye mashine ya kusaga, hiace 2 za kupiga route vijijini kutoka wilayani na home akaongeza vyumba kadhaa vya hadhi (maana mwanzoni alikuwa anaishi kwenye ki-mono pitch fulani hivi). Mwisho wa siku pia akabadili mfumo wa maisha pale home, hataki tena maji ya kisimani akawa anaweka makatoni ya Uhai/Jambo/Kilimanjaro! Hiace zikaanza kuroga kila zikienda safari nikirudi matengenezo zinalamba hela iliyoingia mpaka na kudai mfukoni kwa mzee wetu! Vivyo hivyo kwa mashine, dah, mzee wetu ikabidi aukimbie mji na kurudi kijijini! Kinachomlinda sasa hivi ni hiyo pension ya kila mwezi maana alistaafu akiwa na mshahara mzuri!
Ile pesa ya kustaafu yaani sijui ina nini? Wakipata huwa wanachanganyikiwa.

Sasa imagine mzee wa 60 yrs anayegemea aanze biashara ya magari na afanikiwe. Wakati angerudi zake kijijini angejenga nyumba ya vyumba viwili au 3 na sebure then akaanzisha kimradi chochote hata cha Mil 2 au 3 cha kumkeep busy tu. Then akala pension yake kwa amani kabisa akisubiria kurudi kwa Muumba wake.
 
Sisi vijana tulioko makazini sasa tunaweza tukawa tunawacheka hao wazee na kuwaona hawana akili, lakini amin amin nakuambieni, kama tusipokua makini na sisi tutaishia huko huko au kubaya zaidi!

Kwanini nasema hivyo?

Nitoe mfano:

Mimi nimeajiriwa almost 15 years sasa niko kazini. Pale ofisini kuna watu nimeajiriwa nao siku moja, na tunalipwa mshahara sawa (mnono) na marupurupu kibao. Katika kipindi hiki, kuna wenzangu wameshafanya maendeleo makubwa sana. Baadhi wameshajenga nyumba zao za kuishi na kuhamia makwao, mimi bado niko kwenye nyumba ya shirika. Baadhi wanamiliki biashara kubwa kubwa mjini, maduka ya nguo, mini-supermarkets, restaurants, mabasi, nyumba za kupanga nk. Wengi wana miradi ya kilimo, ufugaji, nk. Wafanyakazi wenzangu wanatembelea ma prado, ma extrail, ma vanguard, mimi juzi juzi ndio baada ya kuchekwa sana nikakopa nikajikomboa kwa kununua ka Passo.

Pengine utaniuliza mimi pesa zangu nafanyia nini?

Mimi bana kuanzia jumatatu mpaka jumapili ni mwendo wa bata tuu, viwanja vyote hapa mjini najulikana na nnaheshimika balaa..! Demu gani mkali ambae sijatembea nae? Na mademu wananipenda sana maana wengi nimewapangishia kodi nalipa na wengine nimewafungulia biashara. Hoteli gani ya gharama sijalala? Sehemu gani ya starehe sijaenda?? Mimi na washkaji zangu tunajulikana kama ma don hapa town. Kutokana na tabia yangu hiyo, mara kwa mara najikuta mara polisi, ama hospitali kwa kupigana, kuanzisha vurugu, kufumaniwa au kusababisha ajali barabarani. Huko kote inabidi nitumie hela kuhonga au kutibu watu niliowagonga. Ka Passo kangu kila siku kapo gereji kwa jinsi navyokabamiza. Ni kununua taa, vioo, saidi mira, matairi kila uchao. Kwakweli hapa nilipo nna madeni lukuki lakini nikiangalia nilichofanya sikioni. Sina kitegauchumi chochote.

Hapa nilipo najipa moyo kwamba nikistaafu, mambo yangu yatakua mazuri sanaa maana ntalipwa si chini ya 200m.. Hapo sasa ndio ntanunua kiwanja, nianze kujenga, nianzishe miradi mikubwa ya maendeleo na nianze kupiga hela nyingi!!!

Is it possible??

Mtu akipata pesa ndiyo utaifahamu tabia yake, uncle wangu tulijua ni mlokole mpaka alipopata mafao ndiyo tulijua anapenda bia na nyama choma.
 
Sisi vijana tulioko makazini sasa tunaweza tukawa tunawacheka hao wazee na kuwaona hawana akili, lakini amin amin nakuambieni, kama tusipokua makini na sisi tutaishia huko huko au kubaya zaidi!

Kwanini nasema hivyo?

Nitoe mfano:

Mimi nimeajiriwa almost 15 years sasa niko kazini. Pale ofisini kuna watu nimeajiriwa nao siku moja, na tunalipwa mshahara sawa (mnono) na marupurupu kibao. Katika kipindi hiki, kuna wenzangu wameshafanya maendeleo makubwa sana. Baadhi wameshajenga nyumba zao za kuishi na kuhamia makwao, mimi bado niko kwenye nyumba ya shirika. Baadhi wanamiliki biashara kubwa kubwa mjini, maduka ya nguo, mini-supermarkets, restaurants, mabasi, nyumba za kupanga nk. Wengi wana miradi ya kilimo, ufugaji, nk. Wafanyakazi wenzangu wanatembelea ma prado, ma extrail, ma vanguard, mimi juzi juzi ndio baada ya kuchekwa sana nikakopa nikajikomboa kwa kununua ka Passo.

Pengine utaniuliza mimi pesa zangu nafanyia nini?

Mimi bana kuanzia jumatatu mpaka jumapili ni mwendo wa bata tuu, viwanja vyote hapa mjini najulikana na nnaheshimika balaa..! Demu gani mkali ambae sijatembea nae? Na mademu wananipenda sana maana wengi nimewapangishia kodi nalipa na wengine nimewafungulia biashara. Hoteli gani ya gharama sijalala? Sehemu gani ya starehe sijaenda?? Mimi na washkaji zangu tunajulikana kama ma don hapa town. Kutokana na tabia yangu hiyo, mara kwa mara najikuta mara polisi, ama hospitali kwa kupigana, kuanzisha vurugu, kufumaniwa au kusababisha ajali barabarani. Huko kote inabidi nitumie hela kuhonga au kutibu watu niliowagonga. Ka Passo kangu kila siku kapo gereji kwa jinsi navyokabamiza. Ni kununua taa, vioo, saidi mira, matairi kila uchao. Kwakweli hapa nilipo nna madeni lukuki lakini nikiangalia nilichofanya sikioni. Sina kitegauchumi chochote.

Hapa nilipo najipa moyo kwamba nikistaafu, mambo yangu yatakua mazuri sanaa maana ntalipwa si chini ya 200m.. Hapo sasa ndio ntanunua kiwanja, nianze kujenga, nianzishe miradi mikubwa ya maendeleo na nianze kupiga hela nyingi!!!

Is it possible??
Kwa kukushauri tu, nunua kiwanja sasa hivi huko baadae hiyo sehemu itakua imechangamka.

Tabia uliyonayo haina tofauti na wale ma don wa secondary school. Watu wa fashion na kila current affair waliifahamu. Wengi walipata division 0 na IV kwenye mtihani. But we live only once enjoy.
 
Tulijaribu kama mradi fulani ambao ulipata mfadhili CARE INTERNATIONAL wilayani Kasulu mwaka 2002 wakati watumishi wanapata retrechment,mradi huu ulikuwa na lengo la kuwajengea uwezo wastaafu kuzimiliki hela zao pindi wanapopata.

Wastafu hao walifanyiwa semina ya wiki zima na kulipwa posho kila siku na walikuwa wanapata chai na chakula cha mchana. Baada ya kupata mafao yao na kuwafatilia ili kufanya tathimini ikaonekana wote wamefanya madudu na mradi ukafa. Mfadhili hakutoa fedha tena. Yaani hawa wastaafu wakipata fedha zao huwa wanapata kichaa fulani cha gafla.

Kwa maoni yangu miradi ya namna hii haitakiwi kufanyika kwa wastaafu au wale waliokaribia sana kustaafu maana at that point, it is already too late. Hii miradi inatakiwa i target watu waliobakiza angalau 10 years kustaafu! Na ilenge kuwajengea uwezo wa kuanzisha miradi ya maendeleo SASA na sio baada ya kustaafu. Mtu akianza kujenga nidhamu ya pesa miaka kadhaa kabla, akaanza kufanya viji investment vidogo vidogo, au hata vikubwa kwa wale ambao uwezo upo, itamsaidia sana pindi akija kustaafu unakuta angalau anajua ni nini cha kufanyia hizo pesa. Kinyume na hapo ukianza kumpa semina wiki mbili kabla, ndio ile unakuta pesa zinatoka mtu hana hata wazo la nini cha kufanya. Anaanza kujaribu mara daladala, mara kilimo, mara ajenge nyumba, mara sijui nini... mwisho hela zinaisha hata asijue zimeishaje.
 
Wastaafu wengi huumizwa na mafao ambayo yalikengwa kuwasaidia. Kuna mmoja alipata milioni 200, wapambe walimshauri awekeze kwenye uchimbaji mdogo wa dhahabu. Alikaa huko miezi 18. Amerudi nyumbani hana kitu bahati yake mke ni mhangaikaji ana mgahawa.

Wahanga wa matukio haya ni wengi sana. Unamkuta mfanyakazi alikua anapokea laki nne na nusu kwa mwezi ghafla anamiliki milioni 60 benki. Kuna ambao wana malengo. Alikopa huko nyuma na kununua kiwanja na kujenga nyumba ya nyuma ili aachane na kulipa kodi. Alipanga mafao ndiyo ajenge nyumba ya mbele.

Ninachoona mifuko ya jamii iajiri wataalamu wa saikolojia na pia washauri wa uwekezaji. Ile wiki msataafu anayokabidhiwia pesa zake aelewe kuwa ana pesa lakini pesa ni liquid asset na ikishamwagika haizoleki. Apewe pia mawazo katika uwekezaji sahihi kama atapenda.
Unaijua pesa wewe?
 
Kwa kukushauri tu, nunua kiwanja sasa hivi huko baadae hiyo sehemu itakua imechangamka.

Tabia uliyonayo haina tofauti na wale ma don wa secondary school. Watu wa fashion na kila current affair waliifahamu. Wengi walipata division 0 na IV kwenye mtihani. But we live only once enjoy.

Asante kwa ushauri. Ila nimetangulia kusema ni "mfano" 😀
 
Back
Top Bottom