Wassira: Nitagombea urais 2015

Wassira: Nitagombea urais 2015

Rais mtarajiwa akibadilishana mawazo na waziri mkuu mtarajiwa.

PG4A4045.jpg
Hiyo combination wanafunzi watafundishwa taraabu?
 
Duuh!!Hivi siku hizi hapigi usingizi bungeni!!Mwambie asijisumbue bure!"
 
The guy is intelligent, somehow! But he is mediocre! Zaidi ya sura ya kutisha huyu mzee hana kitu kingine makini atakacholeta mezani! I know ni mbabe na ana hasira ya kutosha (too emotional) but this isnt what we need at the moment.
Anafaa sana kufanya biashara za samaki nk. Lakini suala la urais - jamani embu tuangalie angalie, yaani milioni 40 na ushee bado hatuna mtu ??????????????????????????? Yaani we are just a set of fools??????
 
"Jah would never give the power to a baldhead"

Time Will Tell - Bob Marley
 
sasa kama hata DOVUTWA naye amewahi kuomba urais utamkataza nani tena ? Nyie endeleeni tu kuwatania wananchi .
 
huyu jamaa sijawai kusikia akitajwa kwenye kashfa yoyote. Ila kutuongoza kama rais hapana huyu afai. Kwanini anaitwa tyson. Huyu si atatufumua mangumi. Arafu sura yake sasa ni baraa. hapana huyu atufai
 
Jamani naua umetumwa na umeshapewa chako, huyu hawezi kuwa rais hafai, ana sifa ya Unafiki nna nimnafiku mkuu na mwenyekiti wa wanafiki,hawezi kuwa rais, hakuna anayemtaka huyu kwani yeye siku zote huwabeza wanaofanya vizuri, sasa mimi nashangaa anaanza kampeni kabal ya wakati.
 
Anapenda kuwasemea wenzie kwa JK ili wapigwe chini.mmbea sana!lakini sijawahi kusikia kaiba.
 
Back
Top Bottom