Wassira: Nitagombea urais 2015

Wassira: Nitagombea urais 2015

Kaamzisha Benki ya Kilimo wakati akiwa Waziri Mwenye dhamana inazinduliwa mwaka huu yy ndo alitoa wazo mengi kafanya


Vitu vingine msiwe mnazungumza tuuu fanya utafiti kidogo....ULIZA BENKI YA CRDB ILIKUWA YA NANI ,ILIANZISHWA LINI NA NANI ILIKUFANYA NINI..kuanzisha Benki nyingine sasa ni uthibitisho wa namna asivyofaa kupewa hata uenyekiti wa Kijiji.
 
Sifa ya urais sio tuu ya kutokua mwizi zipo nyingi,apite ndio tuanze kumjadili ila sijaona kabisa kama ana uwezo wa kuwa president.
 
Acha wivu wa kike, nenda kapike.

Si bure Bwana Mdogo unavyomshupalia huyo mchapa usingizi bungeni. Naona wewe ni MCCM halisi hamjali tena hata nchi ikizidi kuporomoka, kwenu sawa tu. Loh! wakina zidumu, poleni sana hakuna rangi hamtaona mwaka huu. Mtatukana mpaka matusi yakose nguvu. Mjikute mnatukanana wenyewe kwa wenyewe.
 
Mzee kitu la suti linamshinda kufunga anataka uraisi.
 
Back
Top Bottom