Kajunjumele BA
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 673
- 351
Kaamzisha Benki ya Kilimo wakati akiwa Waziri Mwenye dhamana inazinduliwa mwaka huu yy ndo alitoa wazo mengi kafanya
Vitu vingine msiwe mnazungumza tuuu fanya utafiti kidogo....ULIZA BENKI YA CRDB ILIKUWA YA NANI ,ILIANZISHWA LINI NA NANI ILIKUFANYA NINI..kuanzisha Benki nyingine sasa ni uthibitisho wa namna asivyofaa kupewa hata uenyekiti wa Kijiji.