Wassira: Nitagombea urais 2015

Wassira: Nitagombea urais 2015

Huyu mzee laghai ndiye unataka awe raisi? Mbona hata kwao hakubaliki na yeye mwenyewe anawaambia wananchi wake kwamba wasimwulize maendeleo kwa kuwa alipata ubunge kwa fedha zake?

Unashangaza. Ni kwa namna gani ameonyesha uchungu wa maisha ya watanzania zaidi ya ubabe na kulinda unyang'au wa ccm?

Haya tumekusia, kaa chini.

Mwenye hoja mwingine!!!!!!!!!
 
Afanyenini? The most under perform in the cabinet
 
we don't care, ni uchapakazi wake na uadilifu wake.

Its true ni uchapa kazi lakini anaweza kufyeka msitu huo? Jamaa ana hasira huyo mkimkrofisha anajinyonga sa hiyo hiyo! Walimnyima kugombea wakampa Warioba nafasi akakihama chama! Nako upinzania walipomnyima kugombea uraisi nakao akahama akarudi CCM! Hana msimamo ndo bahati mbaya aliyokuwa nayo!
 
Its true ni uchapa kazi lakini anaweza kufyeka msitu huo? Jamaa ana hasira huyo mkimkrofisha anajinyonga sa hiyo hiyo! Walimnyima kugombea wakampa Warioba nafasi akakihama chama! Nako upinzania walipomnyima kugombea uraisi nakao akahama akarudi CCM! Hana msimamo ndo bahati mbaya aliyokuwa nayo!

Njaa inamsumbua sana mpk Leo hajajipanga wenzake wanakula pension
 
mzee yuko smart sana binafsi namkubali

Thatha, tuhame sasa kutoka ktk kuangalia sura za watu tuanze kuangalia landmarks walizoweka katika nchi. Miaka kadhaa aliyotumikia taifa hili na kuwa kada wa ccm ametufanyia nini waTZ kiasi cha kukubali tumpe promotion ya kuwa president.
 
Hyo picha ya kwanza nadhani ndo picha nzuri kuliko zote,nlizowahi kumuona huyo mzee!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Rais mtarajiwa akibadilishana mawazo na waziri mkuu mtarajiwa.

PG4A4045.jpg
 
Bora nchi ibaki bila rais kuliko kuongozwa na huyu jamaa.
 
mungu aepushie mbal mikono michafa ya mchafu huyu isikamate kurasa zetu takatifu
 
Back
Top Bottom