Wassira: Nitagombea urais 2015

Wassira: Nitagombea urais 2015

nasikitika kumpamba mtu wako kwa kundi moja la wanyonge,mtu wa hvyo hatufai kwani twamtaka ambae atakuwa na maslahi kwa watanzania wote kwakuwa hili si taifa la wanyonge kama unavyohisi,huo unyonge ni mwamvuli wa kukatisha tamaa vjana wasichakarike kutafuta maisha badala yake wajione wanyonge,smkatai/smkubali bali naonesha kuwa twataka hoja na si kumvika mtu mazingira aonewe huruma na kundi fulani la watu,nashauri umpambe mtu wako kwa hoja zenye mashiko ili watz waamue wenyewe,pia epuka kauli jumuishi ili watu watumie akili zao vema kwenye kutafakali hoja zako.nakutakia kazi njema!
 
Du kwel kaz ipo hada na huyu dingi nae anataka uraisi ikulu kuna nn watu wanakimbilia
 
Ni kweli hakuna wanyonge na km wapo wasira ameshiriki kuwatengeneza muda wote alipokua serikali. Na alishiriki kupiga makofi pale mtt wa mkulima fake pinda alipotoa amri kwa askari kupiga wananchi maana amechoka akiwa na wasira. Wasira kigeugeu akipata urais anaweza kuhama cha akajiunga na ukawa na kufanya uchaguzi tena kabla ya muda kwani hii ni tabia yake
 
KIUFUPI, MH. STEPHENE WASSIRA NI TEGEMEO LA WANYONGE NA WATANZANIA KWA UJUMLA AMBAPO ANAZIJUA SHIDA NA HOMA ZA WATANZANIA.
NI MTATUZI WA MATATIZO NA MIGOGORO PALE INAPOKUWA IMESHINDIKANA.
KIONGOZI HUYU ANASTAHILI KUPEWA NCHI ILI AJE KUTUTATULIA MATATIZO YA UCHUMI, UMASIKINI, ELIMU, AJIRA NA KADHALIKA.
KIMSINGI MH. WASSIRA NI MUADILIFU, MZALENDO, MCHAPAKAZI NA ANAIPENDA NCHI YAKE TANZANIA. ANA UCHUNGU WA NCHI YAKE NA YUPO TAYARI KUIVUSHA KUTOKA KATIKA DIMBWI HILI LA UMASIKINI HADI UTAJIRI.

KILA LA KHERI MH. WASSIRA, WATANZANIA TWAKUITAJI UWE RAIS 2015 ILI UMASIKINI TZ IWE NDO BYE
BYEEEEEEEEE

Kuvuta bangi bila kula ni mbaya sana,ukichanganya na viroba ndiyo majanga kabisaaaaa!
 
Alisimamia vibaya swala la haki ya kuchinja kati ya Mkristo na Mwislam.Bila kujali Mfugo ni wa nani,aliwapa haki hiyo Waislam.Hafai kwa sababu hana Msimamo binafsi mpaka apewe maelekezo.

Pia atueleze kwanza kuwa ilikuwaje akaihama ccm na kuisema vibaya baada ya kujiunga nccr, baadaye akakurupuka kurudi ccm na kuanza kuusema vibaya upinzani.
Hana msimamo huyu mzee.
Ni uchu wa madaraka tu.
 
KIUFUPI, MH. STEPHENE WASSIRA NI TEGEMEO LA WANYONGE NA WATANZANIA KWA UJUMLA AMBAPO ANAZIJUA SHIDA NA HOMA ZA WATANZANIA.
NI MTATUZI WA MATATIZO NA MIGOGORO PALE INAPOKUWA IMESHINDIKANA.
KIONGOZI HUYU ANASTAHILI KUPEWA NCHI ILI AJE KUTUTATULIA MATATIZO YA UCHUMI, UMASIKINI, ELIMU, AJIRA NA KADHALIKA.
KIMSINGI MH. WASSIRA NI MUADILIFU, MZALENDO, MCHAPAKAZI NA ANAIPENDA NCHI YAKE TANZANIA. ANA UCHUNGU WA NCHI YAKE NA YUPO TAYARI KUIVUSHA KUTOKA KATIKA DIMBWI HILI LA UMASIKINI HADI UTAJIRI.

KILA LA KHERI MH. WASSIRA, WATANZANIA TWAKUITAJI UWE RAIS 2015 ILI UMASIKINI TZ IWE NDO BYE
BYEEEEEEEEE


View attachment 218268 View attachment 218268View attachment 218268View attachment 218268View attachment 218268

Endelea kujifunza ku-post, utajua tu.
 
Ni kweli kabisa, katika mashindano ya sura mbaya na uwezo mdogo wa kujenga hoja, WASSIRA ni chaguo letu watanzania. CCM OYEEEEEEEE
 
nasikitika kumpamba mtu wako kwa kundi moja la wanyonge,mtu wa hvyo hatufai kwani twamtaka ambae atakuwa na maslahi kwa watanzania wote kwakuwa hili si taifa la wanyonge kama unavyohisi,huo unyonge ni mwamvuli wa kukatisha tamaa vjana wasichakarike kutafuta maisha badala yake wajione wanyonge,smkatai/smkubali bali naonesha kuwa twataka hoja na si kumvika mtu mazingira aonewe huruma na kundi fulani la watu,nashauri umpambe mtu wako kwa hoja zenye mashiko ili watz waamue wenyewe,pia epuka kauli jumuishi ili watu watumie akili zao vema kwenye kutafakali hoja zako.nakutakia kazi njema!

Kula:thumbup:
 

feisalmollel Atasaidiaje Wanyonge wakati itikadi ya Chama Chake yaani hicho CHAMA CHA MAPINDUZI kimelikimbia JEMBE na NYUNDO sasa ni Chama halisi cha KIBEPARI.... Hakijali hao wanyonge na vijana...

Hiyo ndio katiba ya CCM kwahiyo MASIKINI ATABAKI KUWA HAO VIJANA ie PANYA ROAD ndio sera za CCM

Mleta mada uwe na adabu jimbo limemshinda nchi itakuaje?
 
İna maana huyo jamaa, maelekezo ya CC ya Chama chake, ya kuzuia wagombea wa Chama chao wasianze kampeni kabla ya muda uliopangwa na Chama chao, ameliona zuio hilo kama la kipuuzi?
 
Back
Top Bottom