Watanzania wenzangu CCM sio watu hakuna cha Wasira,lowasa wala nani CCM wote ni genge la WEZI,WAUAJI,MAFISADI,WABAKAJI,WAHUNI,MAJAMBAZI,WAKWAPUAJI,MALAYA. Watanzania mpaka sasa tunajishangaa tulivyo waamini watu ambao kumbe SIO WALE WA ZAMANI WALIOSHIRIKI UMASKINI WETU NA TUKAWAONA KWA MACHO YETU WAKIWA MASIKINI KAMA SS,Leo hii mtu yuko ndani ya GARI ya milioni 300 anasema SERIKALI HAINA FEDHA na ANATAKA UMWAMINI NAPATA SHIDA KUJUA KAMA VIONGOZI WA CCM WANA AKILI TIMAMU KAMA BINADAMU WENGINE,KIKWETE Ndiyo zezeta MKUU anazurula kila mahali duniani kama MSUKULE Eti ndiye Rais wa Nchi inayoheshimika Aibu yetu Watanzania.Wazungu wanatucheka sana na wanasema This man has no credibility to be a President of a country he is not creative,Rais maisha yake yote ya Urais ni ombaomba kama KIPOFU analiaibisha TAIFA anafuga WEZI kila mahali MSHENZI MKUBWA HUYU maisha tuliyoambiwa ni bora yako wapi Watu wanahimizwa kilimo na wamelima kwelikweli kumbe CCM na serikali yenu mnakejeli watu matokeo yake Rais anatamka kwamba si LAZIMA NFRA inunue mazao yote na kwa nn hamkusema mapema mkasubiri production iwe kubwa ili muwakomoe WANANCHI, Sasa CCM Jiandaeni kisaikolojia lazima tuwapumzishe maana HAMNA AKILI KIUONGOZI Pamoja na huyo ----- wenu JK Tumetumia nguvu nyingi na rasilimali nyingi kwenye kilimo lkn tunaishia kufa maskini,Mbaya zaidi viongozi wanaona hili ni jambo la mzaha tu kwa sababu tu wao wanashiba na ss tunalala bila kula,MAHINDI YETU YAMEHARIBIKA KWA MVUA NA WADUDU Serikali imeshindwa kabisa kutafuta SOKO waziri anazunguka kwenye kiti na kula kiyoyozi tu,halafu bado mnataka KURA ZETU ILI MUENDELEE KUTUONGOZA HUU NI UKICHAA.WATAKAO IPENDA CCM HII NI MASHETANI TU, MTU WA MUNGU NA MWADILIFU HAWEZI KUIPENDA CCM HII ILIYOKENGEUKA NA SI TENA YA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI BALI NI YA MAJAMBAZI,WAUAJI,MAFISADI,WEZI,WAUZA UNGA,WATOROSHAJI,WAKWAPUAJI,WAPINGA MAADILI NA KUYAFUTA KWENYE RASIMU YA KATIBA.
HAYO YOTE YAPO NDANI YA CCM,Kama unashabikia CHAMA hiki hutajitenga na hayo na kwa sababu hiyo una ROHO YA USHETANI NDANI YAKO.
BADILIKA MTANZANIA CCM SIO CHAMA NI GENGE LA WAHUNI.
PIGA KURA YA HAPANA KWA KATIBA YA CCM INAYOPENDEKEZWA.
MUNGU IBARIKA TANZANIA.MUNGU IBARIKI AFRIKA.
Huu wimbo umekwisha expire wewe bado unao tu, endelea kuimba ili Mazuzu wenzio wakusikie. Muulize Lowassa atakwambia jinsi Wassira anavyomnyima usingiziLabda awe Raisi wa hifadhi ya Gombe, maana anastahili kwa vile wenzie hawavai nguo yeye anavaa.
mmmh huyu nae ameombwa ama kweli na mimi nakaribia kupokea wageni ambao nadhani watakuja kuniomba nigombee urais. hivi kila mtu anaweza kuwa rais wa hii nchi uraisi unaonekana ni kitu raisi sana siku hizi na aliyefanya uonekane kuwa ni rahisi ni huyu baba rizi, aliwahi kunena rais wa awamu ya 11 wa marekeni kwamba "with me it is exceptionally true that the presidency is no bed of roses" sasa kama mtu hatambui umuhimu wa nafasi hii ndo utasikia leo wasira, kesho nyalandu, keshokutwa kigwangala n.k
Watanzania wenzangu CCM sio watu hakuna cha Wasira,lowasa wala nani CCM wote ni genge la WEZI,WAUAJI,MAFISADI,WABAKAJI,WAHUNI,MAJAMBAZI,WAKWAPUAJI,MALAYA. Watanzania mpaka sasa tunajishangaa tulivyo waamini watu ambao kumbe SIO WALE WA ZAMANI WALIOSHIRIKI UMASKINI WETU NA TUKAWAONA KWA MACHO YETU WAKIWA MASIKINI KAMA SS,Leo hii mtu yuko ndani ya GARI ya milioni 300 anasema SERIKALI HAINA FEDHA na ANATAKA UMWAMINI NAPATA SHIDA KUJUA KAMA VIONGOZI WA CCM WANA AKILI TIMAMU KAMA BINADAMU WENGINE,KIKWETE Ndiyo zezeta MKUU anazurula kila mahali duniani kama MSUKULE Eti ndiye Rais wa Nchi inayoheshimika Aibu yetu Watanzania.Wazungu wanatucheka sana na wanasema This man has no credibility to be a President of a country he is not creative,Rais maisha yake yote ya Urais ni ombaomba kama KIPOFU analiaibisha TAIFA anafuga WEZI kila mahali MSHENZI MKUBWA HUYU maisha tuliyoambiwa ni bora yako wapi Watu wanahimizwa kilimo na wamelima kwelikweli kumbe CCM na serikali yenu mnakejeli watu matokeo yake Rais anatamka kwamba si LAZIMA NFRA inunue mazao yote na kwa nn hamkusema mapema mkasubiri production iwe kubwa ili muwakomoe WANANCHI, Sasa CCM Jiandaeni kisaikolojia lazima tuwapumzishe maana HAMNA AKILI KIUONGOZI Pamoja na huyo ----- wenu JK Tumetumia nguvu nyingi na rasilimali nyingi kwenye kilimo lkn tunaishia kufa maskini,Mbaya zaidi viongozi wanaona hili ni jambo la mzaha tu kwa sababu tu wao wanashiba na ss tunalala bila kula,MAHINDI YETU YAMEHARIBIKA KWA MVUA NA WADUDU Serikali imeshindwa kabisa kutafuta SOKO waziri anazunguka kwenye kiti na kula kiyoyozi tu,halafu bado mnataka KURA ZETU ILI MUENDELEE KUTUONGOZA HUU NI UKICHAA.WATAKAO IPENDA CCM HII NI MASHETANI TU, MTU WA MUNGU NA MWADILIFU HAWEZI KUIPENDA CCM HII ILIYOKENGEUKA NA SI TENA YA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI BALI NI YA MAJAMBAZI,WAUAJI,MAFISADI,WEZI,WAUZA UNGA,WATOROSHAJI,WAKWAPUAJI,WAPINGA MAADILI NA KUYAFUTA KWENYE RASIMU YA KATIBA.
HAYO YOTE YAPO NDANI YA CCM,Kama unashabikia CHAMA hiki hutajitenga na hayo na kwa sababu hiyo una ROHO YA USHETANI NDANI YAKO.
BADILIKA MTANZANIA CCM SIO CHAMA NI GENGE LA WAHUNI.
PIGA KURA YA HAPANA KWA KATIBA YA CCM INAYOPENDEKEZWA.
MUNGU IBARIKA TANZANIA.MUNGU IBARIKI AFRIKA.
Yaani hapa na MEKAP ndio tayari!?
Kapelekwa wizara ya kilimo na chakula ili awe karibu na wananchi,lengo ni kuwafanya wananchi ambao wengi watu ni wakulima tuwe na imani nae ili mwezi october tumpigie kura.
Kapelekwa wizara ya kilimo na chakula ili awe karibu na wananchi,lengo ni kuwafanya wananchi ambao wengi watu ni wakulima tuwe na imani nae ili mwezi october tumpigie kura.