Chipanseeeeeeee
Duuh kumbe makeup inaweza kubadilisha sura ya mtu.View attachment 218606
Kinachonihuzunisha zaidi ni kwamba kuna wajinga wengi watakaokuwa tayari kumpigia kura.
huyu jamaa sijawai kusikia akitajwa kwenye kashfa yoyote. Ila kutuongoza kama rais hapana huyu afai. Kwanini anaitwa tyson. Huyu si atatufumua mangumi. Arafu sura yake sasa ni baraa. hapana huyu atufai