Wassira Kawa Padri?

Wassira Kawa Padri?

Status
Not open for further replies.
Idd Amin alikua handsome kuliko hata huyu jamaa!
 



haha vipi niliona mahala kiongozi wenu ambaye haruhusiwi kuoa katafuna mke wa mtu , usipoteze muda na njiwa JF mi nimeruhusiwa kuoa hadi 4 , kachunge mkeo .. wameamua kuchinja basi wanachinja hadi wake za watu


Akili yako fupi kama kasuruali kako
 
Eeeh eeeeh!!! Jamani muwe mnatuwekea "Parental Advisory" kwenye heading...maana nimeifungua sredi nikiwa na mtoto wangu mdogo sasa nahangaika kumbembeleza hapa. Duuuuh!! Kweli kazi ya Muumba haina makosa.
 
Duuu Huyu Mzee hatari kama si siasa angekuwa Sangoma!!anatisha jamani!mbona ndugu zake hawako hivyo?yeye alikumbwa na nini?kama amezaliwa kwenye moto....du!hahhhaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom