Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,377
mzee wa msitu kaona m4c balaa! Subiri mziki wake 2015
Hatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.
Source Gazeti Jamuhuri
Ritz, Simiyu yetu, HAMY-D, bungeni. Nadhani mmepata taarifa kwamba mzee wenu amekiri kwamba haiwezekani kukisambaratisha CHADEMA hivyo tafuteni namna mpya ya kufanya siasa lakini kwa mfumo huu wa siasa zenu uchwara mnakiangamiza Chama Cha Mapinduzi.
Watanzania Wana vyama vingi vya upinzani ndiyo fursa waliyonayoNimesoma kidogo tu ila nimecheka sana bwasheee
Kuifuta cdm ni Kwa kutatua shida za watz,wameacha kutatua shida za watz kutwa kucha wanakimbizana na Mbowe badala ya shida za watzHatimaye waziri wa Jk bwana Stephen Wasira kakili kuwa CHADEMA haiwezi kufa kirahisi na CCM wasibweteke na kudhani kitakufa kama walivyopanga huko nyuma na kuwaomba waangalie njia mbadala ikiwemo kumshawishi msajili wa vyama vya siasa kukifuta.
Source Gazeti Jamuhuri