Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,658
Huyu Mzee hana cha kupoteza anatumika tu. Kuropoka kwake kuna namna...
SIASA ZA Mh 6 SIJUIKAMA ATALAMBA DUME! Mara CCJ! Mara atajejiunga Chadema! Mara anaikosoa Serikali aliomo! Mara atangaza Marafiki zake ambapo mda ukifika watajadiliana nani agombe Urais! Daah! "NAMSHAURI ASTAAFU SIASA"
Ushawahi kumlahumu padre/mchungaji au shekhe kumaliza ibada kwa kumkemea/kumtaja shetani?
Hivi kinyesi chooni hujijua kwamba chenyewe ni kinyesi eeh?!!!Maana naona mheshimiwa mzee wa hifadhi ya Gombe anamwambia mnafiki Sitta kwamba Samaki mmoja akioza wote wameoza tehe tehe kumbe wanajijua wameoza kuanzia chini mpaka juu,kutokea nyuma mpaka mbele,kutoka kulia mpaka kushoto...Kweli watanzania ni wendawazimu wa kutupwa hapa duniani kukubali kuongozwa na watu ambao wanajijua wameoza kwa ufisadi!!!!Wassira amemwambia Sitta "kama unaona serikali inaendeshwa kwa rushwa jiuzuru", akaendelea kusisitiza, "huwezi kuwa kwenye serikali hiyo hiyo bado unaisema ni serikali ya kifisadi wakati na wewe ni sehemu ya serikali."
Wassira pia aliongeza yafuatayo, "huwezi kuisema serikali vibaya wakati na wewe ni sehemu ya serikali hiyo, vinginevyo ndugu Sitta aachie ngazi la sivyo huu utakuwa utapeli wa kisiasa".
Aidha, katika kuimalizia hoja yake hii aliuliza swali, "samaki mmoja akioza, wote wanaoza, sasa yeye (akimaanisha Sitta) atasalimika vipi?"
My take;
Mhe. Sitta nadhani ana hitaji kukopeshwa busara kidogo, katika hatua hii huwezi kujifanya una chukizwa na madudu ya serikali ambayo kwa kipindi chote hiki amekuwa akiitumikia, amekuwa sehemu ya serikali hiyo na kama akisema kuna madudu, na yeye tuseme ni miongoni mwa wazalisha madudu hayo.
Mhe. Sitta, kiu ya urais isikufanye uonekane kituko mbele ya watanzania, kuwa mpole na usubiri wakati muafaka, kwani tabia hizi za kuropoka ropoka ndani ya CCM hatunazo, tuwaachie hii tabia wasaka dola bila mbinu (CHADEMA).
mkuu mzee 6, mnafiki sana!Kiwewe cha kuukosa uwaziri mkuu na uspika bado kinamsumbua.
Nakumbuka baada ya kupokwa uspika, huyu Mheshimiwa aliiomba serikali hiyo hiyo anayoituhumu aendelee kutumia gari ya spika na kuishi kwenye nyumba ya spika iliyokuwa inalipiwa na serikali $10,000/= kwa mwezi.
Alichongea wassira yupo sahihi kwa 100% kwani Sitta miongon mwa wajenga dola sasa anapotoa shutuma kama hzo then aonyeshi suluhisho juu ya tatizo 2namuona n mnafki pia mbinu yake ambayo anatumia ili apate urais aje ku2mikia kanisa kama Nyerere ajue ameshndwa.
Sitta ndani ya ccm atakuwa na wakati mgumu sana, sababu kubwa ni kujifanya tofauti na wenzake! Yeye anajifanya msafi kuliko wenzake ndani ya ccm wakati ni tofauti, ni huyuhuyu sitta aliyejenga ofisi ya spika urambo kwao,kana kwamba siku zote spika atatoka urambo!
Huyu Mzee hana cha kupoteza anatumika tu. Kuropoka kwake kuna namna...
Wassira amemwambia Sitta "kama unaona serikali inaendeshwa kwa rushwa jiuzuru", akaendelea kusisitiza, "huwezi kuwa kwenye serikali hiyo hiyo bado unaisema ni serikali ya kifisadi wakati na wewe ni sehemu ya serikali."
Wassira pia aliongeza yafuatayo, "huwezi kuisema serikali vibaya wakati na wewe ni sehemu ya serikali hiyo, vinginevyo ndugu Sitta aachie ngazi la sivyo huu utakuwa utapeli wa kisiasa".
Aidha, katika kuimalizia hoja yake hii aliuliza swali, "samaki mmoja akioza, wote wanaoza, sasa yeye (akimaanisha Sitta) atasalimika vipi?"
My take;
Mhe. Sitta nadhani ana hitaji kukopeshwa busara kidogo, katika hatua hii huwezi kujifanya una chukizwa na madudu ya serikali ambayo kwa kipindi chote hiki amekuwa akiitumikia, amekuwa sehemu ya serikali hiyo na kama akisema kuna madudu, na yeye tuseme ni miongoni mwa wazalisha madudu hayo.
Mhe. Sitta, kiu ya urais isikufanye uonekane kituko mbele ya watanzania, kuwa mpole na usubiri wakati muafaka, kwani tabia hizi za kuropoka ropoka ndani ya CCM hatunazo, tuwaachie hii tabia wasaka dola bila mbinu (CHADEMA).
Acha propaganda zako za kitoto.
Nani amekwambia Chadema ni chama cha wachaga?
Hivi sugu amechaguliwa ubunge Mbeya mjini,hilo si eneo la wanyakyusa?
Na je Mwanza nako,walikompa kura Wenje na Kiwia,nako utasema ni kwa wachaga?
Nako Kigoma kaskazini,aliokopata kura nyingi sana za ubunge,Zitto Kabwe,nako utasema kuna wachaga wengi kuliko waha?!
Hizo buku saba saba,mnazolambishwa hapo Lumumba,kwa kutangaza propaganda za magamba humu JF,zinawafanya mshindwe kabisa kupambanua mchele na pumba?!
Wassira amemwambia Sitta "kama unaona serikali inaendeshwa kwa rushwa jiuzuru", akaendelea kusisitiza, "huwezi kuwa kwenye serikali hiyo hiyo bado unaisema ni serikali ya kifisadi wakati na wewe ni sehemu ya serikali."
Wassira pia aliongeza yafuatayo, "huwezi kuisema serikali vibaya wakati na wewe ni sehemu ya serikali hiyo, vinginevyo ndugu Sitta aachie ngazi la sivyo huu utakuwa utapeli wa kisiasa".
Aidha, katika kuimalizia hoja yake hii aliuliza swali, "samaki mmoja akioza, wote wanaoza, sasa yeye (akimaanisha Sitta) atasalimika vipi?"
My take;
Mhe. Sitta nadhani ana hitaji kukopeshwa busara kidogo, katika hatua hii huwezi kujifanya una chukizwa na madudu ya serikali ambayo kwa kipindi chote hiki amekuwa akiitumikia, amekuwa sehemu ya serikali hiyo na kama akisema kuna madudu, na yeye tuseme ni miongoni mwa wazalisha madudu hayo.
Mhe. Sitta, kiu ya urais isikufanye uonekane kituko mbele ya watanzania, kuwa mpole na usubiri wakati muafaka, kwani tabia hizi za kuropoka ropoka ndani ya CCM hatunazo, tuwaachie hii tabia wasaka dola bila mbinu (CHADEMA).
Ushawahi kumlahumu padre/mchungaji au shekhe kumaliza ibada kwa kumkemea/kumtaja shetani?
Mkuu ukiona kijana mwenye akili timamu ana mawazo au akili ya huyo Mystery ujue kuna ma 2,either anatoa 0713 au umri ukienda enda atakua mchawi.