rebeccamrema
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 334
- 196
Wasomi/wanazuoni wa degree ya kwanza na wengine bado wangali vyuoni.....naona those two words zimepata maana mpya....ni njaa au kichaa?
hata post yako tu imesukumwa na njaaa mkuu
Wasomi/wanazuoni wa degree ya kwanza na wengine bado wangali vyuoni.....naona those two words zimepata maana mpya....ni njaa au kichaa?
Ili kukata mzizi wa fitina tume huru iundwe,wakiwemo kina mbowe,mkono,mengi,simbachawene,wasira,mwiguru,etc,wafuatilie hesabu yote A to Z,iwekwe wazi maana kina zito wanadai pesa ya umma bilioni 321 au 306 imeibiwa ,wakati kwenye account ya escrow zilikuwemo bilion 182.
sasa hizo zingine waliiba toka wapi?
Lakini wewe MTK si umeenda shule,hebu weka ushabiki kando ,uanze kupangua point za hao vijana.
tuambie inakuaje kina zito wadai zimechotwa bilion 321 wakati zilikuwemo bilion 182?
uwiiiii!! Uwiiiii!! Uwiiii!!!!! Jamani tumekwisha kama wasomi wetu ndiyo hawa, hatuna wasomi hapa nchini!
Niwaulize swali dogo sanaaa!! La darasa la chekechea au vidudu kwa lugha nyingine, hivi wameona kasoro hiyo tu ya kamati ya bunge (pac) - wakati maoni yetu yakichakachuliwa ndani ya bunge la katiba walikuwa hawajahitimu usomi wao????? Mamamaaaaaa!! Aiseee nikubaliane na wale waliosema njaa kweli mbaya, leo mnakubali kudhalilisha usomi wenu kwa thamani ndogo ya fedha!!! Waombeni radhi watanzania! Na ikibidi jiwekeni wazi majina yenu tuwajue!!!
Kama mmekerwa na jinsi bunge lilivyojadili suala la akaunti ya tegeta escrow, basi hata mambo mengine ya msingi mgeyajadili na kuishauri serikali yetu, mfano ni tatizo la ukosefu wa ajira hapa nchini, wapo wazee mpaka leo wamenga'ang'ania madaraka ya nchi hii hawataki kuachia ngazi, hilo ninyi mnaliona sawa, deni kubwa la taifa, ambalo linatisha hatujawasikia mkipiga kelele kuhoji fedha zilizokopwa zilitumika katika miradi ipi ya maendeleo hapa nchini!!!
Jamaniii watanzania kumbe hatuna wasomi, inatishaaa na kuogofya saaaaaaana!!!!
sishangai, hawa ndiyo 'wasomi' wa kibongobongo wanaotumia kwato na matumbo kufikiri. Wanafikiri, kuona na hata kuelewa tofauti na binadamu wote! Ni wasomi wa kisisiemusisiemu eti!
Ubongo wa umenunuliwa kwa rupia, vichwani kujazwa tope na kwa fahari wanatetea baba zao.
Walaaniwe sasa had i vizazi 100 vijavyo!
ni kweli mkuu kinachotakiwa ni rais aunde tume huru ili kujiridhisha kati ya maelezo ya CAG na ripoti ya PAC, ili kutoa maamuzi yalivyo sahihi
ndugu hawa vijana ni mbwa flani vile.
Wanaidhalilisha hadhi ya vyuo vyetu, uelewa wa vijana wa tanzania na kizazi hiki.
Hawa walistahili kupigwa hadharani. Taifa linateeketea halafu kenge wa div - 5 na brn wanasifia upumbavu!!!!!!
ni maelezo ya pac, tra, pccb na cag. Naamini hao wengine walihojiwa na pac tena kwa viapo.
Hao wasomi mkakati hawana jipya!
Sishangai, hawa ndiyo 'wasomi' wa kibongobongo wanaotumia kwato na matumbo kufikiri. Wanafikiri, kuona na hata kuelewa tofauti na binadamu wote! Ni wasomi wa kisisiemusisiemu eti!
Ubongo wa umenunuliwa kwa rupia, vichwani kujazwa tope na kwa fahari wanatetea baba zao.
Walaaniwe sasa had I vizazi 100 vijavyo!
yaani appearance yako unafanana na huo ----- uliopost dada yangu
Walikuwa wapi wakati report hii inasomwa Bungeni?
Kweli njaa mbaya....mi sijawaelewa kwanza maana composition yenu inadhalilisha elimu zenu mmejinunulia aibu kwa bei rahisi sana bora mngesema vijana wa sekondari.
pumbavu sana mje Tunduma mpigwe mawe
Vyuo vikuu vya kata shida sana.