MAPENDEKEZO NA MSIMAMO WETU.
3. Tunamuomba Rais, aviagize vyombo vyake vya ulinzi na usalama viwachunguze wabunge hawa kwa kukubali kutumiwa, kuhongwa na kununuliwa ili kutuondolea watetezi wetu wa Rasilimali.
View attachment 210855 View attachment 210856
Walikuwa wapi wakati report hii inasomwa Bungeni?
Njaa mbaya sana walau mngesema wahitimu wa Secondary za kata ningesoma maelezo yenu yote. Jamani naomba na mimi mnitumie japo hizo mlizobakiza katika mgao wa kutetea wezi no zangu hizi hapa kwa M PESA; 0768 334 43388.
Nimeangalia kile kilichoandikwa na hao wasomi kwa kweli ni ----- mtupu, na ukiangalia kwa jicho pana unaona ni tamko maalum la vijana wasomi( uchwara). Sijaona kama ni fikra HURU!
Nyang'au kweli kwanza mmeanza kwa kutoa misifa yakijinga kwa wizara ya nishati, mkimaanisha mnamsafisha waziri na mwenzie, tumesikia manenomengi kua kuna pesa inatembea tembea, hiyotumehuru ya kivip?
ccm mule wamejaa upinzani kidunchu, Huo usomi wenu bure na nyie mchunguzwe hizopesa mlosomeshwa nje ya nchi zimepotea kifisad nyambafu NB:ACHENI SAKATA HILI KWANZA MAAZIMIO YATEKELEZWE NANY MJE NA PAKAPAKA ZENU
wanachuo uchwara wakoje mkuu
eti wasomi!! My foot.. Haya yote kayasababisha jk ..angekuwa ashafanya maamuzi muda mrefu ..hawa wahuni wasinge ibuka na upuuzi kama huu.
Ripoti ya CAG,hakuna sehemu yoyote inayosema kwamba fedha iliyotolewa kwenye akaunti ya escrow ni mali ya umma.
ripoti ya cag,hakuna sehemu yoyote inayosema kwamba fedha iliyotolewa kwenye akaunti ya escrow ni mali ya umma.