Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Ili kukata mzizi wa fitina tume huru iundwe,wakiwemo kina mbowe,mkono,mengi,simbachawene,wasira,mwiguru,etc,wafuatilie hesabu yote A to Z,iwekwe wazi maana kina zito wanadai pesa ya umma bilioni 321 au 306 imeibiwa ,wakati kwenye account ya escrow zilikuwemo bilion 182.
sasa hizo zingine waliiba toka wapi?
sasa hizo zingine waliiba toka wapi?