Wasomi waiponda PAC, wataka tume huru

Wasomi waiponda PAC, wataka tume huru

Ili kukata mzizi wa fitina tume huru iundwe,wakiwemo kina mbowe,mkono,mengi,simbachawene,wasira,mwiguru,etc,wafuatilie hesabu yote A to Z,iwekwe wazi maana kina zito wanadai pesa ya umma bilioni 321 au 306 imeibiwa ,wakati kwenye account ya escrow zilikuwemo bilion 182.
sasa hizo zingine waliiba toka wapi?
 
Walikuwa darasani wanafundishwa cha kuandika!
Hapa si suala la kufundisha wameonyesha weakness kwenye ripoti ya PAC ni juu sasa ya zito na kundi lake waje na majibu.
 
Wahitimu wa shule za Kata zisizokuwa na walimu wala maabara, walevi wa Viroba original, vijana wa kata K; hivi nao hawa siku hizi wanaitwa wasomi! Aaastagafururahi!!!!! No wonder nchi hii waziri mzima wa serikali ya JK; Hawa Ghasia; anadiriki kusimama Bungeni anachangia hoja kitu asichokijua; ESCROW!! Msiwasikilize hao walevi! Moderators futa Uzi huu, bs
Lakini wewe MTK si umeenda shule,hebu weka ushabiki kando ,uanze kupangua point za hao vijana.
tuambie inakuaje kina zito wadai zimechotwa bilion 321 wakati zilikuwemo bilion 182?
 
Inawezekana ni kweli sijui hesabu lakini ukiniambia tano jumlisha tano jibu ni tatu lazima nikubishie kwa sababu kivyovyote vile tano kujumlisha tano jibu lazime liwe kubwa kuliko tano. Hawa wanaojiita vijana wasomi wanataka kutulazimisha tatu iwe ndio jbu la tano jumlisha tano. hakika hawa ni ashki majinuni, vihiyo wasiojua ni lini na ni nini hatima zao. Eti wanatumia neno "vijana wasomi" ili kutuziba midomo. Warudi kwa Muhongo wakamwambie tumewashtukia labda waje na hoja nyingine!
 
Nyie sio wasomi ila ni madalali wa Elimu...... Hayo
Mambo ya Muhongo Kuwa na uhasama na wengine ndio yaliyoelezwa kwenye ripoti ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali?
 
Watu wakikosa influence kwa jamii hujitwika title yoyote ile mradi wapate nafasi ya kulamba miguu ya mabwana zao.
Kama nyie ndio mngekua wasomi wa Tanzania kwa na hoja hizo?? nchi ingekua na hali mbaya mara mia ya hapa.
 
Inawezekana ni kweli sijui hesabu lakini ukiniambia tano jumlisha tano jibu ni tatu lazima nikubishie kwa sababu kivyovyote vile tano kujumlisha tano jibu lazime liwe kubwa kuliko tano. Hawa wanaojiita vijana wasomi wanataka kutulazimisha tatu iwe ndio jbu la tano jumlisha tano. hakika hawa ni ashki majinuni, vihiyo wasiojua ni lini na ni nini hatima zao. Eti wanatumia neno "vijana wasomi" ili kutuziba midomo. Warudi kwa Muhongo wakamwambie tumewashtukia labda waje na hoja nyingine!
Kumetokea wizi ofisini kwenu,meneja wako anadai kwenye sefu zilikuwemo milioni 100.
wewe tajiri mwenye ufunguo wa sefu unasema humo kwenye sefu zilikuwemo milioni tano tu,huoni hapo ni kuchanganya watu?
 
JK anabana tu lakini ataachia na kusurrender. Huwezi kutishia kujam.ba wakati unaharish.a
 
Lakini wewe MTK si umeenda shule,hebu weka ushabiki kando ,uanze kupangua point za hao vijana.
tuambie inakuaje kina zito wadai zimechotwa bilion 321 wakati zilikuwemo bilion 182?
Hebu weka entries zinazo sum up to 182 ili kupinga hiyo 321, maana "zilikuwemo" sio tendo la hisabati!!!!
 
huo ni upumbavu kwa vibaka mnaojita wasomi afu unashindwa kupambanua mambo.
tena mkome kuchafua wasomi wa tz
Tusiwe na jazba kuwaponda wasomi, naomba tusitizame walioandika bali tutizame kilichoandikwa, mimi sioni kama kuna makosa wao kutoa maoni yao na kuikosoa kamati kama wameona ripoti yao ina dosari.Mbona hamkupiga kelele pale Mh Jaji Warioba aliposema ripoti ni dhaifu. Ripoti ya PAC inaonyesha wazo haipo wazi,haina ukweli na haikutengenezwa kitaalamu bali kisiasa, maana imefagilia chini ya kitanda uchafu mwingi saana kwasababu ya kuwalinda watu fulani fulani, sasa wanaojiita wasomi kuomba iundwe tume huru kuna kosa gani? Wengi wetu kwa kushabikia tunachotaka mawaziri waliotajwa wawajijibishwe,tunafikiria ndio tutakua tumemaliza tatizo, sasa je ule uchafu waliotaja ambao wamehusika ambao uchafu wao umefagiliwa chini ya kitanda tuuache? Tutakua tumefanya nini? Tunatakiwa tuusafishe uchafu wote na tutoe uamuzi ulio wa haki.
 
Nyinyi wapuuzi wenye mawazo ya udini msifaa ktk jamii ya ukweli na uwazi wanazuoni wa dini au wasomi wakweli hamna hata haya bunge ni bunge mmeoata wapi mamlaka eti ua kukemea mawazoyenu ya isis nendeni zenu wasomi wa nini
 
nimepuuza ulichopost kama nilivyokuouuza wewe mwenyewe
We cha.ngu sibishani na watu wenye akili sawa na gram 2.35 (sawa na manyoya ya kuku) katafute size yako wakurekebishe na hayo marinda nadhani yana muwasho.
 
Hii ni shida sasa kama hawa nao nd'o wasomi kama wanavyojiita basi hii nchi imeshakwisha.
 
Hamfai hata kidogo si wasomi digrii za usomi wa mitaani nsy matokeo yake haya ujinga mbele ya jamii hamjajitmbua
 
Kumetokea wizi ofisini kwenu,meneja wako anadai kwenye sefu zilikuwemo milioni 100.
wewe tajiri mwenye ufunguo wa sefu unasema humo kwenye sefu zilikuwemo milioni tano tu,huoni hapo ni kuchanganya watu?

kumbe sote tunakubaliana kuwa pesa zilikuwepo, je zimeenda wapi? kuna mzembe hapa amefanya hizo pesa zitafunwe. bahati mbaya kuna wafanyakazi ndani ya ofisi hii hii hawataki huyo mzembe achukuliwe hatua. au nao wanahusika?
 
Kaazi kwelikweli. Wasomi watoa tamko. Bahati mbaya wako affiliated na upande mmoja unaohusika moja kwa moja katika sakata hili. Wanajitahidi kuwa "neutral" ila wanashindwa. Mmoja wao yupo hapa (@ rebeccamrema) kutetea kile walichokiandika kwani hakijitetei chenyewe.

Kwahakika siwalaumu. Mawaziri na wabunge nao waligawanyika. Walikua na pande zao. Hawakuweza kuwa "neutral". Mpaka leo hakuna kauli moja kama taifa kama mali ni za umma au za IPTL na kina Chenge, Tibaijuka na wengineo. Kila mtu anasema lake. Hii ni dalili tosha kuwa nchi ipo mrama.

Ila "mabwana" zetu wanaotuwekea chakula mezani wamesema hawatoi hela zao mpaka kieleweke. Labda hii itatusaidia kina tomaso kujua ukweli maana sidhani kama na wao "wameaminishwa" uongo na Zitto. Hii filamu wala haijakaribia mwisho ndio kwanza mastelingi wengine wanaingia. Tutaona na kusikia mengi. Ila kitaeleweka tu hata ikiwa 2050.
 
Uwiiiii!! Uwiiiii!! Uwiiii!!!!! Jamani tumekwisha kama wasomi wetu ndiyo hawa, hatuna wasomi hapa nchini!

Niwaulize swali dogo sanaaa!! La darasa la chekechea au vidudu kwa lugha nyingine, hivi wameona kasoro hiyo tu ya kamati ya bunge (pac) - wakati maoni yetu yakichakachuliwa ndani ya bunge la katiba walikuwa hawajahitimu usomi wao????? Mamamaaaaaa!! Aiseee nikubaliane na wale waliosema njaa kweli mbaya, leo mnakubali kudhalilisha usomi wenu kwa thamani ndogo ya fedha!!! Waombeni radhi watanzania! Na ikibidi jiwekeni wazi majina yenu tuwajue!!!

Kama mmekerwa na jinsi bunge lilivyojadili suala la akaunti ya tegeta escrow, basi hata mambo mengine ya msingi mgeyajadili na kuishauri serikali yetu, mfano ni tatizo la ukosefu wa ajira hapa nchini, wapo wazee mpaka leo wamenga'ang'ania madaraka ya nchi hii hawataki kuachia ngazi, hilo ninyi mnaliona sawa, deni kubwa la taifa, ambalo linatisha hatujawasikia mkipiga kelele kuhoji fedha zilizokopwa zilitumika katika miradi ipi ya maendeleo hapa nchini!!!

Jamaniii watanzania kumbe hatuna wasomi, inatishaaa na kuogofya saaaaaaana!!!!
 
Wasomi/wanazuoni wa degree ya kwanza na wengine bado wangali vyuoni.....naona those two words zimepata maana mpya....ni njaa au kichaa?
 
Back
Top Bottom