Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,957
- 8,005
wanazuoni jumuiya yenu inaitwaje , je imesajiliwa? mmesomea fani gani mpaka muone kila kitu hovyo kwenye ripoti ya PAC Maana hapakutakiwa habari ya miamba pale panataka sheria domestic na internationa masuala ya uhasibu wa kimataifa banking auditing finance wabunge na kamati walikuwa na taaluma hizi na access ya wataalam nje ya bunge au nyie ndo wasomi wa kwanza ? kaa kwenye radio msikilize mtukufu raisi anahitimisha mambo