Mpitagwa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 2,338
- 1,126
sawa mama tutaona hayo unayosema
Mbona unaniita mama nitake radhi kabla sijakureport
sawa mama tutaona hayo unayosema
Kumpoteza Muhongo kwa sababau tu tangu kuingia kwake ofisini ameziba mianya ya uchotwaji mkubwa wa pesa za watanzania kupitia sekta ya madini, na sasa mabepari wameungana na wabunge wenye husda kupambana dhidi ya kweli na haki anayosimamia Muhongo. Kumpoteza Muhongo kwa sababu tu yeye na Katibu mkuu wake Eliakim Maswi, hawana mawasiliano mazuri na Mwenyekiti wa PAC Zitto Kabwe (Hii inatokana na kitendo chao kudhibiti udalali wa Rasilimali)Bora nimeshapita umri wa kuitwa kijana. Kama ujana ndiyo huu, bora kubaki sie wazee tu...!
Natamani ningewaona na kuwaomba kuyajibu hayo maswali waliyouliza kwa kutoa usahihi wake...Mfano, kama siyo 306b, zilichukuliwa ngapi?
Shame on youths of this calibre!
Wanazuoni gani nyie mnajua mamburula ni kuna asumta tu wengine bado wapo vyuoni nahivi wamepewa milioni tatutatu na laptop lazima wafanyekazi kwa kuwatetea wezi wenzao SHEM to them wengine wanatafuta Kik kwa kuwapinga watu maarufu wapuuzi kweli
Standard Chartered ilikuwa na imani kuwa baada ya kununua deni la Mechmar ndani ya IPTL, ingekuwa rahisi kupata fedha zilizowekwa kwenye akaunti ya Escrow ambayo sasa inabishaniwa. Fedha za Escrow zilipolipwa kwa wahusika wa IPTL, Standard Chartered ikajikuta ikiwa njia panda, haijui madeni iliyoyanunua ya Mechmar itanufaikaje? Kuna uwezekano mkubwa sakata hili likazihusisha baadhi ya benki zilizoonekana kupoteza fedha zake.
umetia aibu hivi tope uloandika hapo juu sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu anaweza andika
hawakutoa tamko ili uamini wao wametoa maoni yao kwa mheshimiwa rais ili kufikisha mawazo yao kuwa mheshimiwa rais aongeze za kwake na sio kuchukua maamuzi kuwaridhisha watu wanaotumikia wafanyabiashara walionyang'anywa vitalu walivyopanga kuuza kwa wazungu,hata huyu aliyetuma tamko jf ana matatizo,hili tamko apelekewe JK
Hiyo ripoti tunajua muliichakachua na ndio mnayotumia kujitetea lakini wenye akili wanajua kuwa hakuna kitu hapo!Hiyo si kauli yangu mimi ni kauli ya CAG! CAG anasema zinaweza kuwa za umma ukitazama kwa mtazamo wa kuwepo kwa kodi, lakini pia zinaweza kuwa za TANESCO au za IPTL.
Hivi unajua Certificate ya SHARE(70%) za hao jamaa zipo wapi? Maana nijuavyo hao hawakununua madeni ila walinunua HISA.
au unataka kupotosha hapa?
Stay tuned,Insharah leo kabla jua alijazama mtakuwa mmepata majibu ya maombi yenu enyi wasomi uchwara.wewe una wivu na hyo ni kawaida yetu waswahili.hatungeweza kusomeshwa wote na isitoshe wengne tumefail hata qt.tufanye mengne na wivu hautusaidii.
Maswali muhimu sana haya, ambayo PAC na vibaraka wao wameshindwa kuyajibu.4. Tunaitaka PAC itueleze, kama kulikuwa na mchezo mchafu, na wakauthibitisha, iweje wizara ya fedha isihusike?, kwanini Gavana wa BOT na timu yake na Waziri wa fedha na Timu yake nao wasihusike kwenye hilo kwa kuwa fedha ilikuwa kwao?.
5. Kama kweli kulikuwa na mchezo mchafu, iweje BRELLA, na wizara inayoisimamia ambayo ni Viwanda na Biashara na waziri wake na timu nzima wasiwajibishwe nao kusajili kampuni ambayo wanadai siyo halali?.
6. Kama ni kweli kuna tatizo, iweje TRA wakubali kupokea kodi ya zaidi ya Bil 30 kutoka kwa mbia wa IPTL ambao ni VIP iliyotokana na mauzo ya hisa 30% kwa PAP?. Kwanini TRA isiwajibishwe kwa kupokea fedha haramu na kuziingiza kwenye mapato ya serikali ilihali ikijua ni fedha haramu?.