Wasomi waiponda PAC, wataka tume huru

Wasomi waiponda PAC, wataka tume huru

unajua imefika wakati tutambue kuwa nchi hii ni ya demokrasia na kila mtu ana haki ya kuongea na kutoa mawazo yake kadiri anavyoona inafaa bila kudhuru wengine, acheni kukejeli watu na maoni yao, au unadhani wakiongea kuhusu katiba watatoa mawazo yanayokufurahisha wewe

Tulia mwanamke wewe..!! Una akili kama hao kima kwaiyo hata kama wakitoa ushudu unasapoti

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Upumbavu hautoisha nchi hii... eti wanazuoni. My foot!
 
Kima nyinyi mnaojiita wasomi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Upu.uzi mtupu na mnajiita wanazuoni kutetea uozo!!!
 
Naomba kuuliza hivi wasomi ndo hua wanakutana wapi na kujadiliana haya mambo?
Sio mara ya kwanza nimekua nikisikia wasomi wametoa tamko ila sijui ni watu wanaishi wapi na jumuiya yao ni ipi kama ni TAHLISO na mimi ni mwanachama ingawa sipo chuo tena sasa inakuaje iweze kujadili vitu bila wanachama kua na taarifa?

Najua sio TAHLISO labda ni watu flani wenye kupokea buku saba kama sehemu ya kuitetea Tegeta escrow account.
 
Wanazuoni mambumbumbu hatuwataki Tanazania,hamfai hata kuitwa wanafunzi wa shule za kata kwani tutakuwa tumewapa heshma kubwa sana.Nendeni huko na njaa zenu.Kwanza wanazuoni kama nyinyi mnatakiwa mnyongwe kabisa kwasababu ni mbegu chafu.
 
Sijui ni nani watakuja kuibadili nchi hii....khaa...
 
Wana JF,

Mbona Vijana wa siku hizi wanakuwa kama wana itindia Mgongo! Kila siku wanaandamana kwa kukosa mahitaji muhimu vyuoni. Leo wanatetea kikundi cha WEZI wa mali za umma! Wanajielewa wanachofanya!! Poleni sana
 
Kuanzia leo mi sitajiita msomi kama sifa mojawapo ya mtu msomi ni kama hawa jamaa
 
Mimi nimemaliza chuo mwaka huu na nilikuwa member wa TAHILISO na kunavikao huitishwa na member wote hushiriki.

Na hata baada ya kumaliza chuo ninamarafiki wengi ni member wa umoja huo nimewauliza wanasema hakuna kikao chochote kilichoitishwa na kutoa tamko hilo.

sasa hao wanazuoni ni kina nani? kikao walikaa lini na wapi wakapata maazimio hayo?
Naona mnatufanya tudhalaurike kwa wananchi. naomba kama kuna wanaotumika watumike Kwa majina yao sio watuunganishe na sisi wanamageuzi.
 
Eti wasomi wakati hata course ya semester one hawana au kisa wameshida madesa,hovyo kabisa
 
Mimi nimemaliza chuo mwaka huu na nilikuwa member wa TAHILISO na kunavikao huitishwa na member wote hushiriki.

Na hata baada ya kumaliza chuo ninamarafiki wengi ni member wa umoja huo nimewauliza wanasema hakuna kikao chochote kilichoitishwa na kutoa tamko hilo.

sasa hao wanazuoni ni kina nani? kikao walikaa lini na wapi wakapata maazimio hayo?
Naona mnatufanya tudhalaurike kwa wananchi. naomba kama kuna wanaotumika watumike Kwa majina yao sio watuunganishe na sisi wanamageuzi.

Wewe sio msomi sema umetoa ujinga tu
 
Hao wasomi wapuuzi wa namna hiyo wako wengi sana, haohao ndio wakipata nafasi serekalini huishia kuwa wezi wa mali ya umma.
 
Mimi nimemaliza chuo mwaka huu na nilikuwa member wa TAHILISO na kunavikao huitishwa na member wote hushiriki.

Na hata baada ya kumaliza chuo ninamarafiki wengi ni member wa umoja huo nimewauliza wanasema hakuna kikao chochote kilichoitishwa na kutoa tamko hilo.

sasa hao wanazuoni ni kina nani? kikao walikaa lini na wapi wakapata maazimio hayo?
Naona mnatufanya tudhalaurike kwa wananchi. naomba kama kuna wanaotumika watumike Kwa majina yao sio watuunganishe na sisi wanamageuzi.

Sasa wewe unayenadi kumaliza chuo hata neno "kudharaulika" umeshindwa kuandika?
 
Sasa wewe unayenadi kumaliza chuo hata neno "kudharaulika" umeshindwa kuandika?

mkuu usiwe mjinga kiasi hicho. Tanzania hii kunawaliomaliza vyuo wengi mno ambao wamezagaa mtaani. nimesema ukweli kuonyesha nilikuwa member wa umoja huo. na sio kujinadi. kukosea kimaandishi mbona hata waandishi wa habari wanakoseaga?
 
Back
Top Bottom