kisanganyakiswata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 1,294
- 543
Ndio kupinga kwenyewe huko umeambiwa Pesa imeenda kununua dawati kwajili ya watoto wewe huridhishwi nini mana yakeMtu akikuambia jambo la kijinga na ukamwamini atakudharau- by JK Nyerere.
CCM imewaona wajinga sana baada ya kuwalisha uongo nanyi kama mazuzu mkaamini.
Ukawa hawajapinga kununua dawati au dawa, wao wanazungumzia taratibu kufuatwa kama sheria inavyosema tatizo likowapi?
Mbona mnaruhusu ccm iwadharau hivyo kwa kusadiki ujinga?
Tafuta hata wa bunge wa ccm wenye kujielewa watakufahamisha kuwa kuna makosa ila kwa vile hawaruhusiwi na chama chao kukosoa wanaumia moyoni tuu na kujiona watumwa