Wasomi wahoji ububu wa UKAWA bungeni

katafute bangi huko hakuna mtazania mwenye akili timamu mwenye hamu na CCM. CCM hashindi kwa kura hata siku moja isipokuwa ni kada Lubuva ndio anayewasaidia. ebu ekeeni tume huru ya uchaguzi kama kweli munajiamini
Wewe aliyekuroga atakuwa kafa sijui itakuwaje maana itabidi ubaki hivyo ulivyo.....hasara kweli.
 
Mtu akikuambia jambo la kijinga na ukamwamini atakudharau- by JK Nyerere.
CCM imewaona wajinga sana baada ya kuwalisha uongo nanyi kama mazuzu mkaamini.
Ukawa hawajapinga kununua dawati au dawa, wao wanazungumzia taratibu kufuatwa kama sheria inavyosema tatizo likowapi?
Mbona mnaruhusu ccm iwadharau hivyo kwa kusadiki ujinga?
Tafuta hata wa bunge wa ccm wenye kujielewa watakufahamisha kuwa kuna makosa ila kwa vile hawaruhusiwi na chama chao kukosoa wanaumia moyoni tuu na kujiona watumwa
Mkuu,kwani pesa walizokuwa wanakula UKAWA kule bungeni hadi zingine wanapeleka kwenye anasa baada ya kumaliza shughuli za bunge ilihali pesa bado zipo ilikuwa ni haki yao wakati huo wananchi tunaumia? Kwanza kwa mambo kama haya ndo inatakiwa Haki za Binadamu LHRC na wengine tulitegemea ndo wawe wanayasemea lakini nao wamekuwa manyumbu kuungana na wanyonyaji.
 
Mtu akikuambia jambo la kijinga na ukamwamini atakudharau- by JK Nyerere.
CCM imewaona wajinga sana baada ya kuwalisha uongo nanyi kama mazuzu mkaamini.
Ukawa hawajapinga kununua dawati au dawa, wao wanazungumzia taratibu kufuatwa kama sheria inavyosema tatizo likowapi?
Mbona mnaruhusu ccm iwadharau hivyo kwa kusadiki ujinga?
Tafuta hata wa bunge wa ccm wenye kujielewa watakufahamisha kuwa kuna makosa ila kwa vile hawaruhusiwi na chama chao kukosoa wanaumia moyoni tuu na kujiona watumwa
We kiazi sheria gani imejunjwa sasa hebu tuambie sheria ipi na kifungu gani kama kweli unaakili timamu.
 
Mtu akikuambia jambo la kijinga na ukamwamini atakudharau- by JK Nyerere.
CCM imewaona wajinga sana baada ya kuwalisha uongo nanyi kama mazuzu mkaamini.
Ukawa hawajapinga kununua dawati au dawa, wao wanazungumzia taratibu kufuatwa kama sheria inavyosema tatizo likowapi?
Mbona mnaruhusu ccm iwadharau hivyo kwa kusadiki ujinga?
Tafuta hata wa bunge wa ccm wenye kujielewa watakufahamisha kuwa kuna makosa ila kwa vile hawaruhusiwi na chama chao kukosoa wanaumia moyoni tuu na kujiona watumwa
Unadhani iwapo utaratibu ungefuata nini kingebadirika? Hoja yako imebase kwenye urasimu usiokuwa na sababu, unataka kuturudisha kwenye "upembuzi yakinifu, mchakato, taratibu za manunuzi,etc", shida yetu sisi ni barabara safi, elimu bora, etc na siyo kufuata hio michakato.

Mwisho, hoja zetu zitapata uzito iwapo hizo pesa zingekuwa zimetumiwa kwa ajili ya kununua make ups za mkewe.
 
Kususa wanataka na posho wanataka. Ufumbuzi? Ni kuwa mabubu!
Posho noma sana. Kwa nini wasisuse na kwenda majimbomi kwao kuwaeleza wapiga kura wao live na ana kwa ana?
 
Nishtushwa sana na kichwa cha habari, kumbe tz tunao wasomi watatu tu Bana, Bashiru(PhDs) na Shehe Musa? Jaman tufanye tafiti kabla ya kuongea mambo ya msingi...
 
Ndani ya CHADEMA kuna ombwe la 'think tank'. Inaonesha hata waliopo wenye uwezo wa kufikiri sahihi na kushauri wamesusa...

Move iliyoendeshwa juzi imewaharibia sana na wananchi wanajiuliza hawa watu ndio tuliwapa kura sisi au wahamiaji haramu ndio waliwachagua...inasikitisha.
 
KAMA KUNA JINA LA DK. BANA UNGEANZA KWA KUMTAJA MOJA KWA MOJA. MI NISINGESOMA HATA HIYO HABARI YAKO NIKAOKOWA MUDA WANGU. NINGESHAJUA UNAMZUNGUMZIA MSEMAJI HEWA WA CCM NA MTAFUTA CHEO, BENSON BANA.
 
Wasomi hao ni wapumbavu mbona hawahoji kwanini bunge halirushwi hewani moja Kwa moja? Huyo Dr.Bana hana jipya
 
katafute bangi huko hakuna mtazania mwenye akili timamu mwenye hamu na CCM. CCM hashindi kwa kura hata siku moja isipokuwa ni kada Lubuva ndio anayewasaidia. ebu ekeeni tume huru ya uchaguzi kama kweli munajiamini
Wasomi huyo Dr, Bana ni msomi au mchumia Tumbo hivi kama una akili timamu unaweza kubali bunge lisioneshwe live, then ukakubali uzinduzi wa daraja ukaoneshwa live na daraja linawahusu wa Dar tu, sio watanzania wote, bunge ni la watanzania wote
 
UAMUZI wa Kambi ya Upinzani bungeni kuingia katika vikao vya Bunge na kugeuka bubu wakati wa mjadala wa Hotuba ya Ofisi ya Waziri Mkuu, umechukuliwa kwa hadhari kuwa unaweza kusababisha kambi hiyo ionekane inalinda posho bungeni.

Hadhari hiyo imetolewa na wasomi na viongozi mbalimbali waliozungumza na gazeti hili jana, walipokuwa wakitoa maoni kuhusu uamuzi wa kambi hiyo kususa hotuba hiyo.

Dk Bana

Mhadhiri wa fani ya siasa na utawala katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Benson Bana, ndiye aliyesema kuwa kama uamuzi huo wa kuwa bubu bungeni hautabadilishwa, kambi hiyo itaonekana inalinda posho na kwamba haipo kwa ajili ya kutetea wananchi.

“Kazi yao ni kuwakilisha wananchi na makundi yote bungeni, sasa kitendo cha kuota ububu na kushindwa kueleza kero za wananchi, ni kutotendea haki wananchi maana ni vema wakae bungeni na kutoa hoja zao la sivyo, itafika wakati watatuomba radhi wananchi,” alisisitiza.

Akizungumzia hoja ya kwanza ya Mwenyekiti wa kambi hiyo, Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe (Chadema), kulalamikia muundo wa Serikali kutowekwa gazetini, Dk Bana alihoji kama Mbowe hajui kuwa muundo wa Serikali hautolewi kwa kila mtu.

Kuhusu suala la fedha zilizokatwa katika Mfuko wa Bunge na kuelekezwa katika utengenezaji wa madawati, Dk Bana aliwashangaa wawakilishi hao wa wananchi wanaopingana na uamuzi wa kumuinua mwananchi wa kawaida.

Alisema wananchi wote walipendezwa na hatua hiyo ya Serikali ya kuchukua fedha zilizotoka bungeni baada ya kubana matumizi na kupeleka katika kununua madawati.

“Hatua hii ni kielelezo kuwa Bunge lilikuwa likipangiwa fedha nyingi kuliko matumizi yake hivyo kusababisha kuwepo matumizi ya hovyo, sasa viongozi wa Bunge kuliona hilo na kurejeshwa kwenye jamii ni jambo jema,” alisema.

Alionya kuwa mikakati ya kambi ya upinzani, ni kutetea wananchi lakini kwenye hilo wananchi wenyewe kila kona wanawashangaa kwani inaonesha kutetea maslahi ya wabunge.

Bashiru Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Bashiru Ally alisema wananchi wanaangalia vitendo vya wabunge wao ndani ya Bunge na watawahukumu kwani michango yao ndani ya Bunge ni muhimu na njia ya kutatua tatizo si kususa, bali kufuata taratibu za kisheria.

Alisema uamuzi wa kutozungumza, unaondoa maana ya vyama vya upinzani ndani ya Bunge kwa kuwa watashindwa kujadili masuala yenye manufaa ya wananchi, kwani mawazo ya kiongozi wa upinzani bungeni ni muhimu na yanawekwa kwenye kumbukumbu.

“Kuwekwa kwenye kumbukumbu mawazo hayo ni kwa ajili ya vizazi vijavyo, sasa kitendo cha Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kutumia vibaya nafasi anayopewa, ni udhaifu wa kimkakati,” alisisitiza Bashiru.

Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum, alisema wanavyofanya wapinzani ni jambo lisilopendeza katika kuleta umoja wa kitaifa, kwani wao ni wawakilishi wa wananchi ndani ya Bunge na kususa siyo jambo la kiungwana.
Kuna msemo kwamba siku ya kufa nyani majani yote huteleza. Kauli wanazotoa ukawa na mambo wanayotenda ambayo yanapingana na juhudi za kupambana na mafisadi, yanawapeleka kaburini na kwa kweli yetu macho.
 
Wananchi wanawaona wapi...?

Yani ukiwa kwenye jeshi la giza la CCM huwezi kufikiri sawa hata uwe umesoma vipi!

Au Bana na wezake wamepewa channel ya siri kutazama Bunge!
 
Habari ya leo wadau.

Huu ni wito kwa "kamanda wa anga"..tafadhali wikiendi ineisha na nina uhakika kabisa wewe na genge lako hamna mawazo mapya,hamna mashiko ya kugoma.Tumeshuhudia michango ya baadhi ya wabunge wa ukawa kina Kubenea wameshia kutoa povu la matusi.

Naum,waruhusu waingie bungeni angalau wachukuwe posho kujiandaaa na wikiendi nyingine hamna jinsi hasa ukizingatia kumekuwa na ongezeko la vitu maalum,watafurahia mapumziko pamoja.

Hauna idadi ya kupinga maamuzi,demokrasia ni wengi wape.Hata sababu yako ya kulilia mafungu ya chai na biayasipelekwe kwenye elimu,afya kwa kisingizio kuwa hukushirikishwa,umejidharaulisha.

Nawasilisha.
 
KUB anatumia akili Lowasa hajui kuwa mzee network imedisconect from daily reality bado Kuna vimbwaga viva Slaa.
 
mbowe alikuwa anaongoza chama kwa kutumia akili ya dr slaa tangu slaa aondoke sasa mbowe anatumia akili na mawazo ya LOWASA kila mtu anajua kuwa kuwa upeo wa LOWASA ni ziro.
 
Kwa sasa mbowe kabakia na wabunge wenye elimu za USHANGA kazi tu kuchungulia wake za watu kuwa leo huyu kavaa nguo gani isiyoonekana machoni pa watu na leo kavaa SHANGA yenye mafundo mangapi. Sasa unategemea watamshauri nini?
 
Kwa sasa mbowe kabakia na wabunge wenye elimu za USHANGA kazi tu kuchungulia wake za watu kuwa leo huyu kavaa nguo gani isiyoonekana machoni pa watu na leo kavaa SHANGA yenye mafundo mangapi. Sasa unategemea watamshauri nini?
Wabunge wasio na weledi,KUB anasema bila kuonyeshwa live wabunge wa ukawa hawatatoa "nondo"..na hayuko tayari kutokwa "povu" bila kuonyeshwa live.
 
Mtu akikuambia jambo la kijinga na ukamwamini atakudharau- by JK Nyerere.
CCM imewaona wajinga sana baada ya kuwalisha uongo nanyi kama mazuzu mkaamini.
Ukawa hawajapinga kununua dawati au dawa, wao wanazungumzia taratibu kufuatwa kama sheria inavyosema tatizo likowapi?
Mbona mnaruhusu ccm iwadharau hivyo kwa kusadiki ujinga?
Tafuta hata wa bunge wa ccm wenye kujielewa watakufahamisha kuwa kuna makosa ila kwa vile hawaruhusiwi na chama chao kukosoa wanaumia moyoni tuu na kujiona watumwa
Kwani bunge la Bajeti lililopita halikuidhinisha matumizi ya zile fedha kwa shughuli za Serikali? Anachofanya Rais ni kubadilisha matumizi ya mafungu (reallocation) jambo ambalo lipo kisheria na la kawaida sana. Afu kama kuna mbunge wa ccm ana shindwa kutoa dukuduku lake bungeni kwa hofu unayoisema huyo nae ni JIPU tu mbona wengine wanaongea.
Kama ulikuwa hujui kilichomuuma Mbowe ni kukatwa na kurejeshwa serikalini kwa Billioni Sita za Bunge, kwani katika safari za nje zilizokatwa zipo safari nyingi za Kiongozi wa Upinzani Bungeni ambazo hazikuwa na tija..Mara nyengine acha kuleta hoja za vijiwe vya kahawa..Ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom