Tongo Elamu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 2,904
- 4,397
Hakuna cha technical wala ngwini English. Kiazi ni kiazi tu. MeKo anajua kiingereza gani?Kuna Technical English and Fluency English. Watu wanao soma sayansi wanatumia Technical English sana. Hivyo ukiwaingiza kwenye fluency hawatakuelewa. na wewe wakiungiza kwenye technical hutowaelewa. Watu wanaosoma arts ndio wanatumia fluency English, sana ila nao technical English holaaaa
HahahaaHata sielewi , Wengine huenda mbali zaidi kwa mfano neno la kuanza na a anaandika ha,
Hebe tuandikie paragraph moja ya English juu ya uchaguzi TZ 2020Kwakweli..
Ila mbona Mimi nimepata kujua kiingereza fasaha kupitia shule ya msingi tena enzi za mkapa..na sio mhitimu chuo kikuu
Kuna uhusiano gani kati ya mtu Na mtu kwenye ubongo wake?
Waziri na mwalimu?
Fluency English.
Wabheja kulumpa mwanawani, and ofcourse we need to see our number 1 speaking English fluently as it was the case with his predecessors. No way, mastering foreign languages needs a talent as well.After completing my form six studies I worked as a teacher at Sengerema Secondary school and then jump to be a president of Chattle bagosha nayombaga ikizungu
Onene
Is there African English would be better.I have set a trap for you in which you are trapped.🤣
Is there any African english??, if there is any and in this case you prefer it to American and British English then why condemn the one who started the sentence with; " is you coming------"🤣, ----that's an African English so to say.
You have no maral authority to condemn him/her.
Tanzania fifth term general election took place on 28th October 2020Hebe tuandikie paragraph moja ya English juu ya uchaguzi TZ 2020
Good try.Tanzania fifth term general election took place on 28th October 2020
The contestants were Honorable john pombe magufuli from the ruling party cham cha mapinduzi..and honorable tundu Antipas lissu from from the opposition party (chadema).
According to few Tanzanian citizens interviewed,the election was considered as "unfair"
At least I can try
According to few Tanzanian citizens interviewed,the election was considered as "unfair"
Unataka kusema hawakusoma somo la English?au English grammar?Kuna Technical English and Fluency English. Watu wanao soma sayansi wanatumia Technical English sana. Hivyo ukiwaingiza kwenye fluency hawatakuelewa. na wewe wakiungiza kwenye technical hutowaelewa. Watu wanaosoma arts ndio wanatumia fluency English, sana ila nao technical English holaaaa
Thank you for correctionGood try.
According to the few Tanzania citizens interviewed......
Probably a CCM cadre expressing her affiliation to the party.Are you a CCM adherent propagating your political sensibilities ??.
According to majority Tz Citizens interviewed, they had this to say; the election encountered many irregularities and shortcomings followed by Vote rigging etc, it was the worst election ever since th3 country independence.
Are you a CCM adherent propagating your political sensibilities ??.
According to majority Tz Citizens interviewed, they had this to say; the election encountered many irregularities and shortcomings followed by Vote rigging etc, it was the worst election ever since th3 country independence.
You are warmly welcome. By the way, my X's name is Abigail, please, be it not you.Thank you for correction
Probably a CCM cadre expressing her affiliation to the party.
Five more.
Cheers. Let's meet at the top.That is it.😒
I understand, but mind you, a person with high IQ can learn and speak the language easier than a normal person. Malawi, Zimbabwe and the likes use English in primary schools which is not the case here in Tz.IQ ya mtu haitegemeani na KIINGEREZA. Jifunze lugha inayotumika katika mazingira yako kiukamilifu hapo utafanikiwa.
ZIMBABWE, KENYA, MALAWI NA ZAMBIA WANAONGEA KIINGEREZA KIZURI ILA NI MASKINI WA KUTUPWA!