Wasomi mmemsikia Edward Lowassa?

Wasomi mmemsikia Edward Lowassa?

Kala Jeremiah na Prof. Jay waliimba. Exactly jamaa anachoahidi hapa. Nchi ya asali na maziwa...

Hayo mafuriko ya viwanda tunayoahidiwa yataendeshwa kwa umeme upi? Na wauaji wa viwanda vilivyokuwepo ni kina nani?
 
Dah jinsi ukiangalia hizi comments za Great Thinkers hapa jamvini utagundua watanzania tunasafari ndefu sana. Sasa hawa

ndio wasomi wako hivi, je wale ambao hawajaenda shule sijui hata itakuwaje.
 
Ulitaka tutongozwe kwa push ups? Lowasa mabadiliko.....
Sio kwa push ups tu mae, lakini kwa speech za dk tano, kusoma sera tovutini, kushikiwa mic, kushikwa tukipanda jukwaani na....... ile nyingine nakuwa mstaarabu!
 
Duh! Imekaa poa maana ajira yangu bado mbichi kabisa halafu hilo deni linanisubiria. Lowasa for changes! Igeni na hii magamba.
 
Hayo mafuriko ya viwanda tunayoahidiwa yataendeshwa kwa umeme upi? Na wauaji wa viwanda vilivyokuwepo ni kina nani?

Walouwa viwanda wengne mpo nao huko mnapga nao kelele za mabadliko. Salt vepeee grow up au ndo thinking is prohibited?
 
Hayo mafuriko ya viwanda tunayoahidiwa yataendeshwa kwa umeme upi? Na wauaji wa viwanda vilivyokuwepo ni kina nani?
Unadhani nchi kutajirika inakuja;
- Kwa kusamehewa mikopo
- Kubomolewa nyumba za nyasi ndani ya siku 100 na kujengewa na tofali.
- Kuondoa rushwa ndani ya siku 100 za utawala wa ENL
- Majiji ya Dar Ar na Mza kuwa na historia ya foleni ndani ya siku 100 za utawala wa ENL.

....Kweli nawaonea wivu wasomi kama nyie!!! Hakika nchi itasonga mbele!!!
 
kuna watu wenye akili timamu wana amini ahadi za lowasa.
 
Unadhani nchi kutajirika inakuja;
- Kwa kusamehewa mikopo
- Kubomolewa nyumba za nyasi ndani ya siku 100 na kujengewa na tofali.
- Kuondoa rushwa ndani ya siku 100 za utawala wa ENL
- Majiji ya Dar Ar na Mza kuwa na historia ya foleni ndani ya siku 100 za utawala wa ENL.

....Kweli nawaonea wivu wasomi kama nyie!!! Hakika nchi itasonga mbele!!!

Afu wanajiita wasomi, wana macho lakin hawaon, masikio lakin hawasikii, wana kichwa na ubongo bt thinking is prohibited
 
Mungu amsaidie ashinde,manake hakuna kitu gharama kubwa kama elimu,hata hiyo mikopo waliokuwa wanaifaidi kwa asilimia kubwa ni watoto wa vigogo!
 
Sio kwa push ups tu mae, lakini kwa speech za dk tano, kusoma sera tovutini, kushikiwa mic, kushikwa tukipanda jukwaani na....... ile nyingine nakuwa mstaarabu!

Oooh kumbe shida ako ni speech za masaa nane, hizo nakuhakikishia kwa lowasa hautazipata...kushikiwa mic tatizo? Hata kanisani msoma injili huwa anashikiwa
Tunahitaji na tumeamua mabadiliko
 
Nimeutendea haki uzi huu kwa ku share kadri niwezavyo. Lowassa ni Mabadiliko. Wengi hatuamini kuwa inawezekana kwakuwa kwa miaka 50 tumeaminishwa hivyo.

Viva Lowassa. Nitamtumia Nauli mdongo wangu Arusha aje akupigie kura.
 
Oooh kumbe shida ako ni speech za masaa nane, hizo nakuhakikishia kwa lowasa hautazipata...kushikiwa mic tatizo? Hata kanisani msoma injili huwa anashikiwa
Tunahitaji na tumeamua mabadiliko
Hakika mmepata mabadiliko mwaka huu. Only in reverse mode...teh!!
 
Hizo ni sound tu kama za mwanaume anavyomtokea demu
si wanaume wote ni watu sound sound wengine wanamaanisha.


Yani hapo ni kama demu anapigishwa sound, nae kaingia kingi...ona wapumbavu wasiojielewa wanavyofurahi!!
mpumbavu ni yule anayeamini hili haliwezekani ila la 50mil kila kijiji linawezekana.
poleni sana!! mmetongozwa kizembe mmekubali kizembe.

hayo ni maneno ya mwanasiasa anayetaka kwenda ikulu kwa nguvu zote.
Tutampa kura kizembe pia.

Asiyetaka ikulu kwa nguvu hazunguki jukwaani jua kali kutoa mapovu watu wampe kura.

lowassa anajua kabisa hapit ndo maana anaahidi vitu visivyokuwa hata na logic. Any way endeleen kujifariji na kama ni mnufaika wa loan board utarejesha tu fedha ili na mwanao pia anufaike. Polen sana mnaojiita wasomi wakati uwezo wenu kuchanganua mambo umezuiliwa na mahaba.
Msomi asiyeona logic kwenye ahadi hiyo,ni wakumbadilisha na twiga walioenda qatar warejee waendelee kuvuta utarii yeye akawe makumbusho kule.

Ukitaka kumkamata Mtanzania mpe matumaini hewa
ukitaka kumvua nguo anayegeuza madaraka dili,toa bure vyote anavyouzia watu🙂

Kazi ipo kwa kwel el79. Pia nimegundua hapa wanaojiita wasomi pia wanapenda sana mteremko a.k.a shumbwela ndo maana n rahc kununuliwa kifikra kama ambavyo lowasa anawafanyia sasa hv.
wanapenda mteremko sababu hawaoni sababu ya kupanda mlima.

Anayenunua fikra za wenzie ni yule anayewahimiza watu ataleta mabadiriko wakati ccm ni ile ileO🙂O🙂???
 
Hujajibu walioua viwanda ni kina nani???huo uloandika ni mpasho sio jibu

Mpasho ee, huez kunielewa coz nshakwambia thinking is prohibited ndo maana unaona mpasho kama ile mipasho yenu ya kumrudisha balal akishnda urais
 
Hivi wewe Eli79 ukimsikiliza Magufuli unatoka na nini?? ile mihemko ya kisiasa?? Kukurupuka kusema vitu asivyovijua? Au takwimu za punda na mbwa? Au jinsi anavyowananga mawaziri wenzake katika serikali??? ni nini hasa?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom