Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,669
- 167,714
Kala Jeremiah na Prof. Jay waliimba. Exactly jamaa anachoahidi hapa. Nchi ya asali na maziwa...
Hayo mafuriko ya viwanda tunayoahidiwa yataendeshwa kwa umeme upi? Na wauaji wa viwanda vilivyokuwepo ni kina nani?