Juan junior
Senior Member
- Jan 26, 2015
- 119
- 20
si wanaume wote ni watu sound sound wengine wanamaanisha.
mpumbavu ni yule anayeamini hili haliwezekani ila la 50mil kila kijiji linawezekana.
Tutampa kura kizembe pia.
Asiyetaka ikulu kwa nguvu hazunguki jukwaani jua kali kutoa mapovu watu wampe kura.
Msomi asiyeona logic kwenye ahadi hiyo,ni wakumbadilisha na twiga walioenda qatar warejee waendelee kuvuta utarii yeye akawe makumbusho kule.
ukitaka kumvua nguo anayegeuza madaraka dili,toa bure vyote anavyouzia watu🙂
wanapenda mteremko sababu hawaoni sababu ya kupanda mlima.
Anayenunua fikra za wenzie ni yule anayewahimiza watu ataleta mabadiriko wakati ccm ni ile ileO🙂O🙂???
Anhaa vp mkuu umetoka kuamka nn? Leta solid arguments na sio taarabu na nashndwa kujizuia kukuita lile jina alowaita uncle benja