Pakome
JF-Expert Member
- Dec 8, 2024
- 1,541
- 916
Wasira alisema CCM ilifanya uchaguzi wa mgombea wao na wakafanikiwa kumpata na kumsimamisha huku wakiwa wanasubiri mgombea wa CHADEMA
Badala yake CHADEMA haikupeleka mgombea wake ilikuwa ikitukanana kwa muda wa siku 31
Ilikuwa ikimtukana Mbowe na Wasira akashangaa sana kuona nguvu yao ya matusi iliyompoteza Mbowe
Je, CHADEMA mnalipi la kujitetea?
View: https://youtu.be/ZQcPmXWHbUI?si=1G5gvzCKnx4kZWXh
Badala yake CHADEMA haikupeleka mgombea wake ilikuwa ikitukanana kwa muda wa siku 31
Ilikuwa ikimtukana Mbowe na Wasira akashangaa sana kuona nguvu yao ya matusi iliyompoteza Mbowe
Je, CHADEMA mnalipi la kujitetea?
View: https://youtu.be/ZQcPmXWHbUI?si=1G5gvzCKnx4kZWXh