....Mbona unaongea pumba sana?Yaani! sijakuelewa mkuu,uwatukane halafu wakulinde!hilo hata malaika hafanyi. Mshauri tu apunguze ngenga atakula mema ya nchi.
Hata wauaji wanalindwa huko magerezani. Serikali ya JMT inatoa ulinzi kwa raia wake wote. Acha kupotosha.Yaani! sijakuelewa mkuu,uwatukane halafu wakulinde!hilo hata malaika hafanyi. Mshauri tu apunguze ngenga atakula mema ya nchi.
wanamngoja akirudi
"Madaktari wa Serikali?" Drs wanawafanya kazi kwa nidhamu ya udaktari, kazi yao ilikuwa kuokoa maisha ya Mgonjwa wao, mtanzania mwenzao, acha kuligawa taifa kwa lugha yako ya ajabu ajabu, yaani wewe huna maana kabisa. acheni vyombo vya usalama vifanye kazi yao kwa tarifa iliyoletwa hapa, hii ni tarifa toka walinzi wa TL sasa ni kazi ya vyombo vyetu kufanyia kazi na kuja na ufafanuzi juu ya ukweli ama uongo wa tarifa hii.
UWONGO WA HALI YA JUU
Huo ni uongo.
Kama hiyo nia ya kummaliza TL ilikuwepo asingeondoka salama mikononi mwa madaktari waliokuwa wanampa huduma ya kwanza pale Dodoma.
Na kama TL na timu yake wanadai hivyo kuwa pana watu walikuwa wanamfatilia NBI basi Serikali haina mkono wake kwake mean that, ni maadui wa TL nje ya mfumo wa Serikali ndiyo wanaomwanadama.
Maana yake ni kwamba, wakati akiwa kwenye first aid pale Dodoma hao maadui wake ambao sasa hapa siyo serikali kama tunavyoaminishwa hawakuwa na agent wao maana pale walikuwepo wafanyakazi wa Serikali/madaktari wa Serikali.
Ila kama, tutaaaminishwa kuwa ni Serikali inahusika na masahibu yake basi hii nadharia inakuwa siyo sahihi kwa sababu madkatari wa Serikali ndiyo wameokoa uhai wake pale Dodoma.
Wakati mwingine tuache porojo.
Mweeh.Ndugai ameshaenda kumjulia hali MhTINDU LISSU kama alivyoahidi?
Naona wakienda wote watatu itapendeza zaidi yaani ,IPG Sirro,Spika Ndugai na RC Makonda
Hizi bandiko za shambulio la Mh Lissu hazina jipya. Kama ni kweli watu wasiojulikana bado wana nia ya kummaliza Mh Lissu, je, atakaporudi atakuwa salama kiasi gani? Je, kama ni kweli Serikali ina mkono wake, Mh Lissu atakapokuwa amerudi atakuwa salama?WALE wanaotajwa mara kwa mara kuwa ni “watu wasiojulikana” walikwama kumfikia na kumuua Tundu Lissu, akiwa amelazwa Hospitali ya Nairobi, Kenya.
....
HahahahaStori za shigongo hizi...yaani kwa mtu yeyote anayejielewa akisoma kdg tu utaona dhahiri hii ni habari ya kutunga!.
Kwa kweli!Hizi bandiko za shambulio la Mh Lissu hazina jipya. Kama ni kweli watu wasiojulikana bado wana nia ya kummaliza Mh Lissu, je, atakaporudi atakuwa salama kiasi gani? Je, kama ni kweli Serikali ina mkono wake, Mh Lissu atakapokuwa amerudi atakuwa salama?
Mh Lissu, kama raia yeyote ulinzi na usalama wake uko mikononi mwa Polisi na raia wema. Hivyo, siyo vyema kushabikia uhalifu kisiasa.
Ujinga!Yaani! sijakuelewa mkuu,uwatukane halafu wakulinde!hilo hata malaika hafanyi. Mshauri tu apunguze ngenga atakula mema ya nchi.
Mungu yupo. Ipo cku na wewe utajificha nyuma ya kigoda.Kwani Kenya imezaliwa leo?ilipaswa kumlinda hata huko dodoma kwa kuwa anaiamini zaidi ya mama yake.
Halafu 100% ni wavuja jasho mkuu,ukiwadhulumu tu,wana ile style ya kumwaga mbogaukicheza nao dili walipe tu.!huwa hawaachi mtu salama.Wasiojulikana wanatumika tu, wengi elim yao wameishia la 7, kwa lugha nyingine ni mbumbumbu wa kutosha ingawa wanamisuli lakini misuli ya ubongo hawana. Ona walivyomwaga risasi 38+ bila kuua hata nzi maanake weledi wao ni 0000%. Kuwatuma watu wa aina hii ni hatari unaweza ukajikuta wakikuanika hadharani bila kutegemea.
Wewe utakuwa unatokea mtaa wa Lumumba.Intelijensia my foot,kwa nini haikugundua kuwa kuna wakora pale dodoma! Tusichoshane.