Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,899
Huo ni uongo.
Kama hiyo nia ya kummaliza TL ilikuwepo asingeondoka salama mikononi mwa madaktari waliokuwa wanampa huduma ya kwanza pale Dodoma.
Na kama TL na timu yake wanadai hivyo kuwa pana watu walikuwa wanamfatilia NBI basi Serikali haina mkono wake kwake mean that, ni maadui wa TL nje ya mfumo wa Serikali ndiyo wanaomwanadama.
Maana yake ni kwamba, wakati akiwa kwenye first aid pale Dodoma hao maadui wake ambao sasa hapa siyo serikali kama tunavyoaminishwa hawakuwa na agent wao maana pale walikuwepo wafanyakazi wa Serikali/madaktari wa Serikali.
Ila kama, tutaaaminishwa kuwa ni Serikali inahusika na masahibu yake basi hii nadharia inakuwa siyo sahihi kwa sababu madkatari wa Serikali ndiyo wameokoa uhai wake pale Dodoma.
Wakati mwingine tuache porojo.
Kama hiyo nia ya kummaliza TL ilikuwepo asingeondoka salama mikononi mwa madaktari waliokuwa wanampa huduma ya kwanza pale Dodoma.
Na kama TL na timu yake wanadai hivyo kuwa pana watu walikuwa wanamfatilia NBI basi Serikali haina mkono wake kwake mean that, ni maadui wa TL nje ya mfumo wa Serikali ndiyo wanaomwanadama.
Maana yake ni kwamba, wakati akiwa kwenye first aid pale Dodoma hao maadui wake ambao sasa hapa siyo serikali kama tunavyoaminishwa hawakuwa na agent wao maana pale walikuwepo wafanyakazi wa Serikali/madaktari wa Serikali.
Ila kama, tutaaaminishwa kuwa ni Serikali inahusika na masahibu yake basi hii nadharia inakuwa siyo sahihi kwa sababu madkatari wa Serikali ndiyo wameokoa uhai wake pale Dodoma.
Wakati mwingine tuache porojo.