Rogart Ngaillo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 932
- 1,968
Alipasuliwa tumbo classmate wangu na kutolewa mautumbo nje bila kufichaficha na manguo...Tofauti kabisa na ile ya Chris Angel!Hakuna mungu
Hakuna uchawi
Mleta mada,umeshaambiwa hizo ni magic tricks tu hakuna uchawi pale
Kwa mfano hiyo ya kumtenganisha mtu kichwa ni sophisticated trick
Huyo anayefanyiwa hivyo[anayetenganisha kichwa na kiwiliwili] sio mtu mmoja ni wawili,Mmoja ni handicapped mwingine ni contortionist
Inaonekana ni mara yako ya kwanza kuangalia show ya chriss angel?
HAKUNA CHA WATU WAWILI mzee!