Wasioamini Mungu mnatafsirije mazingaombwa

Wasioamini Mungu mnatafsirije mazingaombwa

Je, mchanga kugeuzwa pilau?
hii unaionaje mkuu?
Tatizo lako lipo hapa,unauliza maswali ambayo kiukweli yapo nje ya uwezo.Mimi si mwanamazingaombwe!

Jambo la msingi kutambua ni kwamba 99.999% ya mazingaombwe ni janja tu[tricks].Mfano hiyo ya mchanga kuwa pilau

Hakuna mchanga unaoweza kuwa pilau,

Inawezekana kabisa mchanga huo huo unaotumika ukabadilika rangi inayoshabihiana na rangi ya pilau.

Sasa hadhira ambao hawajui nini kinafanyika,wakaona mchanga umegeuka kuwa pilau.

Unaitaji kujua basics za chemistry kung'amua kinachofanyika pale,pamoja na chemicals wanazozitumia

Halafu mie sio mwanamazingaombwe mkuu,

Sasa unaponiuliza maswali kama hayo ni sawa na kumtoa samaki nje ya maji.Lazima atatapatapa tu!
 
Tatizo lako lipo hapa,unauliza maswali ambayo kiukweli yapo nje ya uwezo.Mimi si mwanamazingaombwe!

Jambo la msingi kutambua ni kwamba 99.999% ya mazingaombwe ni janja tu[tricks].Mfano hiyo ya mchanga kuwa pilau

Hakuna mchanga unaoweza kuwa pilau,

Inawezekana kabisa mchanga huo huo unaotumika ukabadilika rangi inayoshabihiana na rangi ya pilau.

Sasa hadhira ambao hawajui nini kinafanyika,wakaona mchanga umegeuka kuwa pilau.

Unaitaji kujua basics za chemistry kung'amua kinachofanyika pale,pamoja na chemicals wanazozitumia

Halafu mie sio mwanamazingaombwe mkuu,

Sasa unaponiuliza maswali kama hayo ni sawa na kumtoa samaki nje ya maji.Lazima atatapatapa tu!
Mkuu ngoja nikuache uendelee na majukumu mengine,
manake unaongea mpaka unataka kulia...
Ahsante Kwa Mchango wako mkuu... Salute
 
Habari zenu wakuu,
Kuna wale ambao hawaamini uwepo wa Mungu wala wa shetani (atheist).
Naombeni mtujuze pale mazingaombwe yanapofanyika
( mfano ya kumpasua mtu tumbo au kumtenganisha kichwa na kiwiliwili n.k) Je,
ni sayansi gani inayotumika pale?
Manaake Watu walio katika imani husema baadhi ya mazingaombwe ni uchawi,
na nyinyi ndio hamuamini uchawi wala shetani, SASA MTUAMBIE NA MTUELEWESHE NI SAYANSI GANI INAYOFANYWA WAKATI WA MAZINGAOMBWE?
Neno Mazingaombwe linaunganisha maneno mawili.

Mazinga = Majinga
Ombwe = Tupu

Mazingaombwe = Majingatupu

A.k.a Kiinimacho.

Kwa maana nyingine, unachofikiri unaona oale, si kinachotokea kweli. Unachezewa shere na kushikiwa akili kwa namna moja ama nyingine kama katika mchezo wa karata tatu.
 
Nilikuwa kila nikitaka kuamini kwamba hakuna MUNGU, lakini pindi linapokuja suala la Mazingaombwe, huwa nasita kubadili imani yangu... MUNGU YUPO
Kwanza kabisa, mazingaombwe ni kiini macho, unachofikiri unaona si kinachotokea.

Halafu, hata kama kingekuwa kinatokea kweli, hilo halithibitishi kuwapo kwa mungu, linathibitisha tu kwamba kuna jambo hujalifahamu.

Ukisema jambo ambalo hulifahamu linathibitisha jwamba mungu yupo kuna watu hawajawahi kuona redio na hawafahamu redio inavyofanya kazi, wakiletewa redio na kusikia sauti ya mtu bila kumuina, hilo litathibitusha kwamba mu gu yupo?
 
Neno Mazingaombwe linaunganisha maneno mawili.

Mazinga = Majinga
Ombwe = Tupu

Mazingaombwe = Majingatupu

A.k.a Kiinimacho.

Kwa maana nyingine, unachofikiri unaona oale, si kinachotokea kweli. Unachezewa shere na kushikiwa akili kwa namna moja ama nyingine kama katika mchezo wa karata tatu.
Mkuu hizo tricks unazozungumzia labda sio zile za kumeza nyoka na kumtoa mzima, makaratasi kuyageuza njiwa, au mchanga kuugeuza pilau..... napiga big NO..!!
 
Habari zenu wakuu,
Kuna wale ambao hawaamini uwepo wa Mungu wala wa shetani (atheist).
Naombeni mtujuze pale mazingaombwe yanapofanyika
( mfano ya kumpasua mtu tumbo au kumtenganisha kichwa na kiwiliwili n.k) Je,
ni sayansi gani inayotumika pale?
Manaake Watu walio katika imani husema baadhi ya mazingaombwe ni uchawi,
na nyinyi ndio hamuamini uchawi wala shetani, SASA MTUAMBIE NA MTUELEWESHE NI SAYANSI GANI INAYOFANYWA WAKATI WA MAZINGAOMBWE?

Waatheist wanaweza kujibu vizuri
 
Hadi kufika hapa

Sijaona standing answer la swali hili.

Ngoja nisubiri huenda nikaakimini kuwa swali limeshindikana kbsa
 
watu wanatolea mifano ya kwenye tv badala ya live
 
Kwahyo mkuu wewe ndio hio dunia nzima iliyoshindwa kujibu hilo swali.!???

Kuna vitu ni unakuwa hujui ila wanaofanya wanajua... Au nao wanaofanya hawapo kwenye hio Dunia nzima uliyozungumzia!???
 
I
Habari zenu wakuu,
Kuna wale ambao hawaamini uwepo wa Mungu wala wa shetani (atheist).
Naombeni mtujuze pale mazingaombwe yanapofanyika
( mfano ya kumpasua mtu tumbo au kumtenganisha kichwa na kiwiliwili n.k) Je,
ni sayansi gani inayotumika pale?
Manaake Watu walio katika imani husema baadhi ya mazingaombwe ni uchawi,
na nyinyi ndio hamuamini uchawi wala shetani, SASA MTUAMBIE NA MTUELEWESHE NI SAYANSI GANI INAYOFANYWA WAKATI WA MAZINGAOMBWE?
Ingia YouTube mkuu,kuna video nyingi zinazoonyesha vipi mazingaombwe yanafanywa,hasa haya hayo yakutenganisha kitwa na kiwiliwili,kupaa nk
 
Hiv mnafanya mchezo nauwepo wamungu? Ikiwa mtu ameumba magar navifaa mbalimbali hapa dunian ninan alieumba mbingu na ardhi na vyote vilivomo ndan yake? ALLAH anasema katika qur, an, HAKIKA KULE KUHITILILAFIANA USIKU NAMCHANA NAVILE ALIVOVIUMBA ALLAH KATIKA MBINGU NA ARDHI NIALAMA KWA WANAOMCHA ALLAH,

ABUU MWASITI nitarud INSHAALAAH
 
NDIO MTUAMBIE HIZO MAGIC TRICK ZA KUMKATA MTU SHINGO NA KUIREJESHA VILE VILE KWA DAKIKA CHACHE TU.... SIO UNATOKA NJE YA MADA
hivi umeshindwa kujiuliza??

mtu anakuambia kabisa "namkata kichwa huyu"
akili yako yote inakuwa imetekwa hapo.. kwahiyo unachotegemea ni kwamba kichwa kitakatika... umeona eeh..

yaani hata yule jamaa unayeamini anakatwa kichwa akikohoa tu.. wewe utahisi amesema mamaaaaaaa nakufaa

au utahisi kasema kwioo kwioooo
 
Back
Top Bottom