Wasioamini Mungu mnatafsirije mazingaombwa

Wasioamini Mungu mnatafsirije mazingaombwa

nenda youtube utaona wanachokifanya....but hakuna cha ajabu zaidi na kucheza na upeo wako wa kufikiria...na unapogota ndo wenyewe wanapoanzia
Nimeshamuwekea link ya youtube kama siyo mvivu ataipitia aone huu ujanja ujanja.!
 
mazingaombwe ya utenganishaji kiwiliwili na binadaamu kujigeuza paka,wolfdog,au ndege!
hii no aina ya sayansi ya kiinimacho / iliyoenea sana China na Korea.

gpesymbol150.jpg

mchoro huutumia sana ktk meditation za mazingaombwe ukiwa Katika yellow in color na kula mkia wa mjusi ukiwa ungali unacheza/
Its total witch!
 
Sijaliona hilo swali lililoshindikana dunia nzima
 
mazingaombwe ya utenganishaji kiwiliwili na binadaamu kujigeuza paka,wolfdog,au ndege!
hii no aina ya sayansi ya kiinimacho / iliyoenea sana China na Korea.

gpesymbol150.jpg

mchoro huutumia sana ktk meditation za mazingaombwe ukiwa Katika yellow in color na kula mkia wa mjusi ukiwa ungali unacheza/
Its total witch!
"TOTAL WITCH"
hehehehe kumbe hadi sayansi inautambua uchawi... hehehe Ahsante mkuu
THREAD CLOSED....
 
"TOTAL WITCH"
hehehehe kumbe hadi sayansi inautambua uchawi... hehehe Ahsante mkuu
THREAD CLOSED....
'Total witch' ni statement yake si ya sayansi

Hapo kakwambia kabisa,hiyo ni sayansi ya kiini macho si uchawi

Kiongozi,we sio mbishi ni mjinga

Ukipewa clips za you tube hutaki,
Ukipewa majibu hutaki,

We unataka nini sasa,matusi?
 
'Total witch' ni statement yake si ya sayansi

Hapo kakwambia kabisa,hiyo ni sayansi ya kiini macho si uchawi

Kiongozi,we sio mbishi ni mjinga

Ukipewa clips za you tube hutaki,
Ukipewa majibu hutaki,

We unataka nini sasa,matusi?
Kwahiyo Mazingaombwe huwa hayatumii Kemikali wala Acid yoyote? duuh basi sayansi yake kali... maana mi naonaga wengine wanaekaga vijitunguli tu.
HEBU NIELEWESHE BASI MKUU
 
Kwahiyo Mazingaombwe huwa hayatumii Kemikali wala Acid yoyote? duuh basi sayansi yake kali... maana mi naonaga wengine wanaekaga vijitunguli tu.
HEBU NIELEWESHE BASI MKUU

Mkuu STUNTER

Kumbe we unataka uwe mwana mazingaombwe sema tu unaona aibu kutwambia

Tuambie tukufundishe upige pesa.
 
Mkuu STUNTER

Kumbe we unataka uwe mwana mazingaombwe sema tu unaona aibu kutwambia

Tuambie tukufundishe upige pesa.
Hahaha... mkuu naona mpaka dakika hii umetoka kapa kwenye huu uzi... unajua wewe unatazamwa na watu wengi sana,
Kwahiyo kushindwa kwako kutawabadilisha wengi, TRUST ME.
 
'Total witch' ni statement yake si ya sayansi

Hapo kakwambia kabisa,hiyo ni sayansi ya kiini macho si uchawi

Kiongozi,we sio mbishi ni mjinga

Ukipewa clips za you tube hutaki,
Ukipewa majibu hutaki,

We unataka nini sasa,matusi?
Kweli ni mjinga tu huyu
 
Sio kila mazingaombwe ni uchawi,lakini pia sio kila mazingaombwe ni trick tu.
 
Dah! Sijui nimelielewa swali ama la. Ila jambo moja la kumkumbusha mtoa mada ni kwamba kwa upande wangu mazingaombwe ni sayansi ya kucheza na vision za watu. Nasema hivyo kwa sababu kutokana na maendeleo ya sayansi ziko nchi zimetengeneza vyombo ambavyo havionekani kwenye rada. So kwa sababu hiyo huwa naamin mazingaombwe ni part of science.
 
Dah! Sijui nimelielewa swali ama la. Ila jambo moja la kumkumbusha mtoa mada ni kwamba kwa upande wangu mazingaombwe ni sayansi ya kucheza na vision za watu. Nasema hivyo kwa sababu kutokana na maendeleo ya sayansi ziko nchi zimetengeneza vyombo ambavyo havionekani kwenye rada. So kwa sababu hiyo huwa naamin mazingaombwe ni part of science.
Ikiwemo kubadilisha mchanga kuwa PILAU? hahhaah.... nyie msicheze na Akili zetu.
 
Back
Top Bottom