Wasioamini Mungu mnatafsirije mazingaombwa

Wasioamini Mungu mnatafsirije mazingaombwa

Yote hii ni kumpaisha mungu,mazingaombwe ni uchawi.
Deile wanawaandama wanaoamini Mungu... sasa leo waje hapa watuthibitishie kile kiini macho kinatokeaje tokeaje kisayansi?
 
Yani chanzo chako kuamini Mungu ni mazingaombwe??
Wewe chanzo chako cha kuamini mbona haujakitaja? SI AFADHALI NA MIMI NINAE MUAMINI MUNGU BAADA YA KUUSHUHUDIA USHETANI KWA MACHO YANGU??
Wewe umeshuhudia nini mwenzetu?
 
#Jr Mshana njoo huku kuna swali limeshndika dunia nzima
 
kaka hiyo ni sayansi kubwa sana, hakuna uchawi hapo, sema kuna siri kubwa sana behind the scena.

 
Kama unaamini mazingaumbwe, basi utakuwa unaamini uchawi na Mungu pia. Sasa basi, wewe na wale wanaoenda airport na biblia kama ticket hamna tofauti. Ni Imani.
WAAMBIE HAO ATHEIST WANAOJITOA UFAHAM...
 
Swali gumu kushinda yote duniani ni "Je mtoa mada ana akili timamu?
SIKUZOTE KICHAA ANAJIONA YEYE NI MZIMA, bali KICHAA huwaona WENYE AKILI TIMAMU ndio VICHAA
 
INASEMEKANA HAKUNA MTU MWENYE IMANI KALI KAMA MCHAWI

Hakuna mungu

Hakuna uchawi

Mleta mada,umeshaambiwa hizo ni magic tricks tu hakuna uchawi pale

Kwa mfano hiyo ya kumtenganisha mtu kichwa ni sophisticated trick

Huyo anayefanyiwa hivyo[anayetenganisha kichwa na kiwiliwili] sio mtu mmoja ni wawili,Mmoja ni handicapped mwingine ni contortionist

Inaonekana ni mara yako ya kwanza kuangalia show ya chriss angel?
 
Back
Top Bottom