nusuhela
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 6,479
- 8,146
Sina Nidhamu ya uoga na vitu ambavyo vimetufanya tuwe watumwa mpaka sasa. Walituletea dini wakaondoka madiniHuogopi ?
Sina Nidhamu ya uoga na vitu ambavyo vimetufanya tuwe watumwa mpaka sasa. Walituletea dini wakaondoka madiniHuogopi ?
Kama unaamini kuna uchawi ina maana unaamini shetan yupo!! Na kama unaamini shetan yupo kwanini huamini Mungu yupo???Hakuna kitu kinaitwa mungu. Usidanganywe. Mazingaombwe ni uchawi ambao pia hao unaowaita watumishi wa mungu wanautumia. Funguka
Uchawi ni tofauti kabisa na mungu. Ndio maana kabla ya wazungu kuja kulikuwepo na uchawi. Wakati huo watu walikua hawajui habari za mungu wala shetaniKama unaamini kuna uchawi ina maana unaamini shetan yupo!! Na kama unaamini shetan yupo kwanini huamini Mungu yupo???
Mkuu mimi sijaamini kwa kuangalia kwenye TV, nimeona live bila chenga...Hakuna mungu
Hakuna uchawi
Mleta mada,umeshaambiwa hizo ni magic tricks tu hakuna uchawi pale
Kwa mfano hiyo ya kumtenganisha mtu kichwa ni sophisticated trick
Huyo anayefanyiwa hivyo[anayetenganisha kichwa na kiwiliwili] sio mtu mmoja ni wawili,Mmoja ni handicapped mwingine ni contortionist
Inaonekana ni mara yako ya kwanza kuangalia show ya chriss angel?
Mungu yupo!!
Sasa vipi ule chawi wa kurushiana majini? Au yale mambo wanaitaga MGANGA KAPANDISHA MASHETANI?Uchawi ni tofauti kabisa na mungu. Ndio maana kabla ya wazungu kuja kulikuwepo na uchawi. Wakati huo watu walikua hawajui habari za mungu wala shetani
Unajua maana ya tricks(cheating/Kudangaya)/illusions(mazingaombwe/mauzauza-UONGO)???? Magic tricks/Wonderful Cheats/illusions 😀NDIO MTUAMBIE HIZO MAGIC TRICK ZA KUMKATA MTU SHINGO NA KUIREJESHA VILE VILE
SASA MTUAMBIE NA MTUELEWESHE NI SAYANSI GANI INAYOFANYWA WAKATI WA MAZINGAOMBWE?
Kuna moja nliona Mkuu kpnd npo primary jamaa alkuwa anachanacha na anakula magazeti na anameza kabsa baadae akaanza kulitoa kwa kulvuta lkawa refu kama mnyororoMkuu mimi sijaamini kwa kuangalia kwenye TV, nimeona live bila chenga...
Je pale mtu anapopasuliwa tumbo au kukatwa kichwa, huwa anakatwa kweli? au ni uchawi?
Mkuu nruhusu nchekeWe hilo swali mbona simple tu kwa wabongo . Watu wamejiuliza mpaka kwa namna gani unaweza kuwa mweupe bila mkorogo na wakaja na majibu suluhisho ni kunywa maji halafu we unasemaje
TUNATAKA KUJUA VITU VINAVYOFANYIKA MPAKA MTU ANAKATWA KICHWA LIVE BILA CHENGA, NA MUDA MFUPI KINARUDISHWA VILE VILE,,, HIZO POROJO TUMEZICHOKAUnajua maana ya tricks(cheating/Kudangaya)/illusions(mazingaombwe/mauzauza-UONGO)???? Magic tricks/Wonderful Cheats/illusions 😀
Kwaio Uthibitisho kama mungu yupo ni KUDANGANYA?Now you make sense,Kwamba, uthibitisho wa uwepo wa mungu ni ninyi 'Kujidanganya' kwamba yupo ila si kweli!Very Funny 😀 !Kumbe Mnajua mwajidanganya sema ndo mnajikuta hamnazo!
Ndio waje hapa watuelezee kinagaubaga VITU VINAVYOTENDEKA HADI YANATOKEA HAYO YOTE... KAMA NI CHEMICALS ZINACHANGANYWA PIA MTUAMBIE...TEHE TEHE TEHEKuna moja nliona Mkuu kpnd npo primary jamaa alkuwa anachanacha na anakula magazeti na anameza kabsa baadae akaanza kulitoa kwa kulvuta lkawa refu kama mnyororo