Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema "kinachofuata
> sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya
> marehemu tuliyemzika hapa leo. karibu ndugu uliyeandaliwa kwa shughuli
> hiyo" Msomaji: Ifuatayo in historia fupi ya marehemu tuliyemlaza ktk
> nyumba ya milele.
>
> Marehemu alizaliwa juu ya mti ambapo mzazi wake alijihifadhi baada ya
> kukimbia mafuriko miaka 26 iliyopita, hakubahatika kupata kazi ya maana
> japo alisoma mpaka kidato cha tano, aliamua kuacha shule mwaka juzi baada
> ya kuona elimu haina mpango kwake.
>
> Marehemu alikuwa kero kwa familia yake hasa kwa tabia yake chafu ya udokozi
> wa mboga, uongo, uvutaji ban! gi, ubakaji wa mifugo na baadae ushoga.
>
> Mimi binafsi mjomba wake nimefurahishwa sana na kifo cha marehemu huyu
> kwani alishawahi kunipakazia kuwa nimekufa kwa kipindupindu kiasi kwamba
> ndugu wote wakakusanyika na kunililia msiba.
>
> Mtoto alitutia hasara sana kwani alikuwa mwizi wa vitu vya ndani na pesa!
> pia tumepoteza gharama kibao kumsomesha lakini aliishia kuwa shoga tangu
> tarehe 06/04/99.
>
> Marehemu hakuugua bali kifo chake ni cha kujitakia kwani kajiua baada ya
> kukosa nauli ya kwenda Mombasa kuhudhuria onyesho la vikundi vitatu vya
> mduara.
>
> Kwa niaba ya familia, wazazi na ndugu wa marehemu tunatoa pongezi kwa Mungu
> kwa kutupunguzia kero.
>
> Asiilaze roho ya marehemu peponi wala asimpumzishe, kama kuna mkong'oto
> huko ampe kiaina.
>
> AMINA
>
> sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya
> marehemu tuliyemzika hapa leo. karibu ndugu uliyeandaliwa kwa shughuli
> hiyo" Msomaji: Ifuatayo in historia fupi ya marehemu tuliyemlaza ktk
> nyumba ya milele.
>
> Marehemu alizaliwa juu ya mti ambapo mzazi wake alijihifadhi baada ya
> kukimbia mafuriko miaka 26 iliyopita, hakubahatika kupata kazi ya maana
> japo alisoma mpaka kidato cha tano, aliamua kuacha shule mwaka juzi baada
> ya kuona elimu haina mpango kwake.
>
> Marehemu alikuwa kero kwa familia yake hasa kwa tabia yake chafu ya udokozi
> wa mboga, uongo, uvutaji ban! gi, ubakaji wa mifugo na baadae ushoga.
>
> Mimi binafsi mjomba wake nimefurahishwa sana na kifo cha marehemu huyu
> kwani alishawahi kunipakazia kuwa nimekufa kwa kipindupindu kiasi kwamba
> ndugu wote wakakusanyika na kunililia msiba.
>
> Mtoto alitutia hasara sana kwani alikuwa mwizi wa vitu vya ndani na pesa!
> pia tumepoteza gharama kibao kumsomesha lakini aliishia kuwa shoga tangu
> tarehe 06/04/99.
>
> Marehemu hakuugua bali kifo chake ni cha kujitakia kwani kajiua baada ya
> kukosa nauli ya kwenda Mombasa kuhudhuria onyesho la vikundi vitatu vya
> mduara.
>
> Kwa niaba ya familia, wazazi na ndugu wa marehemu tunatoa pongezi kwa Mungu
> kwa kutupunguzia kero.
>
> Asiilaze roho ya marehemu peponi wala asimpumzishe, kama kuna mkong'oto
> huko ampe kiaina.
>
> AMINA
>