Wasifu wa marehemu

actus

Senior Member
Oct 7, 2011
104
24
Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema "kinachofuata
> sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya
> marehemu tuliyemzika hapa leo. karibu ndugu uliyeandaliwa kwa shughuli
> hiyo" Msomaji: Ifuatayo in historia fupi ya marehemu tuliyemlaza ktk
> nyumba ya milele.
>
> Marehemu alizaliwa juu ya mti ambapo mzazi wake alijihifadhi baada ya
> kukimbia mafuriko miaka 26 iliyopita, hakubahatika kupata kazi ya maana
> japo alisoma mpaka kidato cha tano, aliamua kuacha shule mwaka juzi baada
> ya kuona elimu haina mpango kwake.
>
> Marehemu alikuwa kero kwa familia yake hasa kwa tabia yake chafu ya udokozi
> wa mboga, uongo, uvutaji ban! gi, ubakaji wa mifugo na baadae ushoga.
>
> Mimi binafsi mjomba wake nimefurahishwa sana na kifo cha marehemu huyu

> kwani alishawahi kunipakazia kuwa nimekufa kwa kipindupindu kiasi kwamba
> ndugu wote wakakusanyika na kunililia msiba.
>
> Mtoto alitutia hasara sana kwani alikuwa mwizi wa vitu vya ndani na pesa!
> pia tumepoteza gharama kibao kumsomesha lakini aliishia kuwa shoga tangu
> tarehe 06/04/99.
>
> Marehemu hakuugua bali kifo chake ni cha kujitakia kwani kajiua baada ya
> kukosa nauli ya kwenda Mombasa kuhudhuria onyesho la vikundi vitatu vya
> mduara.
>
> Kwa niaba ya familia, wazazi na ndugu wa marehemu tunatoa pongezi kwa Mungu
> kwa kutupunguzia kero.
>
> Asiilaze roho ya marehemu peponi wala asimpumzishe, kama kuna mkong'oto
> huko ampe kiaina.
>
> AMINA
>
 
Kwa atakaeweza kusoma risala kwakusema mambo ya ukweli kama hivyo kwa dunia hii ya leo hakuna hata wakupakaziwa ila kwa tpande mwingine imenichekesha
 
Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema "kinachofuata
> sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya
> marehemu tuliyemzika hapa leo. karibu ndugu uliyeandaliwa kwa shughuli
> hiyo" Msomaji: Ifuatayo in historia fupi ya marehemu tuliyemlaza ktk
> nyumba ya milele.
>
> Marehemu alizaliwa juu ya mti ambapo mzazi wake alijihifadhi baada ya
> kukimbia mafuriko miaka 26 iliyopita, hakubahatika kupata kazi ya maana
> japo alisoma mpaka kidato cha tano, aliamua kuacha shule mwaka juzi baada
> ya kuona elimu haina mpango kwake.
>
> Marehemu alikuwa kero kwa familia yake hasa kwa tabia yake chafu ya udokozi
> wa mboga, uongo, uvutaji ban! gi, ubakaji wa mifugo na baadae ushoga.
>
> Mimi binafsi mjomba wake nimefurahishwa sana na kifo cha marehemu huyu

> kwani alishawahi kunipakazia kuwa nimekufa kwa kipindupindu kiasi kwamba
> ndugu wote wakakusanyika na kunililia msiba.
>
> Mtoto alitutia hasara sana kwani alikuwa mwizi wa vitu vya ndani na pesa!
> pia tumepoteza gharama kibao kumsomesha lakini aliishia kuwa shoga tangu
> tarehe 06/04/99.
>
> Marehemu hakuugua bali kifo chake ni cha kujitakia kwani kajiua baada ya
> kukosa nauli ya kwenda Mombasa kuhudhuria onyesho la vikundi vitatu vya
> mduara.
>
> Kwa niaba ya familia, wazazi na ndugu wa marehemu tunatoa pongezi kwa Mungu
> kwa kutupunguzia kero.
>
> Asiilaze roho ya marehemu peponi wala asimpumzishe, kama kuna mkong'oto
> huko ampe kiaina.
>
> AMINA
>

Kaazi kwei kwei
 
Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema "kinachofuata
> sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya
> marehemu tuliyemzika hapa leo. karibu ndugu uliyeandaliwa kwa shughuli
> hiyo" Msomaji: Ifuatayo in historia fupi ya marehemu tuliyemlaza ktk
> nyumba ya milele.
>
> Marehemu alizaliwa juu ya mti ambapo mzazi wake alijihifadhi baada ya
> kukimbia mafuriko miaka 26 iliyopita, hakubahatika kupata kazi ya maana
> japo alisoma mpaka kidato cha tano, aliamua kuacha shule mwaka juzi baada
> ya kuona elimu haina mpango kwake.
>
> Marehemu alikuwa kero kwa familia yake hasa kwa tabia yake chafu ya udokozi
> wa mboga, uongo, uvutaji ban! gi, ubakaji wa mifugo na baadae ushoga.
>
> Mimi binafsi mjomba wake nimefurahishwa sana na kifo cha marehemu huyu

> kwani alishawahi kunipakazia kuwa nimekufa kwa kipindupindu kiasi kwamba
> ndugu wote wakakusanyika na kunililia msiba.
>
> Mtoto alitutia hasara sana kwani alikuwa mwizi wa vitu vya ndani na pesa!
> pia tumepoteza gharama kibao kumsomesha lakini aliishia kuwa shoga tangu
> tarehe 06/04/99.
>
> Marehemu hakuugua bali kifo chake ni cha kujitakia kwani kajiua baada ya
> kukosa nauli ya kwenda Mombasa kuhudhuria onyesho la vikundi vitatu vya
> mduara.
>
> Kwa niaba ya familia, wazazi na ndugu wa marehemu tunatoa pongezi kwa Mungu
> kwa kutupunguzia kero.
>
> Asiilaze roho ya marehemu peponi wala asimpumzishe, kama kuna mkong'oto
> huko ampe kiaina.
>
> AMINA
>

Aminaaaaa
 
hii historia ya marehemu haina fitina....mambo yote wamewekwa hadharani
 
Nimeipenda mjomba aliandaa Maneno ya kweli bila unafiki.... Almost PERFECT.... il tu hapo Mwisho mjomba mtu ilitakiwa tu aseme "Mwenyezi Mungu amlaze Marehemu vile atapenda maana hata mie mwenyewe mjombake sielewi kama nitafuzu kupumzika kwa Amani na Kwenda pepo - AMINA"
 
amen!
Ila mtu akifa, tunasahau maovu yake, tunamzika kwa amani.

Ni sawa, hata tukisahau maovu yake na kumzika kwa amani, lakini Mungu hasahau na atamlipa kwa kadiri ya matendo yake. Ndio maana inatupasa kuishi kama vile tunakufa sasa hivi kwa kutenda mema na kuishi kwa kadiri ya Mungu alivyotuagiza.
 
Ifuatayo in historia fupi ya marehemu tuliyemaliza ktk
nyumba ya milele.

Marehemu alizaliwa juu ya mti ambapo mzazi wake alijihifadhi baada ya
kukimbia mafuriko miaka 26 iliyopita, hakubahatika kupata kazi ya maana
japo alisoma mpaka kidato cha tano, aliamua kuacha shule mwaka juzi baada ya kuona elimu haina mpango kwake.

Marehemu alikuwa kero kwa familia yake hasa kwa tabia yake chafu ya udokozi
wa mboga, uongo, uvutaji bangi, ubakaji wa mifugo na baadae ushoga.

Mimi binafsi mjomba wake nimefurahishwa sana na kifo cha marehemu huyu
kwani alishawahi kunipakazia kuwa nimekufa kwa kipindupindu kiasi kwamba
ndugu wote wakakusanyika na kunililia msiba.

Mtoto alitutia hasara sana kwani alikuwa mwizi wa vitu vya ndani na pesa!
pia tumepoteza gharama kibao kumsomesha lakini aliishia kuwa shoga tangu tarehe 06/04/99
Marehemu hakuugua bali kifo chake ni cha kujitakia kwani kajiua baada ya kukosa nauli ya kwenda Mombasa kuhudhuria onyesho la vikundi vitatu vya
mduara.
Kwa niaba ya familia, wazazi na ndugu wa marehemu tunatoa pongezi kwa Mungu kwa kutupunguzia kero. Asiilaze roho ya marehemu peponi wala asimpumzishe,kama kuna mkong'oto
huko ampe kiaina.

AMINA
 
Back
Top Bottom