Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi

Kweli kabisa
Hata Jakaya alimteua Philemon Luhanjo aliekuwa Katibu Mkuu wake pale Foreign affairs kuwa Chief Secretary, alipostaafu Luhanjo akajipanga kumteua Personal Secretary wake aliekuwa nae Foreign affairs (wakat huo akiwa katibu Nishat na madini) Ndg Jairo akatumbuliwa na Bunge ndipo akaenda kumteua Rafiki yake Balozi Sefue aliekuwa Balozi Washington,
Hata Mwl Nyerere aliteua Poti wake watupu wakat wake akina Apiyo na Mkurugenz wa Mwl Nyerere foundation Mzee Butiku.
Sure!
 
Huyu bwana ukiangalia record yake....amekuwa mtusmishi wa umma kwa mda mrefu na hakubebwa popote. Kila lakheri ndugu Kijazi. Na ukiangalia kwa umakini sidhani kama Huyu bwana ni mtu wa "system". Ni outsider kabisa.
 
I thought angekuwa na taaluma ya diplomacy + management kama ziada angekuwa mzuri zaidi..ila ngoja tumuone utendaji kazi wake maana ndio amaeshakuwa boss wa watumishi wote wa umma..kazi ya kutumbua majipu iendelee maana mradi wa Kigamboni bridge na ujenzi wa UDOM ulikuwa na ufisadi mwingi sana na wanaufahamu coz by that time alikuwa Katibu wizara ya ujenzi.
 
Nadhani TZ mna diplomatic experts wachache sana thats why mabalozi wenu wengi nchi za nje ni Engineers. Or they are sent to beg for road funds??
 
kwahiyo sefue katumbuliwa au ????????????



ile sred yenu humu ya kashfa zake inefaya kazi sio ? tehetehetehe
 
Huyu bwana ukiangalia record yake....amekuwa mtusmishi wa umma kwa mda mrefu na hakubebwa popote. Kila lakheri ndugu Kijazi. Na ukiangalia kwa umakini sidhani kama Huyu bwana ni mtu wa "system". Ni outsider kabisa.

Ataachaje kuwa mtu wa "system" kwa CV hii ??

  • Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania.
  • Jun 2007 High Commissioner to India
  • 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
 
CURRICULUM VITAE

NAME:
John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
AGE: 59
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons

EDUCATION
  • Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
  • Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
CAREER
  • 1982 – 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1986 – 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1996 – 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 1999 – 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
  • 2002 – 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
  • Jan – Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
  • Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
  • Jun 2007 High Commissioner to India
  • 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
LANGUAGES
English, Swahili
CCM NI ILEILEEE OOO NI ILEILEEEE..........
Nitashirikiana na wapinzani... hakya nanii... MSEMA KWERI NI MPENZI WA MUNGU....
...Sasaaa.... hebu jaribu kuteua msomi mmoja kutoka upinzani afu mpe kazi uone kazi
 
I thought angekuwa na taaluma ya diplomacy + management kama ziada angekuwa mzuri zaidi..ila ngoja tumuone utendaji kazi wake maana ndio amaeshakuwa boss wa watumishi wote wa umma..kazi ya kutumbua majipu iendelee maana mradi wa Kigamboni bridge na ujenzi wa UDOM ulikuwa na ufisadi mwingi sana na wanaufahamu coz by that time alikuwa Katibu wizara ya ujenzi.
Hizo taaluma za diploamacy sijui nini nini, ni longolongo tu!
 
CCM NI ILEILEEE OOO NI ILEILEEEE..........
Nitashirikiana na wapinzani... hakya nanii... MSEMA KWERI NI MPENZI WA MUNGU....
...Sasaaa.... hebu jaribu kuteua msomi mmoja kutoka upinzani afu mpe kazi uone kazi
hahaha kama nakuona nimekumiss
 
Ataachaje kuwa mtu wa "system" kwa CV hii ??

  • Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania.
  • Jun 2007 High Commissioner to India
  • 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
Chezea jamiiforums ndiyo maana wanalazimisha kutufunga midomo...
 
as long as unafanya katika utawala wa CCM hata kama angekuwa na CV kama ya Obama0bado ni pumba tu
 
Kumbe kwa Katibu Mkuu Kiongozi hakuna kustaafu! Maana hapo inaonesha anafikisha 60 mwaka huu...
 
CCM NI ILEILEEE OOO NI ILEILEEEE..........
Nitashirikiana na wapinzani... hakya nanii... MSEMA KWERI NI MPENZI WA MUNGU....
...Sasaaa.... hebu jaribu kuteua msomi mmoja kutoka upinzani afu mpe kazi uone kazi
Sidhani kama unakumbuka ulicho kiandika hapa, na hata ukisoma tena ukimaliza tu utasahau.
Najitahidi kuelewa lengo lako hata sijapata, ulitaka aje yani, kwamba amchague msomi kutoka CUF,CDM or CHAUMA awe KATIBU MKUU KIONGOZI?.
 
Magufuli kampeleka Ikulu aliyekuwa katibu mkuu wake yeye akiwa waziri wa ujenzi. Anapanga safu yake ya kazi na ulaji labda
 
Huyu bwana ukiangalia record yake....amekuwa mtusmishi wa umma kwa mda mrefu na hakubebwa popote. Kila lakheri ndugu Kijazi. Na ukiangalia kwa umakini sidhani kama Huyu bwana ni mtu wa "system". Ni outsider kabisa.
Ataachaje kuwa mtu wa "system" kwa CV hii ??

  • Dec 2006 – Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania.
  • Jun 2007 High Commissioner to India
  • 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
Masanja nadhani ulichokonoa habari ili usikie wadau wengine watasemaje kama asigwa alivyokujibu hapo.
 
Back
Top Bottom