Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Habari wana jamvi!
Hii habari ya Mh. Balozi Kijazi kupewe nafasi ya Katibu Mkuu nimeipokea kwa mikono 3...! Tafadhali, mwenye CV yake naomba aiweke hapa, tumjue kwa undani huyo kiongozi wetu mpya.
Hana undugu na Bosi wa TANAPA, wanafanana kwa mbaali. Hakika Mzazi wao alizaa majembe. Hongera kwao na wake zao na watoto zao...!