Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi

Magufuli na assistant kijazi
wakati wa kuanza ujenzi wa daraja la kigamboni wakati huo waziri wa ujenzi akiwa magufuli na katibu mkuu ujenzi akiwa kijazii
walipinga kwa nguvu zote gharama za uanzishwaji wa mradi huu...
kwa kuwa walizidiwa nguvu na wakina sefue na jk
kikwete akaamua kumuamisha wizara magufuli na kumpeleka ujenzi
na kijazi... akawa balozi india
siku chache baadae zabuni ikapitishwa na kampuni CRJE wakashinda zabuni...
figisu figisu zikawaondoa wizara ya ujenzi Magu na kijazi...
haya sasa staring anakuja kulipa kisasi kamludisha jamaa ake nchini na kuchukua nafasi ya aliekuwa bosi wake usijeshangaa omben anakuwa balozi india yaani rafiki wako mkubwa ni rahisi kuwa adui na adui wako mkubwa ni rahisi kuwa rafikiau wadhungu wanasemaga from.hero to zero.or zero to hero
 
Ikulu sasa ni maabara na pia ni karakana. Kwa taaluma za hawa jamaa naiona Tanzania ikiwa imekarabatiwa sana, kila kitu kinaenda sawasawa.

Eti wengine walitaka Ikulu wampe msanii, kweli? Pawe panachezwa disco za kimasai za kurukaruka. Watz waligoma, kapewa injinia, hapa kazi tu.
Zaidi ya Engineer John Kijazi nitajieni nani Mwingine Engineer Ikulu.
No wonder nyie Vichwa panzi mnadhani JPM ni Engineer.
Hapo mkuu Pohamba naungana na wewe katika hili, tuone ma Engineer pamoja na kututengenezea miundombinu wanaweza kutuongoza?

Ikulu ipo chini ya Mikono salama ya Ma Engineer!
 
Hivi unawezaje kumteua mtu usiyemjua kabisa Rais yoyote lazima ateue mtu anayejua utendaji kazi wake na siyo vinginevyo.
 
Rais gani duniani anaishi ikulu na wasio washkaji zake?
Kweli kabisa
Hata Jakaya alimteua Philemon Luhanjo aliekuwa Katibu Mkuu wake pale Foreign affairs kuwa Chief Secretary, alipostaafu Luhanjo akajipanga kumteua Personal Secretary wake aliekuwa nae Foreign affairs (wakat huo akiwa katibu Nishat na madini) Ndg Jairo akatumbuliwa na Bunge ndipo akaenda kumteua Rafiki yake Balozi Sefue aliekuwa Balozi Washington,
Hata Mwl Nyerere aliteua Poti wake watupu wakat wake akina Apiyo na Mkurugenz wa Mwl Nyerere foundation Mzee Butiku.
 
Magufuli na assistant kijazi
wakati wa kuanza ujenzi wa daraja la kigamboni wakati huo waziri wa ujenzi akiwa magufuli na katibu mkuu ujenzi akiwa kijazii
walipinga kwa nguvu zote gharama za uanzishwaji wa mradi huu...
kwa kuwa walizidiwa nguvu na wakina sefue na jk
kikwete akaamua kumuamisha wizara magufuli na kumpeleka ujenzi
na kijazi... akawa balozi india
siku chache baadae zabuni ikapitishwa na kampuni CRJE wakashinda zabuni...
figisu figisu zikawaondoa wizara ya ujenzi Magu na kijazi...
haya sasa staring anakuja kulipa kisasi kamludisha jamaa ake nchini na kuchukua nafasi ya aliekuwa bosi wake usijeshangaa omben anakuwa balozi india yaani rafiki wako mkubwa ni rahisi kuwa adui na adui wako mkubwa ni rahisi kuwa rafikiau wadhungu wanasemaga from.hero to zero.or zero to hero

Hapo wimbo WA Bob Marley ' Who that cap fit' unahusika!
 
Huyu kama ndie alikua India wakayi wa sakata la mtanzania kupigwa kule india..nadhani wanafunzi walilalamika utendaji wake..sasa tusubiri
 
Magufuli na assistant kijazi
wakati wa kuanza ujenzi wa daraja la kigamboni wakati huo waziri wa ujenzi akiwa magufuli na katibu mkuu ujenzi akiwa kijazii
walipinga kwa nguvu zote gharama za uanzishwaji wa mradi huu...
kwa kuwa walizidiwa nguvu na wakina sefue na jk
kikwete akaamua kumuamisha wizara magufuli na kumpeleka ujenzi
na kijazi... akawa balozi india
siku chache baadae zabuni ikapitishwa na kampuni CRJE wakashinda zabuni...
figisu figisu zikawaondoa wizara ya ujenzi Magu na kijazi...
haya sasa staring anakuja kulipa kisasi kamludisha jamaa ake nchini na kuchukua nafasi ya aliekuwa bosi wake usijeshangaa omben anakuwa balozi india yaani rafiki wako mkubwa ni rahisi kuwa adui na adui wako mkubwa ni rahisi kuwa rafikiau wadhungu wanasemaga from.hero to zero.or zero to hero

Usiwe Muongo! Magufuli wakati wa Jakaya 2005 alianza Wizara ya Ardhi then akahamishiwa Wizara ya Uvuvi na Mifugo then after election 2010 akateuliwa Waziri wa Ujenzi na Naibu wake akawa Mwakyembe tangu hapo hakuhamishwa mpaka kawa Rais. Sasa hiyo story yako kakutungia nani? Mradi wa Kigamboni umesainiwa na ujenzi kuanza Ombeni akiwa Balozi Washington na Chief Secrdtary akiwa Philemon Luhanjo.
Rudi maabara kutengeneza uongo.
 
Zaidi ya Engineer John Kijazi nitajieni nani Mwingine Engineer Ikulu.
No wonder nyie Vichwa panzi mnadhani JPM ni Engineer.
Unaposoma post tuliza akili. Kila neno lina maana. Nimetaja maabara na karakana, unaelewa kwanini? Jiangalie kwenye kioo, utashangaa kumbe wewe ndo bichwa panzi.
 
Back
Top Bottom