Wasifu wa Dkt. Philip Isdor Mpango

Mwenyezi mungu aendelee kumjaza ujasiri busara na maarifa katika kulitumikia taifa letu!!
 
Kama sefue Huyu jamaa Nyoka kweli kila akitokea kwenye TV'S Nazima TV anajifanya kumushangaa mrisho kwa kila kitu wakati yeye ndiyo aliachiwa Ikulu wakati mzee wa msoga yuko safarini. Mhe pombe huyo jamaa ni hatari sana mpe kazi nyingine weka katibu mkuu wako McHale kazi. Huyu jamaa majungu tu na kujaza wapare kila sehemu. Anzia makatibu waku wako wa tano mabalozi ndo wapare lukuki
 
Wakuu naomba C.V ya huyu Dr. Mpango aliyetuandalia mpango wa maendeleo unaoendelea kujadiliwa bungeni.

Education History


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
University of Dar es SalaamPh.D Economics19931996PhD
Lund UniversityPh.D Coursework19901992PhD
University of Dar-es-SalaamM.A Economics19861988Masters Degree
University of Dar-es-SalaamB.A (Hons)19811984Bachelor Degree
Ihungo Secondary SchoolACSEE19761977Secondary School
Itaga SeminaryCSEE19741975Secondary School
Ujiji Seminary-19711973Secondary School
Muyama Primary SchoolCPEE19681970Primary School
Kasumo Primary School-19651967Primary School
Kipalapala Primary School-19641965Primary School


Employment History

Company/InstitutionPositionFromTo
Elimu Supplies LTDReseach Assistant19801981
Ministry of LaborEconomist19841988
Tanzania Revenue AuthorityAg.General Commissioner20152015
Ministry of FinanceDeputy Permanent Secretary20092010
President's Office Planning CommissionExecutive Secretary20102015
President's Office-State HouseEconomic Advisor to the President20072009
World BankSenior Economist20022006
University of Dar-es-SalaamEconomics Lecturer19882002
NPFPublic Relations Assistant19801980


Political Experience

Political PartyPositionFromTo
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20162020
Ministry of Finance and PlanningMinister20162021
IMG_20210330_155332.jpg
 
Ana PhD ya Uchumi. Kabla ya kufanya kazi World Bank Tanzania alikuwa Mhadhiri wa Uchumi UDSM. Baada ya kutoka WB akateuliwa kuwa Naibu katibu Mkuu Wizara ya Fedha kabla ya kuwa Katibu Mtendaji Tume ya Mipango. Ni mzaliwa wa Kigoma.
Kuuliza sio ujinga, SSH na Majaliwa wanazo PhD?
 
Ataziacha tabia za Jiwe za ajabuajabu alizofundishwa na Jiwe za kupika takwimu za ukusanyaji mapato ya serikali.
 
Wakuu naomba C.V ya huyu Dr. Mpango aliyetuandalia mpango wa maendeleo unaoendelea kujadiliwa bungeni.

Education History


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
University of Dar es SalaamPh.D Economics19931996PhD
Lund UniversityPh.D Coursework19901992PhD
University of Dar-es-SalaamM.A Economics19861988Masters Degree
University of Dar-es-SalaamB.A (Hons)19811984Bachelor Degree
Ihungo Secondary SchoolACSEE19761977Secondary School
Itaga SeminaryCSEE19741975Secondary School
Ujiji Seminary-19711973Secondary School
Muyama Primary SchoolCPEE19681970Primary School
Kasumo Primary School-19651967Primary School
Kipalapala Primary School-19641965Primary School


Employment History

Company/InstitutionPositionFromTo
Elimu Supplies LTDReseach Assistant19801981
Ministry of LaborEconomist19841988
Tanzania Revenue AuthorityAg.General Commissioner20152015
Ministry of FinanceDeputy Permanent Secretary20092010
President's Office Planning CommissionExecutive Secretary20102015
President's Office-State HouseEconomic Advisor to the President20072009
World BankSenior Economist20022006
University of Dar-es-SalaamEconomics Lecturer19882002
NPFPublic Relations Assistant19801980


Political Experience

Political PartyPositionFromTo
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20162020
Ministry of Finance and PlanningMinister20162021
Sijui kama hatakuwa na tabia zile za kinafiki za watu wa kigoma.vinginevyo kwa unafiki walionao watu wa kigoma tuhesabu kuumia tu sababu ni watu wenye wivu,chuki na maroho mabaya ya kirundi.Tuombe Mungu.
 
Tumuombee kila lililo na heri

TUTAMUOMBEA LAKINI YEYE NA RAIS Samia Suluhu HASSAN NI LAZIMA WALINDE AFYA ZAO KWANZA NCHI INAWAHITAJI SANA WAKATI HUU. SASA HIVI SIO WAKATI WA KUPIGA RAMLI JUU YA CORONA. FANYENI MAAMUZI NYIE MUWE WA KWANZA KUPATA CHANJO HALAFU SISI TUTAFUATA.
 
Ameolewa na masai tena
Kikumbi Mpango sidhani kama wanaundugu lakini huyu jamaa ni mwenyeji wa kijiji cha kasumo wilayani kasulu mkoa wa kigoma na alisomeshwa na wamisionari enzi hizo na ni dep moja nadhani na akina prof yanda ambae anazaliwa kijiji cha kajana, na kuhusu askofu Mpango wanaundgu wa ukoo na zaidi huyu bwana ana mtoto anaitwa Elisia ni daktari na hupendelea kunywa Whiskey sana mida ya jioni na ameolea Arusha pia.
 
Ameolewa na masai tena
Kikumbi Mpango sidhani kama wanaundugu lakini huyu jamaa ni mwenyeji wa kijiji cha kasumo wilayani kasulu mkoa wa kigoma na alisomeshwa na wamisionari enzi hizo na ni dep moja nadhani na akina prof yanda ambae anazaliwa kijiji cha kajana, na kuhusu askofu Mpango wanaundgu wa ukoo na zaidi huyu bwana ana mtoto anaitwa Elisia ni daktari na hupendelea kunywa Whiskey sana mida ya jioni na ameolea Arusha pia.
 
Hata yule Kakoko wa Bandarini ni wa Kigoma? Naona jina lake linasadifu Kigoma Kigoma vile
 
Wapo waliokuwa wakimuona Dk. Mpango kama Waziri wa Fedha. Leo wapo watakaomuona kama Makamu wa Rais.

Binafsi namchukulia kama jirani yangu wa kawaida hapa Chanika. Mpango ana tabia au kawaida ya kwenda mwenyewe buchani kununua nyama siku za wikiendi.

Anayemuuzia nyama Hassan Mohamed anasema: "huyu ni mteja wangu lakini huwa nashangaa kilo zake za nyama ni tatu tu kila Jumamosi. Kisha ananunua nyanya, vitunguu, viungo kwa ujumla anaondoka na anaendesha mwenyewe". Anaongeza, "hata siamini kama ni Waziri na sasa Makamu wa Rais".

Huyo ndiye Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango.
 
Back
Top Bottom