Mie namfahamu akiwa kiongozi mkuu wa BAVICHA zaidi ya hapo simkumfuatilia kwa ukaribu Tena
---
Elimu ya Msingi: Alianza masomo yake katika Mwenge Primary School, ambapo alihitimu mwaka 1999 kwa kupata Cheti cha CPEE (Certificate of Primary Education).
Elimu ya Sekondari: Aliendelea masomo yake katika St. Mary's Nyegezi School ambapo alipata Cheti cha CSEE mwaka 2004. Baadaye alijiunga na Malangali High School kwa masomo ya kidato cha tano na sita, na alipata Cheti cha ACSE mwaka 2007.
Elimu ya Juu: Alipata Bachelor’s Degree in Law kutoka St. Augustine University of Tanzania mwaka 2011, na Master’s Degree in Law mwaka 2013. Alimaliza mafunzo yake ya uwakili kwa kupata Diploma ya Uzamili ya Uwakili kutoka Law School of Tanzania mwaka 2017.
Afisa Sheria Msaidizi: Alihudumu kama Afisa Sheria Msaidizi wa kujitolea katika Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) mwaka 2011.
Mkuu wa Idara ya Sheria: Alifanya kazi katika Sahara Media Group Ltd kama Mkuu wa Idara ya Sheria kuanzia mwaka 2011 hadi 2015.
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma: Aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mwaka 2018 na alihudumu hadi 2020.
Naibu Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu: Aliingia serikalini kama Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu mwaka 2020.
---
3. Paschal Katambi Patrobas - Mbunge wa Shinyanga
Chama Cha Siasa: Chama Cha Mapinduzi (CCM)Elimu ya Msingi: Alianza masomo yake katika Mwenge Primary School, ambapo alihitimu mwaka 1999 kwa kupata Cheti cha CPEE (Certificate of Primary Education).
Elimu ya Sekondari: Aliendelea masomo yake katika St. Mary's Nyegezi School ambapo alipata Cheti cha CSEE mwaka 2004. Baadaye alijiunga na Malangali High School kwa masomo ya kidato cha tano na sita, na alipata Cheti cha ACSE mwaka 2007.
Elimu ya Juu: Alipata Bachelor’s Degree in Law kutoka St. Augustine University of Tanzania mwaka 2011, na Master’s Degree in Law mwaka 2013. Alimaliza mafunzo yake ya uwakili kwa kupata Diploma ya Uzamili ya Uwakili kutoka Law School of Tanzania mwaka 2017.
Afisa Sheria Msaidizi: Alihudumu kama Afisa Sheria Msaidizi wa kujitolea katika Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) mwaka 2011.
Mkuu wa Idara ya Sheria: Alifanya kazi katika Sahara Media Group Ltd kama Mkuu wa Idara ya Sheria kuanzia mwaka 2011 hadi 2015.
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma: Aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mwaka 2018 na alihudumu hadi 2020.
Naibu Waziri wa Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu: Aliingia serikalini kama Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu mwaka 2020.