- Thread starter
- #41
Alikuwa hapo alipoAisee! Alikuwa wapi?
Alikuwa hapo alipoAisee! Alikuwa wapi?
Acha ujuaji na uongo.Alikuwa hapo alipo
Na kwa sababu hiyo, hata hawaipeleki nchi sehemu yoyote.Ukweli kwenye siasa uchawi upo. Huyu jamaa huwa sioni anafanya nini kwenye uwaziri
Hakukuwa na strong candidates kabisa ugombea uenyekiti. Ingekua ile BAVICHA ya kina Heche, Kafulila, Mnyika na Silinde asingetoboa!!Mtu hadi kaingia ndani ndani kabisa ya chama(mwenyekiti bavicha),Yaani kaaminika na chama cha upinzani kama chadema,halafu unasema ni kilaza,kilaza aliwezaje kupita hadi kuchukua nafasi ya juu ndani ya chadema!
Lissu atahama chama kwenda wapi? Unafikiri ananunulika kirahisi eeeh!! Utasubiri sana.Siku Lissu akikihama chama mtamtukana sana. CHADEMA hamjawahi kuheshimu ya haki ya mtu yeyote akiwa na mtazamo tofauti. Mnatukana yeyote aliye kinyume na nyie.
Ni suala la muda tuLissu atahama chama kwenda wapi? Unafikiri ananunulika kirahisi eeeh!! Utasubiri sana.