Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

alifeli pale Muccobs sitta akapiga simu apasishwe haraka sana
kaziPiga ondakazimhemnadhani zoezi la kupima afya mnazi mmmoja kwamba watanzaniwatanzania tunahitaji bima nafuu ya afya naomba ifanyie kiza, lakini nakupa big up!!! achana kusikiliza hao malofa.
 
Hilo jibu lilitakiwa lijibiwe na 16 years old sio old man with 56 kama wewe!

Mtu ameuliza wasifu wa DC mpya, wewe unadai wasifu wa Sugu.

Ndo ulivyojifunza namna ya kujibu maswali kwenye hzo degree tatu?
Wamezeoa Kuongwa T-shirt na 2000
 
Salaam wakuu,

Nimekua nikifuatilia vizuri mno utendaji kazi wa Makonda, kwa kweli kimsingi kwa matamko mbalimbali aliyokwisha yatamka, napata ukakasi kuhusu kiwango chake cha elimu.

Kama kuna mwenye education background ya huyu kiongozi anijuze tafadhali.
 
Ingia gugoooooo.... Hawatokuangusha wale jamaa.
Ila nyepesinyepesi zinasema chuo alikuwa kilaza muda wote kudesa na kubebwa na ma dr wa chuo kwenyr mitihani ili awahi kufanya siasa mitaani.
 
Kiwango cha elimu cha ninim sasa, coz angekua na vyeti feki uhakiki ungepita naye, lakin now yupo on work bado, means academic yake ni original and ipo okay kwa kulitumikia taifa...
 
Ingia gugoooooo.... Hawatokuangusha wale jamaa.
Ila nyepesinyepesi zinasema chuo alikuwa kilaza muda wote kudesa na kubebwa na ma dr wa chuo kwenyr mitihani ili awahi kufanya siasa mitaani.
Kule nimesaka sijaona. Ila najua wanajamvi hawawezi kosa.. Ngoja wachimbaji waje
 
Salaam wakuu,

Nimekua nikifuatilia vizuri mno utendaji kazi wa makonda, kwa kweli kimsingi kwa matamko mbalimbali aliyokwisha yatamka, napata ukakasi kuhusu kiwango chake cha elimu

Kama kuna mwenye education background ya huyu kiongozi anijuze tafadhali.
kubwabwaja sio uongozi mtu unaenda kwenye media kila dakika halafu unavyovitandaza wala huwezi kuvifanyia kazi aghrrrrr
 
Kiwango cha elimu cha ninim sasa, coz angekua na vyeti feki uhakiki ungepita naye, lakin now yupo on work bado, means academic yake ni original and ipo okay kwa kulitumikia taifa...
Anaweza kuwa kazini but akawa anatenda yasiyoendana na elimu yake.

Nataka nijue kama kiwango chake cha elimu kinaendana na utendaji wake wa kazi
 
Back
Top Bottom