mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
Kinachoangaliwa sio unachodhani. Kwa sasa wanaangalia, wilaya kwa wilaya, ni nani ataweza "kushughulikia" chaguzi zinazokuja. Ndiyo maana imebidi wafanye mabadiliko makubwa saa hizi. Makonda ameonekana ndiye ataweza hiyo mikiki Kinondoni.
Asubirie maumivu.