Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Kinachoangaliwa sio unachodhani. Kwa sasa wanaangalia, wilaya kwa wilaya, ni nani ataweza "kushughulikia" chaguzi zinazokuja. Ndiyo maana imebidi wafanye mabadiliko makubwa saa hizi. Makonda ameonekana ndiye ataweza hiyo mikiki Kinondoni.

Asubirie maumivu.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Unachotakiwa kuelewa ni kwamba nafasi ya uteuzi ya Paul Makonda ni ya umma. Mleta post ameona ni vyema kupata wasifu wake,kama ambavyo raia yoyote angeomba ajuzwe. Nafikiri siyo namna nzuri ya kujibu,tukiendekeza political sentiments tutashindwa kuhabarishana masuala.

You know......
 
Lindiwe sisulu Ndugu Paul Makonda ni msomi wa shahada mbili za sheria kutoka UDSM ni mwanasheria mahiri ni kijana aliyekulia kutoka chipukizi hadi hapo alipofikia..amezaliwa kiongozi kwani kote alipokuwepo ikiwemo skuli amekuwa kiongozi na anayo dhamira ya dhati ya kulitumikia taifa lake la tanzania kwani kazaliwa mtanzania kasoma mtanzania na atabaki mtanzania
Hello wana jamvi nawaombeni sana mnipatie CV's za Mteule wa Rais kwenye Wilaya wa Kinondoni Paul Makonda.

Napenda kujua hasa pia maisha yake ndani na nje ya siasa.
 
1.Aliwahi kuwa waziri mkuu -MUCCOBS
2. Alipiga hela za wanafunzi ikapelekea kuzuia sherehe za kukaribishana wanafunzi
3.Hajawahi fanya assignment akiwa chuo ila alifanyiwa na frnds zake kama Edy+ Ino akiwaahidi kuwatafutia kazi wakimaliza chuo
4. Aliwahi kumtishia kumpiga dean wa chuo (mrs nk) endapo angeendelea kumzuia kutimiza tamaa zake za kimadaraka.
5.Alijitahidi kukuza chama cha CCM MUCCOBS(nampongeza sana kwa hili),
6. Aliwaahidi wana ccm wote muccobs kupewa kazi nzuri wakimaliza chuo(hope atatimiza hili sasa bila ubishi)
7. Makonda oyeeeeeee
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Unachosha na wewe na kejeli zako za kijingaaaa, msomi wa dunia awe makonda??? au unataka sifa, umekosa hata uDC, mama kapata Unaibu tulia.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Mkuu ccm inakalia akili yako, ndio maana umekuwa mziiito! Lakini kuanzia October akili itakurudi na kila mtu atavutiwa ma michango yako mitandaoni!
Lakini pia kuanzia October utabadili mitindo na maudhui ya picha zako, picha nyingi zitakuwa za mapendekezo ya utafiti yakinifu kwa manufaa ya nchi!
Kuanzia October William J. Malecela will be a new born!
 
Kiukweli Kikwete nashindwa kumwelewa, Kamuhanda aliameisha askari wake kumpiga mpaka kumuua Mwangosi akapandishwa cheo. Leo hii kampandisha ama kuumpa cheo cha u Dc Makonda baada ya kumpiga na kumdhalilisha hadharani mzee Warioba....!!!!

Hivi kipi kiko kichwani mwa Kikwete???

BACK TANGANYIKA
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz

Bro Samahani, hembu nikumbushe umepewa wilaya gani vile?
 
Back
Top Bottom