Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Kwa alivyoungaunga elimu yake na akili yake ilivyo, sishangai kilikia hilo! Bora mtani Madelu kutuhumiwa kua ndiye aliyesomea jina la mtu.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Wewe nae uachage kujipendekeza aisee jibaba zima ulipaswa uwe na familia sasa hivi unaishia kuwa kuwadi tu na mpambe kazi kuomba kupiga picha na wadada wa mjini tu kwenye sehemu za starehe,kuwadi mkubwa ww
 
Unafiki Wa watanzania.....juhudi zake ndo zimemfikisha hapo ikumbikwe miaka ya zamani watu walikuwa na tabia ya kurudia darasa la saba ili wapate nafasi ya naenda kidato cha kwanza!! Unakuta mtu akiamua kurudia darasa la sita au la saba Mara nyingi Mwl Mkuu alikuwa akiwapatia majina ya wanafunzi walioacha kazi na mtu anapopewa lile jina urudia shule!! Na kama atafanya vyema na kuendelea utasema ye ni jipu!! Tuache unafiki Wa ki****
 
Hahahahaaaa...acha movie iendelee...lkn jamani hv kuna wa kumtumbua makonda kweli?? Naona hata mtumbuaji mwenyewe vyeti havija timia ....teh teh teh teh , hakyamungu dunia duara
 
Unafiki Wa watanzania.....juhudi zake ndo zimemfikisha hapo ikumbikwe miaka ya zamani watu walikuwa na tabia ya kurudia darasa la saba ili wapate nafasi ya naenda kidato cha kwanza!! Unakuta mtu akiamua kurudia darasa la sita au la saba Mara nyingi Mwl Mkuu alikuwa akiwapatia majina ya wanafunzi walioacha kazi na mtu anapopewa lile jina urudia shule!! Na kama atafanya vyema na kuendelea utasema ye ni jipu!! Tuache unafiki Wa ki****
Acha kutetea upimbi ww ...kwnn uhukumu wenzio kwa kuto kuvaa viatu angali ww mwenyewe uko peku??
 
Unafiki Wa watanzania.....juhudi zake ndo zimemfikisha hapo ikumbikwe miaka ya zamani watu walikuwa na tabia ya kurudia darasa la saba ili wapate nafasi ya naenda kidato cha kwanza!! Unakuta mtu akiamua kurudia darasa la sita au la saba Mara nyingi Mwl Mkuu alikuwa akiwapatia majina ya wanafunzi walioacha kazi na mtu anapopewa lile jina urudia shule!! Na kama atafanya vyema na kuendelea utasema ye ni jipu!! Tuache unafiki Wa ki****
Nafkiri kuna kitu umekosea hapa ... issue sio kurudia shule kwa jina lingine kisha kumaliza shule na kutunukiwa cheti kwa jina jinginr hapana ... issue hapa ni Kununua Vyeti baada kumaliza shule bila ya kutunukiwa cheti kwa sababu ulifeli sawa!!!
 
Wewe nae uachage kujipendekeza aisee jibaba zima ulipaswa uwe na familia sasa hivi unaishia kuwa kuwadi tu na mpambe kazi kuomba kupiga picha na wadada wa mjini tu kwenye sehemu za starehe,kuwadi mkubwa ww
Ujue uvccm hawana marinda kwa sababu hiyo
 
Acha kutetea upimbi ww ...kwnn uhukumu wenzio kwa kuto kuvaa viatu angali ww mwenyewe uko peku??
Ha ha ha haaaa!!! .... ukizangitia RC ni nafasi nyeti sana ... hili sio la kuachwa jamani ni bora tuweke pembeni habari ya sumu za kulevya tumalize hili kwanza ...
 
Nimekuta sehemu kuwa inasemekana Daudi Albert Makonda alinunua vyeti vya mtangazaji Paul Christian Kagezi.

Kwa wale waliosoma naye primary na secondary hebu tujulishe. Ni kweli hapo nyuma Alikuwa akiitwa Daudi Albert Christian Kagezi ila alipopata division 0 ndyo akanunua cheti?

Wale pia mliosoma naye chuo vipi uwezo kitawake wa darasani?
Sitaki kuamini kua mkoa wa DSM unaongozwa na mbabaishaji kielemu na kitaaluma ... hili likithibitika nt aomba mkurugenzi Usalama wa taifa awajibike ....
 
Back
Top Bottom