Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Kama cv ni muhimu iangalie ya waziri wako kivuli sugu.acha udaku fanya kazi unaweza kuwa hata katibu tarafa.ona wenzako sasa ni waheshimiwa
Sugu shababi... Unakumbuka yule mama watoto wake alilalamika kuliwa 071 kuwa na adabu utafunuliwa marinda
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Makonda ni msomi wa Dunia!! Now i started to believe Mange is wright about you. Oky, Sugu hana elimu kubwa lakini ana personal achievement kubwa mno kuliko wewe na huyo Makonda na especially wewe ambae ulikua mtoto wa waziri lakini umeishia kuwa luza. Na huyo msomi wako hana chochote zaidi ya kubebwa Lakini Sugu kagombea tene kwa Tiketi ya upinzani na kashinda kwa kishindo unlike your step mother or Makonda ambae hata kujaribu kugombea haku jaribu.
 
- hahahahahahahahahahahhahaha U know vipi CV ya Mwenyekiti? hahahahahahaha

le Mutuz
Bora watoto wako walichukuliwa uko marekani nadhani walipata tiba nzuri ya akili chini ya mpango wa 'Obama Care' ungerudi nao bongo asee Familia ya Malecela ingezidi kudharaurika,wewe umetosha kuishusha thamani.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Kweli we le mutuz
 
Bora watoto wako walichukuliwa uko marekani nadhani walipata tiba nzuri ya akili chini ya mpango wa 'Obama Care' ungerudi nao bongo asee Familia ya Malecela ingezidi kudharaurika,wewe umetosha kuishusha thamani.

- kuliko thamani ya familia yako mkuu yaani mtoto wa kiume unajiita majina ya bandia na kurukia wanaume huku JF unasema ni heshima kubwa kwa familia yako? hahahahahhahahahaha

le Mutuz
 
Hello wana jamvi nawaombeni sana mnipatie CV's za Mteule wa Rais kwenye Wilaya wa Kinondoni Paul Makonda.

Napenda kujua hasa pia maisha yake ndani na nje ya siasa.

Jamani, baada ya kusoma comments nyingi nimegundua kuwa wengi hawajui maana na matumizi ya CV. Tusiwashambulie, tuwaonee huruma na tuwaelimishe
 
- kuliko thamani ya familia yako mkuu yaani mtoto wa kiume unajiita majina ya bandia na kurukia wanaume huku JF unasema ni heshima kubwa kwa familia yako? hahahahahhahahahaha

le Mutuz
Mkuu una uhusiano gani na Makonda? Maana nasikia sikia fununu na juzi mlikuwa wote sauzi mkila bata
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Kula kulala yupo kazini, vipi lkn maisha yanakwenda sawa bro?
 
alifeli pale Muccobs sitta akapiga simu apasishwe haraka sana
Ni kweli alikwama ila alibadili course na si kwamba alisaidiwa ni utaratibu wa kawaida ukidisco ukiunga kuingia mwaka ujao kwa program tofauti kama new comer na kama chuo wakikuridhia unaruhusiwa kuunga ingawa sheria ya nacte ni kuwa kama ukisitisha masomo na ukaacha basi unatakiwa ukae miaka mitatu au muda wa kozi yako kuisha ndipo ujoin tena .
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
ha ha ha ha ha ha brother le mutuz how are you brother inabidi nikutafute bwana wewe mtu mkubwa sana katika ulimwengu wa social media........tuweke mambo sawa.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Huyu jamaa ni MTU mzima sana ila sometime bwana. Eti msomi Wa dunia teh teh
 
1.Aliwahi kuwa waziri mkuu -MUCCOBS
2. Alipiga hela za wanafunzi ikapelekea kuzuia sherehe za kukaribishana wanafunzi
3.Hajawahi fanya assignment akiwa chuo ila alifanyiwa na frnds zake kama Edy+ Ino akiwaahidi kuwatafutia kazi wakimaliza chuo
4. Aliwahi kumtishia kumpiga dean wa chuo (mrs nk) endapo angeendelea kumzuia kutimiza tamaa zake za kimadaraka.
5.Alijitahidi kukuza chama cha CCM MUCCOBS(nampongeza sana kwa hili),
6. Aliwaahidi wana ccm wote muccobs kupewa kazi nzuri wakimaliza chuo(hope atatimiza hili sasa bila ubishi)
7. Makonda oyeeeeeee
ha ha ha ha ha wewe jamaa bila shaka ulishawahi kuwapo ushirika miaka ya 2009/2010.
 
MUCCOBS ndiyo nini.......................................!!?
Moshi College of COoperatives & Business Studies.

Yaani kilikuwa ni sehemu ya chuo cha SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE (SUA) tawi la moshi.Kwasasa ni Chuo kikuu cha kujitegemea kinaitwa MOSHI COOPERATIVE UNIVERSITY(MOCU) ni moja ya vyuo Unique africa nzima kwa maana kuna baadhibya programe zake hakuna chuo kinanazitoa afrika nzima. Kipo opposite ya chuo cha polisi pale sokoine road barabara ya kuelekea hospitali ya kcmc
 
wasifu wake ni kuwa aliwahi kutembea na vigogo kadhaa wanamtatua marinda
marinda hana yule
 
huyo ni kubwa jinga mwili mkubwa kichwani hamna kitu kama baba yake
Dah sio vizuri bro mbona le mutuz huwa ana lugha ya kistaarabu sna kuwajibu watu wanaomtusi au kumjibu kwa kejeri........sio poa kumtukana mtu ambaye hajakukosea kitu hata kama anakukera.....
 
Back
Top Bottom