Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Moshi College of COoperatives & Business Studies.

Yaani kilikuwa ni sehemu ya chuo cha SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE (SUA) tawi la moshi.Kwasasa ni Chuo kikuu cha kujitegemea kinaitwa MOSHI COOPERATIVE UNIVERSITY(MOCU) ni moja ya vyuo Unique africa nzima kwa maana kuna baadhibya programe zake hakuna chuo kinanazitoa afrika nzima. Kipo opposite ya chuo cha polisi pale sokoine road barabara ya kuelekea hospitali ya kcmc
Thanks!!

Nakifahamu hicho chuo (Chuo cha Ushirika). Sikuwa najua kifupi chake.

Ila masahihisho kidogo, Chuo hicho hakijawahi kuwa sehemu ya SUA ...... Bahati nzuri, mimi pia ni graduate wa SUA!!
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Hahahahaa....Le mutuz le Stupid....hahahahaaa, mtoto wa Jumanne Malecela...hahahahaaa, mfalme ropokozi amekusahau kabisa katika nchi yake ya majuha.....hahahahaaaa....wewe anakutosha Mange Kimambi tu....hahahaaaaa!!!!
 
Thanks!!

Nakifahamu hicho chuo (Chuo cha Ushirika). Sikuwa najua kifupi chake.

Ila masahihisho kidogo, Chuo hicho hakijawahi kuwa sehemu ya SUA ...... Bahati nzuri, mimi pia ni graduate wa SUA!!
Mkuu,ni kwamba habari hiyo haukuwa nayo. Hiyo ilikuwa ni constituent collegecollege of Sokoine kabla haijaanza kujitegemea
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Ndiomana huishi kuhusishwa na mambo mengine kwa kujipendekeza kwako, alafu baada ya dakika unaanza kujisafisha na kuwakana watu,, ze akili ndigo..
 
Thanks!!

Nakifahamu hicho chuo (Chuo cha Ushirika). Sikuwa najua kifupi chake.

Ila masahihisho kidogo, Chuo hicho hakijawahi kuwa sehemu ya SUA ...... Bahati nzuri, mimi pia ni graduate wa SUA!!
HAPANA........haupo sahihi na kama unataka uhakika nenda kasome prospectus ya kuanzia mwaka wa masomo 2013 kurudi nyuma utaona kuwa kile ni chuo kishirikishi cha SUA. Hata cheti cha huyo makonda kama utakiona basi kitakuwa kimeandikwa nembo ya SUA kwa maana alimaliza kipindi ambacho hiki chuo kilikuwa chini ya chuo cha SUA na kipindi hicho hakikuwa kikiitwa chuo kikuu kilikuwa ni kitivo cha ushirika na biashara yaani kama DUCE au ARDHI ilivyosehemu ya Chuo kikuu cha Dar es salaam.
 
Mkuu,ni kwamba habari hiyo haukuwa nayo. Hiyo ilikuwa ni constituent collegecollege of Sokoine kabla haijaanza kujitegemea
Watu wengi wanaosoma SUA hawafahamu kuwa MOCU au Chuo cha ushirika kilishawahi kuwa chini ya Chuo kikuu cha SOKOINE(SUA)
 
Makonda ana cv aliwahi kumpiga Jaji Warioba akazawadiwa ukuu wa wilaya na akamchongea mkurugenzi wa jiji akapata ukuu wa mkoa sasa nafasi ipi ngoja tuone
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Msomi wa dunia Makonda? Kweli LE MUTUZ ni mtu rahisi sana kummiliki!

Makonda hana usomi wowote, hata huko alikopita ni siasa tu za CCM zimemuokoa! Pale MUCCOBS alisha-disco zaidi ya mara moja!

Lakini haijulikani alipitaje!

Pia kuna Tuhuma kuwa PAUL ni jina la kununua, jina lake halisi ni DAUDI.

Itabainika tu!
 
Huyu Fala kama kweli anapigania maendeleo ya hii nchi na Aite Media kujisafisha na kashfa ya vyeti. Yeye alisikia/ hakuwa na uhakika kama aliyowataja walikuwa wana deal na madawa ya kulevya. Sasa ni zamu yake kwani watanzania wamesikia jina na vyeti anavyotumia si vyake. A prove wrong kwenye hili.
 
HAPANA........haupo sahihi na kama unataka uhakika nenda kasome prospectus ya kuanzia mwaka wa masomo 2013 kurudi nyuma utaona kuwa kile ni chuo kishirikishi cha SUA. Hata cheti cha huyo makonda kama utakiona basi kitakuwa kimeandikwa nembo ya SUA kwa maana alimaliza kipindi ambacho hiki chuo kilikuwa chini ya chuo cha SUA na kipindi hicho hakikuwa kikiitwa chuo kikuu kilikuwa ni kitivo cha ushirika na biashara yaani kama DUCE au ARDHI ilivyosehemu ya Chuo kikuu cha Dar es salaam.
Ardhi ni chuo kinachojitegemea..hiyo ilikuwa UCLAS
 
HAPANA........haupo sahihi na kama unataka uhakika nenda kasome prospectus ya kuanzia mwaka wa masomo 2013 kurudi nyuma utaona kuwa kile ni chuo kishirikishi cha SUA. Hata cheti cha huyo makonda kama utakiona basi kitakuwa kimeandikwa nembo ya SUA kwa maana alimaliza kipindi ambacho hiki chuo kilikuwa chini ya chuo cha SUA na kipindi hicho hakikuwa kikiitwa chuo kikuu kilikuwa ni kitivo cha ushirika na biashara yaani kama DUCE au ARDHI ilivyosehemu ya Chuo kikuu cha Dar es salaam.
Upo sahihi
 
Back
Top Bottom