Halafu anatumia jina la mtu,anaitwa Paul Christian yupo Tabora huko ni mtangazaji wa station moja ya radio. Yeye akaongezea akaitwa Paul Christian Makonda.Alifeli ndo akatumia jina hilo kujiendeleza.
kumbe ni kichwa,maana zitto kabwe anayo ya 2.6.
hapo kwenye red:halafu unatuambia una digrii tatu,yes unaweza kuwa nazo lakini lazima itakuwa john malecela alipiga simu utunukiwe hizo shahada.Kubwa jinga linaongea kama darasa la pili.- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!
Le Mutuz
ni kule kujishtukia tu.badala ya jitu kuweka CV,eti ooh anamzidi Sugu elimu.what a nonsenseMnaacha kutoa CV mmnaaza kufananisha, sijui yule, huyu, kwa kwel wa Tanzania bado sana. CV yake ni muhimu watu wakajua, habari ya ushabiki wa siasa uchara acheni jamani.
1.Aliwahi kuwa waziri mkuu -MUCCOBS
2. Alipiga hela za wanafunzi ikapelekea kuzuia sherehe za kukaribishana wanafunzi
3.Hajawahi fanya assignment akiwa chuo ila alifanyiwa na frnds zake kama Edy+ Ino akiwaahidi kuwatafutia kazi wakimaliza chuo
4. Aliwahi kumtishia kumpiga dean wa chuo (mrs nk) endapo angeendelea kumzuia kutimiza tamaa zake za kimadaraka.
5.Alijitahidi kukuza chama cha CCM MUCCOBS(nampongeza sana kwa hili),
6. Aliwaahidi wana ccm wote muccobs kupewa kazi nzuri wakimaliza chuo(hope atatimiza hili sasa bila ubishi)
7. Makonda oyeeeeeee
mambo yanaanza kumwagikaHalafu anatumia jina la mtu,anaitwa Paul Christian yupo Tabora huko ni mtangazaji wa station moja ya radio. Yeye akaongezea akaitwa Paul Christian Makonda.Alifeli ndo akatumia jina hilo kujiendeleza.
anaungana na nchemba,kigwangala,mulugo,nape na mafisadi wengine wa elimu wa ccm.Halafu anatumia jina la mtu,anaitwa Paul Christian yupo Tabora huko ni mtangazaji wa station moja ya radio. Yeye akaongezea akaitwa Paul Christian Makonda.Alifeli ndo akatumia jina hilo kujiendeleza.
Bahati nasibu haijakudondokea?
Inaelekea Mh.DC mpya wa Kinondoni hana mvuto katika jamii.Kwa vile ni mteule wa Mh Rais,zinahitajika juhudi za kumfanya apate mvuto katika jamii.
Unachosha na wewe na kejeli zako za kijingaaaa, msomi wa dunia awe makonda??? au unataka sifa, umekosa hata uDC, mama kapata Unaibu tulia.
Umri wako na ulichokiandika hapa haviendani mkuu. Bora ungebaki DC- Mimi nakula batazzz na wabebezz wakareezzz mambo ya UDC wa Njombe sio yangu maaan hahahahah U know
Le Mutuz
kumbe ni kichwa,maana zitto kabwe anayo ya 2.6.
Umri wako na ulichokiandika hapa haviendani mkuu. Bora ungebaki DC
- Maan are you serious unataka nikawe DC wa Mbinga mimi mamen? hahahahahahaha
Le Mutuz
- hahahahaha eti Slaa ni Doctor wa nini hasa? hahahahah
Le Mutuz
- hahahahaha eti Slaa ni Doctor wa nini hasa? hahahahah
Le Mutuz