Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

Wasifu(CV) wa Paul Makonda!

- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
In case you happen to be the only son of Malecela, bad news for him. unamtia aibu na kumzalilisha. jamani...kha!
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Kwani Mdau kasema kuwa siyo msomi? mkuu mwaga CV ya boss wako acha maneno mengi. Maprofesa wengi tu CVs zao zinajulikana na haluna kejeli vipi huyu msomi wako wa ulimwengu?
 
CV ya Makonda , sio ya mapishi wala ya umesenja. Ulizebi vyengine ila sio CV YAKE,
Musitie aibu watanzania, kuwa tuwashamba kiasi hicho, yani unachukua picha ya zamani ya Makonda ,unatuambia watu wanasahau walipotoka , yani logic yako ni nini? Nini maana ya maendeleo, ulitaka hiyo nafasi apate mtoto wa tajiri? au mtu mashuhuri? Huo ni ushamba ,tubadilike
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Kumbe mpo wengi
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Nchi ngumu sana
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
umbumbumbu ni mzigo mzito sana. pia kuwa na mwili mkubwa sio kwamba na akili ni kubwa. ajabu yake watu wa akili kama hizi ndio wengi wapo serikalini ndio maana ushamba na ujiniga unawasumbua sana watu. ni washamba wanaohitaji kuhurumiwa.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
umbumbumbu ni mzigo mzito sana. pia kuwa na mwili mkubwa sio kwamba na akili ni kubwa. ajabu yake watu wa akili kama hizi ndio wengi wapo serikalini ndio maana ushamba na ujiniga unawasumbua sana watu. ni washamba wanaohitaji kuhurumiwa.
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
we kweli kilaza, ye kama mkuu wa mkoa lazima cv yake iwe wazi
 
- Unataka CV ya Rais wa zamani wa Vyuo Vikuu vyote Afrika Mashariki, hahahahaha ungeulizia CV ya Sugu kwanza na Mwenyekiti wako wa Chadema hahahahahaha jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya JF unaweza hata kuulizia CV ya Msomi wa Dunia kama Makonda duh!!

Le Mutuz
Hivi aliyejibu swali ana degree tatu??? Mtoto wa chekechea angejibu hivi: "CV ya Mh. Makonda siifahamu" au " CV ya Mh. Makonda kwa ufupi ni kama ifuatavyo au inavyoonekana hapa".
 
Hivi aliyejibu swali ana degree tatu??? Mtoto wa chekechea angejibu hivi: "CV ya Mh. Makonda siifahamu" au " CV ya Mh. Makonda kwa ufupi ni kama ifuatavyo au inavyoonekana hapa".

- hahahahahahahahahahahhahaha U know vipi CV ya Mwenyekiti? hahahahahahaha

le Mutuz
 
Hello wana jamvi nawaombeni sana mnipatie CV's za Mteule wa Rais kwenye Wilaya wa Kinondoni Paul Makonda.

Napenda kujua hasa pia maisha yake ndani na nje ya siasa.

Mie nilisikia history yake toka kwa mmoja wa wanafunzi wenzie wa chuo nikabaki domo wazi haha
 
Back
Top Bottom